Hai: Aliyekuwa Diwani wa CHADEMA aachiwa huru kwa tuhuma za kumbaka Mwanafunzi baada ya DNA kuonesha Mtoto aliyezaliwa sio wake

Mahakama ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, imemwachia huru diwani wa zamani wa Masama Mashariki (CHADEMA), John Munisi, ambaye alikuwa akikabiliwa na kesi ya kubaka na kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari Marire...
Hii wapeni kina zittokabwe waende wawaonyeshe WB na matajiri wao EU. Msichana kapata mimba jatangatanga kambambikizia mtu anafungwa maisha. Akushafungwa binti karudi Ndanda Girks kumalizia masomo yake baadaye ambambikizie mtu mwingine.
 
Haya yote ilikuwa ni kazi ya ile empire ya kishamba.
... Mwenyezi Mungu amlaani huko aliko; imeniuma sana hii kitu. Yaani nimeji-feel kama ni mimi; nimetetemeka kwa hasira basi tu. Dah; na huyo "mwanafunzi" abanwe aseme huo uchafu aliutoa wapi na mhusika alipwe fidia ya kutosha.
 
Mtoto angekufa je? Jamaa si angeozea uko? Au dna inapimwa hata kama mtu kaenda-zake?
 
nani anahusika kumtesa mtu kwa makusudi? Mwanafunzi hana hatia kwakuidanganya mahakama? Ifike wakati wanaobambikia kesi watu wapate adhabu ile ile ambayo angepata mtuhumiwa.
 
Binti ana kesi ya kujibu. Baba tarajiwa imesthibika si yeye! Kaidanganya mahakama
Sio baba wa mtoto, lakini inawezekana ni kweli alibaka. Huo utetezi uliotumika kumtetea mtuhumiwa unaacha maswali mengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…