Hahaha raha sana! Kwa jinsi walivyonitesa chuo sasa zamu yao

Utoto mwingi, una umri wa zaidi ya miaka 20 lakini unavyoandika unaonekana mtoto mwenye umri wa chini ya miaka 18. Ukikua utaacha.
 
Kibaya zaid ni kwamba unamlipizia mtu asiyejua kuwa analipiziwa.Yy anajua anaishi life lake tuu kumbe ww uko kwenye ligi na wasioshindana na ww
Nafanya kwa niaba ya wana wengne walioteswa..maana kila mwanamke kuna boya flan keshawai mtesa
 
Kama nakuona tunavyokuzika.
 
Hahaha naomba featuring kene hiyo migegedo!
 
w We sio wa Kwanza walikuepo wenzio
 
Wakati wa shule wadada wako peak sana. Ila tukichakaa kwwnye 40 tuliosoma nao wanakuwa peak viceversa. Angalia yasinta alivo mtesa juma nature. Lkn sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…