mysteryman
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 1,065
- 365
Mama kaweka mtego wa kumkamata muharibifu wa mwanae kakutana na pedeshee moja lenye mihela likamnunua na yeye na sasa kamnyang'anya kabisa utamu mwanae....hii ndo bongo bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sauti plz!
Umejuaje kama kuna utamu kama haujaonja?. Au na wewe hilo pedeshee lilikupitia.
kama kuna aliye elewa naomba na mimi nieleweshwe pia.
Mama kaweka mtego wa kumkamata muharibifu wa mwanae kakutana na pedeshee moja lenye mihela likamnunua na yeye na sasa kamnyang'anya kabisa utamu mwanae....hii ndo bongo bana
kama kuna aliye elewa naomba na mimi nieleweshwe pia.
Mama kaweka mtego wa kumkamata muharibifu wa mwanae kakutana na pedeshee moja lenye mihela likamnunua na yeye na sasa kamnyang'anya kabisa utamu mwanae....hii ndo bongo bana
Mama kaweka mtego wa kumkamata muharibifu wa mwanae kakutana na pedeshee moja lenye mihela likamnunua na yeye na sasa kamnyang'anya kabisa utamu mwanae....hii ndo bongo bana
Basi mwenyewe umeona raaha..!! Basi kama unataka kuuona Moto wa Kifo manaake nini jifanye Mbwiga kwa kumrudia kinda wake. Utaona kama Jiji hili utalikaa. Mwenzetu ndo umeshamilikiwa Hivyo.. shule yako imeishia hapo hapo.. HATUKUSAIDII NG'O!! halafu keshokutwa utakuja na sred "Jimama limening'ang'ania kama Ruba, linasema nikitimka linanigadaffi live..nifanyeje?" utakoooooma.
atakuwa bujibuji si ndo kaoa majuzi.
Naoa Tamk: Kuleni kuku na mayai......
Ntadesa kwako ukipata majibu!kama kuna aliye elewa naomba na mimi nieleweshwe pia.