Hahaha what's comrade Ramaphosa says about Tanzania economy

Hahaha what's comrade Ramaphosa says about Tanzania economy

Skiza hapa bongolala venus star,najua uwezo wenyu wa kufikiri na kuchambua mambo upo chini sana lakini wacha ni kuelimishe kidogo.....usichukulie maneno ya wanasiasa kwa uzito,baadhi ya maneno yao yanakusudi kufurahisha tu raia,haswa hapa afrika,ukitaka kujua mambo yalivyo afrika,go to the ground,kwa mfano mwaka juzi tu,king of zulu tribe-goodwill thwelini ali incite zulus against fellow black africans,yaani alichochea vurugu kwa waafrika wanaoishi SA ikiwemo watanzania,zulus ni wabantu kama baadhi ya watanzania lakini walivamia makazi ya wabantu wenzao(immigrants) na kuvuruga vibaya sana,they raped and maimed fellow africans ,sasa ubuntu uko wapi hapo,ndio maana tunawaambia hizo hadithi zenu za ukombozi kwa ground ni bullshit,hazina umuhimu wowote
 
Skiza hapa bongolala venus star,najua uwezo wenyu wa kufikiri na kuchambua mambo upo chini sana lakini wacha ni kuelimishe kidogo.....usichukulie maneno ya wanasiasa kwa uzito,baadhi ya maneno yao yanakusudi kufurahisha tu raia,haswa hapa afrika,ukitaka kujua mambo yalivyo afrika,go to the ground,kwa mfano mwaka juzi tu,king of zulu tribe-goodwill thwelini ali incite zulus against fellow black africans,yaani alichochea vurugu kwa waafrika wanaoishi SA ikiwemo watanzania,zulus ni wabantu kama baadhi ya watanzania lakini walivamia makazi ya wabantu wenzao(immigrants) na kuvuruga vibaya sana,they raped and maimed fellow africans ,sasa ubuntu uko wapi hapo,ndio maana tunawaambia hizo hadithi zenu za ukombozi kwa ground ni bullshit,hazina umuhimu wowote
Kijana achana na ujinga wa kikenya.
We all know you. AU inawajua wakenya.
Sisi SADC tunajuana sisi kwa sisi.
Hakuna nchi Africa inaweza kushirikiana na Kenya.
Tell me which project iliyokamilika ya Kenya na nchi jirani!?
Tanzania repaired railway from Port bell to Kampala, we have Railway from Tanzania to Zambia, wehave joint bridge between Tanzania and Rwanda, we have joint Bridge between Tanzania and Mozambique, we have railway connection From SA to Tanzania.
We have oil pipeline (TIPA) btn Tanzania and Zambia.

Maelezo ni mengi mno. Tell me which project does kenya has with neibour country!?
Soon Burundi will join SADC, After there Rwanda and finally Uganda. Mtabaki ninyi tu, washenzi wakubwa.
 
Tanzania economy was hurt majorly by socialism ambayo inaleta udhaifu wa kazi an udhaifu wa kifikra ,Hizi excuses zingine za kina Re Dimmer na Venus ni kama uchawi (no cause & effect ) na pia kukosa elimu . Bongolala nyie kweli ...even Botswana got hurt more by the liberation wars but uchumi wao uko imara 10x over.
 
Sasa wewe venus star,bongolala tu,by the way,sisi tulijenga viwanda mingi sana,thats why saa hii,we are the second largest exporter of manufactured goods in africa to the rest of africa after SA,nyinyi na hizo connections zenu zinawasaidia nini?ispokuwa kuexport cheap low value food crops.
 
The next revolution in SADC should be abouting removing useless indepedence parties from power,this will be the true liberation of sadc people,starting with zimbabwe,mugabe and his zanu-pf cronies inherited a near developed country from ian smith and the rhodesian settlers in 1980,indeed even nyerere himself told mugabe that he has inherited the jewel of africa,ZIM was only second to SA by then,it infrastructure was one of the best in africa,the rhodesian settlers had even turned zim into africas bread basket,zim exported food in tonnes,manufacturing was growing and was quite sound for a country like zim,bulawayo-zim second largest city was ths industrial hub,a well planned developing city which was better than most african capitals,even today you can see zim cities we well planned and built beneath the economic rot,now enter mugabe and zanu-pf,corruption became the order of the day,infrastructure started crumbling,manufacturing output slowed down,agriculture gradually died,eventually zimbabwe became the begging bowl of africa from africa food basket,30 years of independence and zanu-pf had turned the jewel of africa into a failed state,its a sad reality that almost 5 million zims are immigrants in SA,to me ZIM was better off under the rhodesian/ian smith,a well fed subject is better off than a wildling-facts of life........now to SA-south africa under apertheid was comparable to australia,it had one of the best infrastructures in the world,enter 25 years of ANC and SA is a former shadow of itself,state capture has become order of the day under SA.to make a long story short SADC need true liberation from independence parties who are making life miserable for the common folks.
 
Huu ndio tunaita uzwazwa, yaani mlitumika kuwakomboa ili muishi kula misifa wakati hampo hata ndani ya kumi na tano bora kati ya mataifa yanayofaidi uhusiano wao na Afrika Kusini. Heehehe hadi aibu, kazi kukenua meno mkikunwa na misifa wakati wenzenu wanaifaidi hiyo Afrika Kusini kupita maelezo.

Kikubwa ni kwamba hao hao Wasouth ndio wanafaidi sana migodi yenu wakati nyie pamoja na hata kupewa visa free bado mivivu wa kutupwa hamfanyi chochote cha maana, na wakianza kucharanga wageni mapanga, wazamiaji wenu huwa hawasazwi, wanachezea humo humo.
Kenya hatupeleka kiherehere kwa kujifanya wakombozi wa hao Wasouth lakini kiaina tunafaidi hata bila visa.

Misifa yote hiyo ya kuwakomboa na kwenye list hii hapa hampo hamtajwi sehemu

  1. China: US$8.7 billion (9.2% of South Africa’s total exports)
  2. Germany: $7.1 billion (7.5%)
  3. United States: $6.4 billion (6.8%)
  4. United Kingdom: $4.8 billion (5.1%)
  5. Japan: $4.5 billion (4.7%)
  6. India: $4.5 billion (4.7%)
  7. Botswana: $4.1 billion (4.3%)
  8. Namibia: $3.6 billion (3.8%)
  9. Mozambique: $3.3 billion (3.4%)
  10. Netherlands: $3.1 billion (3.3%)
  11. Belgium: $2.4 billion (2.6%)
  12. Zambia: $2.4 billion (2.6%)
  13. Zimbabwe: $2.3 billion (2.5%)
  14. South Korea: $1.9 billion (2%)
  15. United Arab Emirates: $1.8 billion (1.9%)

Acha tulewe sifa.wa Tz made from God atuna haraka ata nyie mkituomba alshabab tutaipiga.we eat,we harvest,we have peace no problem.mengine tunafanya taratiiibu coz tulipotoka na tulipo bado ni hatua nzuri.


On behalf of Jiwe
 
Huu ndio tunaita uzwazwa, yaani mlitumika kuwakomboa ili muishi kula misifa wakati hampo hata ndani ya kumi na tano bora kati ya mataifa yanayofaidi uhusiano wao na Afrika Kusini. Heehehe hadi aibu, kazi kukenua meno mkikunwa na misifa wakati wenzenu wanaifaidi hiyo Afrika Kusini kupita maelezo.

Kikubwa ni kwamba hao hao Wasouth ndio wanafaidi sana migodi yenu wakati nyie pamoja na hata kupewa visa free bado mivivu wa kutupwa hamfanyi chochote cha maana, na wakianza kucharanga wageni mapanga, wazamiaji wenu huwa hawasazwi, wanachezea humo humo.
Kenya hatupeleka kiherehere kwa kujifanya wakombozi wa hao Wasouth lakini kiaina tunafaidi hata bila visa.

Misifa yote hiyo ya kuwakomboa na kwenye list hii hapa hampo hamtajwi sehemu

  1. China: US$8.7 billion (9.2% of South Africa’s total exports)
  2. Germany: $7.1 billion (7.5%)
  3. United States: $6.4 billion (6.8%)
  4. United Kingdom: $4.8 billion (5.1%)
  5. Japan: $4.5 billion (4.7%)
  6. India: $4.5 billion (4.7%)
  7. Botswana: $4.1 billion (4.3%)
  8. Namibia: $3.6 billion (3.8%)
  9. Mozambique: $3.3 billion (3.4%)
  10. Netherlands: $3.1 billion (3.3%)
  11. Belgium: $2.4 billion (2.6%)
  12. Zambia: $2.4 billion (2.6%)
  13. Zimbabwe: $2.3 billion (2.5%)
  14. South Korea: $1.9 billion (2%)
  15. United Arab Emirates: $1.8 billion (1.9%)

Wewe ndio uliachia juzi ushuzi ndani ya Bunge baada ya kuvimbiwa Githeri ya kibera....!?
 
Huo ushauri mlifaa kuutumia kujishauri, kwamba mnapoteza muda kuja kututambia huku kwenye jukwaa la Wakenya misifa mnayopewa na hao akina Ramaphosa na kusahau hayo kwa leo hayana umuhimu mkubwa, kilicho cha maana ni ajira kwa vijana wa leo ambao hata hawamjui Mandela wala huyo Nyerere. Hawana muda na hiyo misifa, wanataka fursa, vyuma vimekaza kila kukicha.
Mlifaa kukaa muwaze jinsi gani ya kutumia fursa ya uhusiano mwema na hao Wasouth kupiga biashara ya nguvu na kujikomboa kutoka kwenye umaskini, bado mnajitetea eti mpo maskini kisa mliikomboa Afrika, miaka yote hii bado mnaikomboa Afrika?
Hebu ona hii picha hapa chini bado mnatajwa ndani ya mataifa maskini wa kutupwa....sio Afrika, yaani dunia yote mpo ndani ya mataifa kumi maskini wa kutolewa nje nje, mkihojwa mnajitetea eti mliikomboa Afrika

focuseconomics_poorest_countries_nov_2018-01.png
Utakuwa mchawi ww na vidata vyako vya google.narudia tena ww utakuwa unashida kama sio stress za maisha
 
Ni muda Sasa Tanzania kuwa mabepari wa kutisha falsafa za ujamaa tuachane nazo tuwe after money only
 
Matumizi ya akili bongo ni zero,sasa ona vile wanavyotiririka na upuzi tukiwaambia ukweli,nchi kama america ilitumia zaidi ya $12B through marshall plan kusaidia europe kuinuka kiuchumi baada ya world war 2 lakini huwezi ona wakiruka ruka kila mahali wakipayuka ati walisaidia europe.
Mngekuwa mna akili alshabab asingekuwa anawapiga mme wakumbatia mabeberu wamewageuza mpaka jinsi (gay)
 
Back
Top Bottom