Hahaha.... Basi kama maono yangu yatatimia, big up FAM na TAL + CDM

Hahaha.... Basi kama maono yangu yatatimia, big up FAM na TAL + CDM

watu hawajafikiri vizuri kujua ni kwanini TAL alipona kwenye marisasi yote Yale.!!!

Mungu ana makusudi makubwa sana na maisha ya Lisu. Huoni anaitwa Simba na watawala?

si mnazijua tabia za mnyama Simba?
 
Hiv unahis utakula pesa ya watu halafu uwachezee, kisha wao wakuache loose tu wasilipe?
 
Picha inachezea hivi, Kuna kamati imeundwa kubomoa CDM kutoka kule, kunapesa mingi imetengwa kutoka kule na kwenda kule.
Mh. FAM anataka mzigo zaidi ili aendelee kukomaa Mh TAL anamwambi endelea kukaza ili tupate pesa ya kukijenga chama kwa kutengeneza fake conflict Kisha tutakuja kumalizia dk za mwisho na kuwaunganisha upya Wana m4C.
Matokeo tutakuwa wamoja na nguvu zaidi kwa Mh. TAL kukabidhiwa CDM, na Mh FAM atajijengea respect kwa peoples power.
Hongereni kama nipo sahihi hahahahah....... Hahahahaha.........
Lakini kwenye Ulimwengu wa kiroho ukipokea haramu inatumika haramu hiyonninkanuni ya kiroho

Huwezi pokea haramu ukatumikia halalli


Sisi watumishi tunaomba. Kwa Mungu vyovyote iwavyo tundu awe mwenyekiti wa cdm
 
Nyumbu bwana, ccm imejaa mamia ya watu wajanja mara 1000 yenu. Wawe na jambo lao mlielewe nyie nyumbu?!!! Hebu kachochee maharage uani huko.
 
Picha inachezea hivi, Kuna kamati imeundwa kubomoa CDM kutoka kule, kunapesa mingi imetengwa kutoka kule na kwenda kule.
Mh. FAM anataka mzigo zaidi ili aendelee kukomaa Mh TAL anamwambi endelea kukaza ili tupate pesa ya kukijenga chama kwa kutengeneza fake conflict Kisha tutakuja kumalizia dk za mwisho na kuwaunganisha upya Wana m4C.
Matokeo tutakuwa wamoja na nguvu zaidi kwa Mh. TAL kukabidhiwa CDM, na Mh FAM atajijengea respect kwa peoples power.
Hongereni kama nipo sahihi hahahahah....... Hahahahaha.........
Kama kuna ukweli hapo.
 
Back
Top Bottom