Hai, Kilimanjaro: Komandoo Adamoo na wenzake wazawadiwa ng’ombe dume kila mmoja

Makomandoo wengine wawili wako wapi na wana maisha gani huko waliko, mana wamekaa jela mwaka mzima.... Gabriel Mhina na Khalid Athuman
 
Ccm hamna mwanasisa ona walivyo paisha watu
 
Mara paap DPP anaonesha nia ya kuendelea na kesi, siku hiyo nitafanya bonge la sherehe
anarudishaje kesi wakati walishindwa kesi mpaka akaona hanania yakuendelea nayo aweke mpira kwapani Mbowe akija kujitetea atamwaibisha mazatozo na serikali yake. We endeleea kuteseka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…