Hai: DC Sabaya awataka Utumishi kueleza kwanini hawajapeleka majina ya Walimu waliostaafu Hazina

Hyo taarifa hujaielewa vizur , umekuja kumuatack DC sababu upo oppressed Sana na mindset yako ipo totally negative , Mbunge feki how comes ? Thibitisha ...
Huyo afisa utumishi anatoa wapi hizo fedha za kuwalipa wastaafu mfukoni mwake au.hivi kweli kufikiri kwetu ndo kunaishia Hapo?hata mtoto wa chekechea anajua hiyo ni hadaa.
 
Wewe ndo mjinga, mtu anatafuta haki kwa wanaotaabika wewe unakuja kinyumbunyumbu pingapinga Fc.

Ila siyo kosa lako ni la saccos unayoshabikia ukiongonza na huyo wa kwenye avatar anayeishi na beberu lake ughaibuni.
 
Hutudanganyi tulosikiliza ktk Millard Ayo,Kampa siku tatu ahakikishe barua za kuomba fedha zao ziwezimechapwa kupelekwa kwa karibu mkuu Tena yeye na mbunge wataenda nazo ijumaa.
Na alikua anamshangaa afisa Utumishi anaandika barua ya kukumbushia madai ya mwalimu mstaafu tangu mwaka 2018 alipositishiwa payroll yake kwa miez7 na Kisha kurudishwa.
 
Huyo afisa utumishi anatoa wapi hizo fedha za kuwalipa wastaafu mfukoni mwake au.hivi kweli kufikiri kwetu ndo kunaishia Hapo?hata mtoto wa chekechea anajua hiyo ni hadaa.
Kapotosha huyo mleta mada
 
Hao nyumbu pingapinga Fc wasikuumize kichwa dogo. Akili zipo ubelgiji huku anacomment kinyumbunyumbu.
 
MLETA MADA UMEPOTOSHA KWA MAKUSUDI HYO TAARIFA ILIMRADI TU UJENGE CHUKI ZAKO ZILIZOJIFICHA KWA WATU.

Nenda kwa Millard Ayo ukaskilizie hayo majadiliano kamili kwa video ya takriban dakika8 na kitu
 
Huyo afisa utumishi anatoa wapi hizo fedha za kuwalipa wastaafu mfukoni mwake au.hivi kweli kufikiri kwetu ndo kunaishia Hapo?hata mtoto wa chekechea anajua hiyo ni hadaa.
Huyo afisa ameulizwa kwa nn hayajaenda hazina?Kama hayajakamilika kwa maana ya viambatishi vinavyotakiwa yy afanyeje.mara nyingi ss waafrika/watz hatuna tabia ya kutunza kumbukumbu usijekuta viambatishi kibao havipo na je Kama yatapelekwa hivyo hivyo hazina wataefect hayo malipo?
 
Wewe ndo mjinga, mtu anatafuta haki kwa wanaotaabika wewe unakuja kinyumbunyumbu pingapinga Fc.
Ila siyo kosa lako ni la saccos unayoshabikia ukiongonza na huyo wa kwenye avatar anayeishi na beberu lake ughaibuni.
Watu hawajielewi kabisaaa
 
Jinga kabisa mleta mada. Sura ngumu kama ngozi ya mamba. Mxiuuuu
 
Acha ushamba,kick za nini? Hapa kazi inapigwa.

Asafishe uchafu hapo idara yake ya Ardhi kwanza kama kweli anapiga kazi!! DED na Afisa wake wa Ardhi wanashirikiana kuwaibia wananchi kwa rushwa!!! Akiwa kimya he will be an accomplice!!
 
Sitashangaa sana nikisikia mabadiliko ya mkuu wa wilaya
 
Chapa viboko hadharani wote hao.
 
Sidhani kama unajua utaratibh wa malipo ya wastaafu
 
Akisemea inakuwa ni Drama, asiposemea aah wanajali matumbo Yao hayupo wa kutusemea , hii nchi inahtaj kiongozi mwenye roho mbaya zaidi ili iende
Labda akuongoze wewe na ukoo wako.nchi inahitaji kiongozi mwenye busara
 
Akisemea inakuwa ni Drama, asiposemea aah wanajali matumbo Yao hayupo wa kutusemea , hii nchi inahtaj kiongozi mwenye roho mbaya zaidi ili iende
Chama cha upingaji ndo wako hivyo, vigeugeu kweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…