Hafizi Konkoni afukuzwe na viboko 30

Hafizi Konkoni afukuzwe na viboko 30

Naskia kaitwa kikosi Cha taifa Ghana.
Konkoni ni tapeli, anaitwa timu ya taifa kwa mipango, umri wake halisi ni miaka 39, ila passport inasoma 23, jamaa alikuwa mwalimu wa primary miaka 8 nchini Ghana sasa hadi Leo awe na miaka 23??, plus jamaa ni mganga wa kienyeji maarufu pale kumas na nikiongozi wa chama cha madalali wa kitongoji
 
Kila nikilitizima hili striker la boli HAFIZI Konkoni kutoka nchini Ghana linalokipiga ndani ya Yanga napata wasiwasi juu ya uwezo wake wa kutuvusha Yanga sc kutoka hapa tulipo kutupeleka hatua inayofuata.

Mimi ni muumini wa kuheshimu maamuzi ya makocha na inapofikia hatua kocha au benchi la ufundi halimuamini mchezaji kiasi cha kumpa dakika 7 za mwisho tena katika baadhi ya mechi, huku uwezo wake katika hizo dakika kiduchu anazopewa hazitendei haki jumlisha mapungufu kibao ya, kimsingi kama ball control na passing, moja kwa moja mchezaji huyo huwa ninamuona ni wa ovyo tu kama ilivyo kwa HAFIZI Konkoni

YANGA tunapaswa kuachana na tapeli hili la soka toka Ghana na ikiwezekana AFUKUZWE kambini leo hii, na achapwe VIBOKO 30, kwa udanganyifu sababu huyu si mwanasoka bali ni mcheza kamali toka Ghana.

View attachment 2848393
Huyu haielekei kuwa mchezaji kabisa itakuwa walimuokota kijiweni wakamleta yanga.
 
Konkoni ni tapeli, anaitwa timu ya taifa kwa mipango, umri wake halisi ni miaka 39, ila passport inasoma 23, jamaa alikuwa mwalimu wa primary miaka 8 nchini Ghana sasa hadi Leo awe na miaka 23??, plus jamaa ni mganga wa kienyeji maarufu pale kumas na nikiongozi wa chama cha madalali wa kitongoji
Hii sagia kunguni noma.
 
Umeniwahi kuleta huu UZI.Tuwe na subra Eng ni mtu wa ball anaona uchezaji wa huyo MUHUNI
 
Back
Top Bottom