kende
JF-Expert Member
- Dec 2, 2013
- 3,527
- 1,668
Atleast wao wanaimba kwa mafumbo sana kiasi kwamba watoto na vichwa maji kama mimi hatuwezi kuelewa kinachoongelewa, ila huyu brother wao Mh Temba alikuwaga noma tena naona sikuhizi kapunguza. Leo nilikuwa nimekaa sebuleni na mzee wangu, kwenye tv zikawa zinapigwa old schools, si kikagongwa kitu cha Temba ft Ray C kinaitwa 'Nipe mimi', ebwana nilivumilia weee but uzalendo ukanishinda, ilipoisha verse ya kwanza ikabidi nijifanye naenda msalani. Haya ni baadhi ya maneno ya kwenye wimbo huo;-
Nasikia utamu nasikia utamu mpaka kumoyo| Mdadi ushanipanda mi kachaa.....then Ray C anaitikia kwa mahaba (Ngojaaaaaaa), then Temba anaendelea;
Ngojangoja yaumiza matumbo, niipe niweeke ongeeza makeeeke nkishamaliza nicheeke
........,
Unaisikia inavyokuingia unafagilia unachukia unafagilia unachukiaaa?.....Ray C anajibu kwa mahaba ( ahkhaaaaah....)
#Dah , kungekuwa na tuzo za waimba mitusi Temba angekuwa anachukua kila mwaka
Nasikia utamu nasikia utamu mpaka kumoyo| Mdadi ushanipanda mi kachaa.....then Ray C anaitikia kwa mahaba (Ngojaaaaaaa), then Temba anaendelea;
Ngojangoja yaumiza matumbo, niipe niweeke ongeeza makeeeke nkishamaliza nicheeke
........,
Unaisikia inavyokuingia unafagilia unachukia unafagilia unachukiaaa?.....Ray C anajibu kwa mahaba ( ahkhaaaaah....)
#Dah , kungekuwa na tuzo za waimba mitusi Temba angekuwa anachukua kila mwaka
Last edited by a moderator: