Hahaha.... Basi kama maono yangu yatatimia, big up FAM na TAL + CDM

Hahaha.... Basi kama maono yangu yatatimia, big up FAM na TAL + CDM

Noel france

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2012
Posts
1,104
Reaction score
917
Picha inachezea hivi, Kuna kamati imeundwa kubomoa CDM kutoka kule, kunapesa mingi imetengwa kutoka kule na kwenda kule.
Mh. FAM anataka mzigo zaidi ili aendelee kukomaa Mh TAL anamwambi endelea kukaza ili tupate pesa ya kukijenga chama kwa kutengeneza fake conflict Kisha tutakuja kumalizia dk za mwisho na kuwaunganisha upya Wana m4C.
Matokeo tutakuwa wamoja na nguvu zaidi kwa Mh. TAL kukabidhiwa CDM, na Mh FAM atajijengea respect kwa peoples power.
Hongereni kama nipo sahihi hahahahah....... Hahahahaha.........
 
Good idea ila wambieni viongozi wenu wapunguze matusi kwa viongozi wao, si afya nzuri hata kama njia ni Moja.
 
Picha inachezea hivi, Kuna kamati imeundwa kubomoa CDM kutoka kule, kunapesa mingi imetengwa kutoka kule na kwenda kule.
Mh. FAM anataka mzigo zaidi ili aendelee kukomaa Mh TAL anamwambi endelea kukaza ili tupate pesa ya kukijenga chama kwa kutengeneza fake conflict Kisha tutakuja kumalizia dk za mwisho na kuwaunganisha upya Wana m4C.
Matokeo tutakuwa wamoja na nguvu zaidi kwa Mh. TAL kukabidhiwa CDM, na Mh FAM atajijengea respect kwa peoples power.
Hongereni kama nipo sahihi hahahahah....... Hahahahaha.........
TAL hanaga michezo hiyo Mkuu. Hana siri ya kuficha katika kupokea hongo.
 
Yangu macho
 

Attachments

  • 20241220_114901.jpg
    20241220_114901.jpg
    199.8 KB · Views: 4
Picha inachezea hivi, Kuna kamati imeundwa kubomoa CDM kutoka kule, kunapesa mingi imetengwa kutoka kule na kwenda kule.
Mh. FAM anataka mzigo zaidi ili aendelee kukomaa Mh TAL anamwambi endelea kukaza ili tupate pesa ya kukijenga chama kwa kutengeneza fake conflict Kisha tutakuja kumalizia dk za mwisho na kuwaunganisha upya Wana m4C.
Matokeo tutakuwa wamoja na nguvu zaidi kwa Mh. TAL kukabidhiwa CDM, na Mh FAM atajijengea respect kwa peoples power.
Hongereni kama nipo sahihi hahahahah....... Hahahahaha.........
Mida huo raia mnawafanya matakatala yenu. Imani yao ikifa na nyie mtakiua chama chenu
 
Picha inachezea hivi, Kuna kamati imeundwa kubomoa CDM kutoka kule, kunapesa mingi imetengwa kutoka kule na kwenda kule.
Mh. FAM anataka mzigo zaidi ili aendelee kukomaa Mh TAL anamwambi endelea kukaza ili tupate pesa ya kukijenga chama kwa kutengeneza fake conflict Kisha tutakuja kumalizia dk za mwisho na kuwaunganisha upya Wana m4C.
Matokeo tutakuwa wamoja na nguvu zaidi kwa Mh. TAL kukabidhiwa CDM, na Mh FAM atajijengea respect kwa peoples power.
Hongereni kama nipo sahihi hahahahah....... Hahahahaha.........
Usahihi wako ni 0%....

Rudi na fanya vyema zaidi hii homework yako...

Hayo ni maangano ya Freeman Mbowe na kundi lake. Ndio maana ni wakali kama pilipili lakini vichwani mwao hawana hoja zozote za kushawishi watu kwanini waendelee kuwa viongozi kwa muda zaidi....

Na nimegundua, kumbe huu usemi ni wa kweli kabisa kuwa;

"....yamtokayo mtu ktk kinywa chake, ni yale yaliyoujaza moyo/mtima wake...."

Kwa hiyo wewe ni mpenda rushwa na kipato cha udhalimu maana ndiyo mawazo yaliyo ktk moyo wako na unafikiri na wengine wako kama wewe.....!

Tundu Lissu hawezi kuingia kwenye maagano ya hovyo na ya kishetani kama hiki kilicho ktk mawazo na kichwa chako....

Angekuwa mpenda pesa, Abdul alimpekea nyumbani kwake mwenyewe tena akiwa na "blank cheque" ambayo Tundu Lissu kama angetaka angejaza figure yoyote anayoitaka....!

Hii roho "ya kupenda fedha" ni mchezo wa Freeman Mbowe na timu yake. Mwelekezee yeye mawazo haya, mtapatana sana....

Na uchafu huu (wa kupenda fedha chafu, za hongo na rushwa na ufisadi zinazonuka damu za watu) ndio unaomchafua na kumwondolea heshima yake yote kabisa ndugu Freeman Mbowe kiasi cha ku - struggle kwa nguvu sana kulinda heshima yake sasa....

Chunga sana brother....

Fedha ni hatari.....

Inaweza kusababisha ukamkana Mungu muumba wako....

Kama huamini, nenda kuzimu kamuulize Yuda Iskariote na Lucifer mwenyewe....
 
Picha inachezea hivi, Kuna kamati imeundwa kubomoa CDM kutoka kule, kunapesa mingi imetengwa kutoka kule na kwenda kule.
Mh. FAM anataka mzigo zaidi ili aendelee kukomaa Mh TAL anamwambi endelea kukaza ili tupate pesa ya kukijenga chama kwa kutengeneza fake conflict Kisha tutakuja kumalizia dk za mwisho na kuwaunganisha upya Wana m4C.
Matokeo tutakuwa wamoja na nguvu zaidi kwa Mh. TAL kukabidhiwa CDM, na Mh FAM atajijengea respect kwa peoples power.
Hongereni kama nipo sahihi hahahahah....... Hahahahaha.........
1. Lissu hajawahi kuwa na tamaa na pesa ya AIBU
2. Lissu haamini katika kibovu kujenga kilicho bora bali kilixho bora hujenga kilicho bora zaidi
 
Usahihi wako ni 0%....

Rudi na fanya vyema zaidi hii homework yako...

Hayo ni maangano ya Freeman Mbowe na kundi lake. Ndio maana ni wakali kama pilipili lakini vichwani mwao hawana hoja zozote za kushawishi watu kwanini waendelee kuwa viongozi kwa muda zaidi....

Na nimegundua, kumbe huu usemi ni wa kweli kabisa kuwa;

"....yamtokayo mtu ktk kinywa chake, ni yale yaliyoujaza moyo/mtima wake...."

Kwa hiyo wewe ni mpenda rushwa na kipato cha udhalimu maana ndiyo mawazo yaliyo ktk moyo wako na unafikiri na wengine wako kama wewe.....!

Tundu Lissu hawezi kuingia kwenye maagano ya hovyo na ya kishetani kama hiki kilicho ktk mawazo na kichwa chako....

Angekuwa mpenda pesa, Abdul alimpekea nyumbani kwake mwenyewe tena akiwa na "blank cheque" ambayo Tundu Lissu kama angetaka angejaza figure yoyote anayoitaka....!

Hii roho "ya kupenda fedha" ni mchezo wa Freeman Mbowe na timu yake. Mwelekezee yeye mawazo haya, mtapatana sana....

Na uchafu huu (wa kupenda fedha chafu, za hongo na rushwa na ufisadi zinazonuka damu za watu) ndio unaomchafua na kumwondolea heshima yake yote kabisa ndugu Freeman Mbowe kiasi cha ku - struggle kwa nguvu sana kulinda heshima yake sasa....

Chunga sana brother....

Fedha ni hatari.....

Inaweza kusababisha ukamkana Mungu muumba wako....

Kama huamini, nenda kuzimu kamuulize Yuda Iskariote na Lucifer mwenyewe....
Sawa, ila punguza jazba
 
Kwani wewe unajua Abdul alienda na kiasi gani chenye harufu ya rushwa.....Siyo Lissu wakuhusishwa na huo mchezo mchafu.
 
Back
Top Bottom