Hahaha raha sana! Kwa jinsi walivyonitesa chuo sasa zamu yao

Hahaha raha sana! Kwa jinsi walivyonitesa chuo sasa zamu yao

MAdhara ya kuchelewa kuanza sex, tulioanzia Primary saivi wala hatuhangaiki labda mtu ajipendekeze mwenyewe, na nlivyo na sura ngumu sijawahi tongozwa.
 
Ukitafakari zaidi hakuna malipizi maana waliokutesa wewe si ambao unadeal nao sasa ila Kama vipi test zari kwa kudeal na wale walokutesa enzi zile.
Anachofanya yeye sio payback ni paying forward.

ndomana
walimu wanachapa wanafunzi kwasababu na wao walichapwa

Wanajeshi wanatesa makuruti/raia/wa mafunzo kwasababu na wao waliteswa

inshort ulipewa bure toa bure
 
Yani wanawake wana asili moja hivi ambayo mi kila ninapoamua kurevenge moyo unabadilika....unakuta mnapo anza mahusiano mienzi ya mwanzo anakunyanyasa kinomaaa........

Sasa inapofika time na mm nimeadapt tabia yake nakuanza kua Mr I don't care unakuta wanaanza kutia huruma na kulalamika kila dakika yani mpaka unabaki unajiuliza nin kimebadirika.....!!!

Nina mpenz wangu juzi Kati ananipigia simu saa tano usiku nimelala...sikupokea......nashangaa mtu saa kumi na mbili kasolo asubuh mlango unagongwa et kaja anatia huruma na kulalamika kwa nn jana sijapokea simu........Lakini nikiwasimulia huyu alivonitesaga kipindi Cha mwanzo wa mahusiano yetu basi naamini hata nyie mtanisaidia kutoa machozi.
 
Mim kiukwel sjawai kuwa single...yan toka nmejielewa..infwact...mim nilichelewa kdogo kuanza mapenz/kugonga..mim nilianza hayo mambo likizo ya kumaliza six.

Enewei ni hiv.kipind nmeanza .sikuwai pata shida ya kupata demu..hata mara1..mim ilikua siwez tongoza so najenga ukarib tu .mwisho wa siku najikuta tumeshikana shikana then ndo inakua mapenz yameanza hapo.

ila sasa nilikua napenda mademu wazur.yaan wale madem wakali...nilikua napata baadhi baadh nachemka.

Ila sasa hayo mateso yake ..wakuu si mchezo..yaan kuwa na demu mkali chuo halaf hela unategemea boom...mateso utakayopata ni makubwa.

Nakumbuka kuna dem nilikua namfata udom..natoka ud..yaan boom linaishia kwenye useng..tu...mara namu import.

Madem mapoz meng..anakukera lakin sabab mtoto mkal unakua mpole..kuna siku nakumbuka tuligombana na dem wangu m1 halaf ndo tulikua kwenye UE bas pepa ya mwisho..dem jion tumekubaliana tusuluhishane..hee..si nakuja ambiwa mida ya jion kaja chukuliwa na ndinga moja ya hatar hall 7 kule..

Yaan inshort matukio makubwa makubwa niliyapata meng...unakuta dem anakupenda..lakin sasa hela huna...bas nikawaga mim ni kuchapa yeyote alie mbele hangu.no strings hapo.

Matukio ni meng sana..siwez elezea.

Sasa now the table is turned....yaan kwa jins navyowatesa hawa watu..acheni tuu..

Kuna m1 hapa analazimisha kuja kwangu weekend hii..nmemwambia hapana ..hapa tunalumbana...ni kwamba kuna mwenzie anakuja...

Uzi tayari .(usinijudge...wanasema malipo ni hapa hapa ..na haya ndo malipo sasa)
Kaza
 
Yani wanawake wana asili moja hivi ambayo mi kila ninapoamua kurevenge moyo unabadilika....unakuta mnapo anza mahusiano mienzi ya mwanzo anakunyanyasa kinomaaa........

Sasa inapofika time na mm nimeadapt tabia yake nakuanza kua Mr I don't care unakuta wanaanza kutia huruma na kulalamika kila dakika yani mpaka unabaki unajiuliza nin kimebadirika.....!!!

Nina mpenz wangu juzi Kati ananipigia simu saa tano usiku nimelala...sikupokea......nashangaa mtu saa kumi na mbili kasolo asubuh mlango unagongwa et kaja anatia huruma na kulalamika kwa nn jana sijapokea simu........Lakini nikiwasimulia huyu alivonitesaga kipindi Cha mwanzo wa mahusiano yetu basi naamini hata nyie mtanisaidia kutoa machozi.
Hahaha
 
Hii post yako ukija isoma miaka 10 ijayo ukiwa hai ukiwa umeshakuwa mtu mzima utasema hiii! zamani nilikuwa napost utoto JF
 
Mim kiukwel sjawai kuwa single...yan toka nmejielewa..infwact...mim nilichelewa kdogo kuanza mapenz/kugonga..mim nilianza hayo mambo likizo ya kumaliza six.

Enewei ni hiv.kipind nmeanza .sikuwai pata shida ya kupata demu..hata mara1..mim ilikua siwez tongoza so najenga ukarib tu .mwisho wa siku najikuta tumeshikana shikana then ndo inakua mapenz yameanza hapo.

ila sasa nilikua napenda mademu wazur.yaan wale madem wakali...nilikua napata baadhi baadh nachemka.

Ila sasa hayo mateso yake ..wakuu si mchezo..yaan kuwa na demu mkali chuo halaf hela unategemea boom...mateso utakayopata ni makubwa.

Nakumbuka kuna dem nilikua namfata udom..natoka ud..yaan boom linaishia kwenye useng..tu...mara namu import.

Madem mapoz meng..anakukera lakin sabab mtoto mkal unakua mpole..kuna siku nakumbuka tuligombana na dem wangu m1 halaf ndo tulikua kwenye UE bas pepa ya mwisho..dem jion tumekubaliana tusuluhishane..hee..si nakuja ambiwa mida ya jion kaja chukuliwa na ndinga moja ya hatar hall 7 kule..

Yaan inshort matukio makubwa makubwa niliyapata meng...unakuta dem anakupenda..lakin sasa hela huna...bas nikawaga mim ni kuchapa yeyote alie mbele hangu.no strings hapo.

Matukio ni meng sana..siwez elezea.

Sasa now the table is turned....yaan kwa jins navyowatesa hawa watu..acheni tuu..

Kuna m1 hapa analazimisha kuja kwangu weekend hii..nmemwambia hapana ..hapa tunalumbana...ni kwamba kuna mwenzie anakuja...

Uzi tayari .(usinijudge...wanasema malipo ni hapa hapa ..na haya ndo malipo sasa)
Hahaha
 
Mim kiukwel sjawai kuwa single...yan toka nmejielewa..infwact...mim nilichelewa kdogo kuanza mapenz/kugonga..mim nilianza hayo mambo likizo ya kumaliza six.

Enewei ni hiv.kipind nmeanza .sikuwai pata shida ya kupata demu..hata mara1..mim ilikua siwez tongoza so najenga ukarib tu .mwisho wa siku najikuta tumeshikana shikana then ndo inakua mapenz yameanza hapo.

ila sasa nilikua napenda mademu wazur.yaan wale madem wakali...nilikua napata baadhi baadh nachemka.

Ila sasa hayo mateso yake ..wakuu si mchezo..yaan kuwa na demu mkali chuo halaf hela unategemea boom...mateso utakayopata ni makubwa.

Nakumbuka kuna dem nilikua namfata udom..natoka ud..yaan boom linaishia kwenye useng..tu...mara namu import.

Madem mapoz meng..anakukera lakin sabab mtoto mkal unakua mpole..kuna siku nakumbuka tuligombana na dem wangu m1 halaf ndo tulikua kwenye UE bas pepa ya mwisho..dem jion tumekubaliana tusuluhishane..hee..si nakuja ambiwa mida ya jion kaja chukuliwa na ndinga moja ya hatar hall 7 kule..

Yaan inshort matukio makubwa makubwa niliyapata meng...unakuta dem anakupenda..lakin sasa hela huna...bas nikawaga mim ni kuchapa yeyote alie mbele hangu.no strings hapo.

Matukio ni meng sana..siwez elezea.

Sasa now the table is turned....yaan kwa jins navyowatesa hawa watu..acheni tuu..

Kuna m1 hapa analazimisha kuja kwangu weekend hii..nmemwambia hapana ..hapa tunalumbana...ni kwamba kuna mwenzie anakuja...

Uzi tayari .(usinijudge...wanasema malipo ni hapa hapa ..na haya ndo malipo sasa)
Heri yako wewe ambae walau Uli graduate Kuna wengine Hadi wana maliza UD jawaja graduate.

Waliishia kuwa ma Desa Boy.


Kwa ambao hawajasoma UD " Ku graduate = kugonga demu anae soma UD ( slang)
 
Back
Top Bottom