Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Shahidi wa jamhuriDada wa rau ni nani jamaniii mbona simfahamu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shahidi wa jamhuriDada wa rau ni nani jamaniii mbona simfahamu??
Jina la Kristo lihimidiwe
Makomandoo hao ambao ni Walinzi wa Freeman Mbowe kwa kinachoitwa ( VIP PROTECTION ), waliokamatwa na kuwekwa Gerezani kwa miezi mingi, leo wamefika Hai Mkoani Kilimanjaro pamoja na Mtuhumiwa mwenzao Mbowe, aliyeenda huko kutoa Sadaka ya Shukrani kwenye Kanisa la KKKT Nshala Machame
Pamoja na kuzawadiwa ng'ombe dume wakubwa kabisa kila mmoja, pia wamepewa BAHASHA NZITO NZITO SANA kila mmoja , ambazo ndani yake haifahamiki mmewekwa nini.
Zawadi hizo zote zimetolewa na Wazee wa Machame kama sehemu ya Shukrani zao kwa Makomandoo hao kwa Uaminifu wao kwa Mbowe kutokana na kinachoitwa Kukataa kutoa Ushahidi wa Uongo ili ionekane Mbowe ni Gaidi hata baada ya kuteswa sana kuliko karibia kifo , uaminifu wa Makomandoo hawa umewapa heshima kubwa sana mbele ya Jamii.
.
Kujulikana kwao kuna tija gani ?CCM imewa-promote sana hawa jamaa, sasa hivi wanajulikana Tanzania zaidi ya Shaka.
Kwani wewe upo CCM kwa kuvutiwa na Sera zake au kwavile kipo madarakani kinaweza kukuchotea hela ya serikali?Sawa hata mamvii alisema kama wewe lkn baadae alirudi
Je na wewe huwez kurud huko ccm baadae??
Maana kilicho kuvutia ni hao komandoo
Sio sera za chadema
Unafanya mchezo wewe huyo ng'ombe amekonda?Natumaini hao ng'ombe hawatakuwa wamekonda kama yule wa Mayele.View attachment 2157074
Imempaisha wapi na kwa nani? Na hadi sasa Mbowe amekuwaje ili tujue imempaisha?Ile kesi ya kubumba imempaisha Sana Mbowe
Kumla huyu ng'ombe kwa target ya kunenepa itakuwa ni utaniNatumaini hao ng'ombe hawatakuwa wamekonda kama yule wa Mayele.View attachment 2157074
Unaroho ngumu, unataka akondaje ndio ukubali?Unafanya mchezo wewe huyo ng'ombe amekonda?
Labda anataka abaki skeleton tuUnaroho ngumu, unataka akondaje ndio ukubali?
Ccm Hawakulijua HiloCCM imewa-promote sana hawa jamaa, sasa hivi wanajulikana Tanzania zaidi ya Shaka.
Yanga WalikomaNatumaini hao ng'ombe hawatakuwa wamekonda kama yule wa Mayele.View attachment 2157074
Sasa kama ndama sio ng'ombe ni binadamu?We dada acha uongo,ndama unaita ng'ombe?View attachment 2157163
Wewe msengerema unatijaganiKujulikana kwao kuna tija gani ?
Tija ya kukutiaWewe msengerema unatijagani
Chadema itazedi kuungwa mkono na Mkomando kwani hawa wote wanamarafiki ambao wako MtaaniCCM imewa-promote sana hawa jamaa, sasa hivi wanajulikana Tanzania zaidi ya Shaka.
Ameshinda kesi dhidi ya watesi wakeImempaisha wapi na kwa nani? Na hadi sasa Mbowe amekuwaje ili tujue imempaisha?
Bado kuna mengi sana ya kufuatiliwa watu wajue: kwa mfano, Ben Saanane. Nani aliyemteka MO na kwa sababu gani? Risasi 16 alizopokea Lissu...Itabidi ianzishwe campaign rasmi ya where is Lijenje tujue alipo na kama alikufa waliomuua wafikishwe mahakamani.
Sirro ana maswala mengi ya kujibu kufafanua1. Sirro hana amani
2. Kingai anahofu
3. Urio hajiwezi
4. Dada wa Rau ana mashaka na maisha yake
Ni ukosefu wa uwajibikaji.Sirro ana maswala mengi ya kujibu kufafanua
1.Polisi aiyetamka kuwa Mbowe hawezi kushinda
View attachment 2158085
2. Yote waliyoropoka kuhusu Mbowe
View attachment 2158089
3. Ypte waliyozusha kuhusu Lema
View attachment 2158106
Hushindi Wewe ! alisikika OCD wa Hai akimwambia MboweSirro ana maswala mengi ya kujibu kufafanua
1.Polisi aiyetamka kuwa Mbowe hawezi kushinda
View attachment 2158085
2. Yote waliyoropoka kuhusu Mbowe
View attachment 2158089
3. Ypte waliyozusha kuhusu Lema
View attachment 2158106