Hyo taarifa hujaielewa vizur , umekuja kumuatack DC sababu upo oppressed Sana na mindset yako ipo totally negative , Mbunge feki how comes ? Thibitisha ..... Dc amefatilia majina ya hao walimu hayajafika hazina miaka miwili sasa , Nani yupo responsible kuyafikisha hazina ? Ametoa sku tatu utumishi wapeleke hayo majina hazina ,kama ofisi ya mkuu wa wilaya itafanya sehemu yake ili wapate mafao Yao....Sabaya alishawahi kunipiga Kofi kipind tunasoma Ikizu sekondary mi nikiwa form one yeye form four ...ila siwez mchukia Kwa kiwango kama chako aiseee