Hahaha.... Basi kama maono yangu yatatimia, big up FAM na TAL + CDM

watu hawajafikiri vizuri kujua ni kwanini TAL alipona kwenye marisasi yote Yale.!!!

Mungu ana makusudi makubwa sana na maisha ya Lisu. Huoni anaitwa Simba na watawala?

si mnazijua tabia za mnyama Simba?
 
Hiv unahis utakula pesa ya watu halafu uwachezee, kisha wao wakuache loose tu wasilipe?
 
Lakini kwenye Ulimwengu wa kiroho ukipokea haramu inatumika haramu hiyonninkanuni ya kiroho

Huwezi pokea haramu ukatumikia halalli


Sisi watumishi tunaomba. Kwa Mungu vyovyote iwavyo tundu awe mwenyekiti wa cdm
 
Nyumbu bwana, ccm imejaa mamia ya watu wajanja mara 1000 yenu. Wawe na jambo lao mlielewe nyie nyumbu?!!! Hebu kachochee maharage uani huko.
 
Kama kuna ukweli hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…