Itafute halafu unipe mrejesho, mi sijaanza kuitumia ila kuna mtu aliitumia anakaribia 60 ila nilipomuona ni km amekuwa na 48 hivi, na ni mwanaume sasaunasema kwel niitafute chap,,maana watoto watatu tuu nshaanza kukunjana
Uuuwweeeh kama mwanaume karudi ivo,,mimi jeee si ntarud miaka 40 nyumaItafute halafu unipe mrejesho, mi sijaanza kuitumia ila kuna mtu aliitumia anakaribia 60 ila nilipomuona ni km amekuwa na 48 hivi, na ni mwanaume sasa
Kingine inasemekana maji ya mchele hufanya uke kuwa mdogo we bhana unanizingua, mtoa mada atusamehe tushamvurugia uziππππ Usije ukanywa tuu...
Ishia kunawa ila kunywa NOOO NOOO usije jaribu...
.kwa sasa siwezi sema kila kitu kuhusu madhara yake kutokana na kuogopa watu wanaweza nidhania mimi kijana wa hovyo
Sikutanii! Ila yupo iliyemkataa sasa sijui aliichanganya na korokoro gani, maana wanawake tuna hekahekaUuuwweeeh kama mwanaume karudi ivo,,mimi jeee si ntarud miaka 40 nyuma
πππShangazi mpya wa kinyerezi..Sichukui nafasi ya mashangazi yako
Uhhhhhhhhhh weee rudia hapo et hufanya nanii kuwa ndogo ..Kingine inasemekana maji ya mchele hufanya uke kuwa mdogo we bhana unanizingua, mtoa mada atusamehe tushamvurugia uzi
mi ni bulakiiii hope haitonikataaπSikutanii! Ila yupo iliyemkataa sasa sijui aliichanganya na korokoro gani, maana wanawake tuna hekaheka
Naona umejisahaulisha kuwa nimekutangulia kuona juaUhhhhhhhhhh weee rudia hapo et hufanya nanii kuwa ndogo ..
Inaweza kuwa kama mpya vile...
ππππππ
Kuna watu wakiona hii comment yako watatafuta hayo maji hata kwa kununua...
Wew hayo umejulia wapi madam πππ
Kijana una hekaheka weye,,huyo ni babu yako toka lini mi nkawa mwanaume,au kengeza lako linaona huyo ni mwanamke?πππShangazi mpya wa kinyerezi..
Huyo dp ni wewe mshangazi..?
Haitakutaa kwa jina la Yesu,mi ni bulakiiii hope haitonikataaπ
Ameeeeeeeen.Haitakutaa kwa jina la Yesu,
Mimi pia huwa nauona tu kwenye comments za watu huko IG sijawahi kuelewa wanamaanisha nini.Huo msemo wa haichukui nafasi ya daktari sijauelewa mwenzenu unamaanisha nini?
Mtoa mada atatuelewesha ngoja tumsubiriMimi pia huwa nauona tu kwenye comments za watu huko IG sijawahi kuelewa wanamaanisha nini.
πππππ Daah.. sina mengiNaona umejisahaulisha kuwa nimekutangulia kuona jua
Mmmmmh wewe ni wa kiume huyo...Kijana una hekaheka weye,,huyo ni babu yako toka lini mi nkawa mwanaume,au kengeza lako linaona huyo ni mwanamke?
CrapHAICHUKUI NAFASI YA DAKTARI usizidishe message juu ya message ambayo haijajibiwa especially ya mpenzi usilete unyonge
- Haichukui nafasi ya daktari usitume na ya kutolea kama Kila siku anakupiga kalenda
-Haichukui nafasi ya daktari mara moja moja kunywa bia mbili kalale
- Haichukui nafasi ya daktari
ukiombwa tunda la katikati mwanadada usibanie utazikwa nalo tunda
-Haichukui nafasi ya daktari unapofika eneo la watu wengi kwenye barabara punguza mwendo
-Haichukui nafasi ya daktari unapokatiza mitaa usiyoijua salimia hao watu unaopishana kunakukosea njia shauri yakoπ€£utadhalilika lakini pia majirani jenga utaratibu wa kuwasilimia
_Haichukui nafasi ya daktari unapoenda kusalimia sehemu kweli nenda kasilimie kwa mda uliopanga usipafanye makazi watu wanaishi kwa bajeti
-Haichukui nafasi ya daktari unapokutana na mwanadada aliyejazia usigeuze sana shingo kumwangaliaπ€£(Sema dah hii mizigo itatuua)
Kwa leo niishie hapa, haya tuendeleze na mambo mengine Ambazo Hayachukui nafasi ya daktari.............
Zoom vizur totooMmmmmh wewe ni wa kiume huyo...
πππ
Mi habari za kuitana toto humu ndani ...Zoom vizur totoo
Hasira za ki totoo kabisa yanMi habari za kuitana toto humu ndani ...
Takuja piga mtu hii seriously sasa
Njoo nikwambie kitu mana naona kama nateseka pekee angu kudadek ππππππHasira za ki totoo kabisa yan