Haiingii akilini kabisa kwamba Yanga alishindwa fitina pale kwa Mkapa

Haiingii akilini kabisa kwamba Yanga alishindwa fitina pale kwa Mkapa

Ahyan

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2019
Posts
2,310
Reaction score
5,482
Mimi nina imani kubwa kwamba Yanga alijiandaa na kamati ya ufundi pale kwa Mkapa dhidi ya wale waarabu weusi, na alifanikiwa kabisa kupata ushindi mnono wa nje...

Ila naamini kuna wahaini ambao kwa hulka zao za kichawi za kutopenda maendeleo ya wengine waliamua kuwasanua ama wao wenyewe kutibua mipango ya Yanga...

Nashauri kama kuna uwezekano wa kuwatambua na kufahamu kwa hakika kwamba hilo limefanyika, basi wahusika wapewe adhabu...

Roho mbaya haijengi... Roho mbaya ni uchawi
 
Nyie badala msajili wachezaji wa maana mnategemea wachezaji wa bure wa kuokota kwa mafungu...

Ukifanya fitna nje ya uwanja lazima uwe na wachezaji wenye uwezo wa kushinda mechi.

Sasa Yanga wachezaji mda wote wanatembea uwanjani.. huo ushindi utatoka wapi?
 
Business as usual, wameharibu utopolo lawama kwa wengine, kiufupi timu yenu inakuzwa na waamizi wabovu akina Ahmed Arajiga na akina Heri Sasii vinginevyo utopolo Bado ni timu inayocheza kwa pressure na virugu zisizo na faida yoyote.
Ina maana tunavyo wapasua Kila tukikutana ni waamuzi wanao ibeba Yanga!!
Kama bado huamini unakikosi dhaifu mbele ya Yanga utaendelea kufungwa mbaka uchanganyikiwe.
 
Ina maana tunavyo wapasua Kila tukikutana ni waamuzi wanao ibeba Yanga!!
Kama bado huamini unakikosi dhaifu mbele ya Yanga utaendelea kufungwa mbaka uchanganyikiwe.
Haya endelea kumfunga Simba kila mara utaingizwa makundi cafcl😄😄😄, unakamia mechi na kucheza papatu papatu unajiona bingwa wa Afrika?
Kama kufungwa hata prisons, kagera sugar na jkt Tanzania walishatufunga lakini ni wadogo kwa Simba, hakuna maajabu hapo, timu inatumia gharama kusajili kwaajili ya kumfunga Simba Sc? 🤣🤣🤣🤣😄😄😄😄
 
Haya endelea kumfunga Simba kila mara utaingizwa makundi cafcl[emoji1][emoji1][emoji1], unakamia mechi na kucheza papatu papatu unajiona bingwa wa Afrika?
Kama kufungwa hata prisons, kagera sugar na jkt Tanzania walishatufunga lakini ni wadogo kwa Simba, hakuna maajabu hapo, timu inatumia gharama kusajili kwaajili ya kumfunga Simba Sc? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Nitajie kikombe chochote alicho chukua Simba kwenye mashindano ya Caf? Yanga yeye ni Bingwa wa kihistoria Kwa mashindano ya ndani ya nchi.
 
Nitajie kikombe chochote alicho chukua Simba kwenye mashindano ya Caf? Yanga yeye ni Bingwa wa kihistoria Kwa mashindano ya ndani ya nchi.
Timu ni biashara siyo historia, ndiyo maana timu nyingi zinacheza walau tu kuingia makundi CAF Champions league na CAF confederation cup zipate pesa, we endelea na historia ya makombe yasiyo na thamani ya maana🚮🚮🚮
 
Nitajie kikombe chochote alicho chukua Simba kwenye mashindano ya Caf? Yanga yeye ni Bingwa wa kihistoria Kwa mashindano ya ndani ya nchi.
Usishangae biashara team iliyo daraja la pili Tanzania Inatambulika kuwa kubwa kuliko yanga .Na hili litawatesa sana Mungu awapangie Hawa mtoke Tena club Tunis,Al hilal tripol,mazembe ,pyramid,cfaxien,berkane,futures kwa hawa unakufa nyumban na ugenini
 
Timu Kama hi muda wote inawaza FITINA tu ni ngumu kufanikiwa.
Babra kabadilisha sana akili za watu wa Simba.sidhani Kama Yale mambo bado yanatokea na hata Kama yanatokea sidhani Kama wanamwambia
 
Usishangae biashara team iliyo daraja la pili Tanzania Inatambulika kuwa kubwa kuliko yanga .Na hili litawatesa sana Mungu awapangie Hawa mtoke Tena club Tunis,Al hilal tripol,mazembe ,pyramid,cfaxien,berkane,futures kwa hawa unakufa nyumban na ugenini
Utopolo always ni failures, imagine wameamua kumchukuwa mandonga failure mwenzao
 
Nyie utopolo acheni uzwazwa kila mkija ni point ya kuifunga Simba ndo mjue nyie ni wachawiiiii mnatumia ndumba ndani humu mkitoka nje uchawi haufanyi kazi mnaishia kupigwaa. Hamna cha timu ya kumfunga Simba nyie nasema hmnaaa kwa sasa. Na trh 23 tafuteni na kamba za kujinyongea..mnavyoipania simba hyo siku na wao wanawapania hivyo hivyo
 
Wana Simba wenzangu hawa wasiwafanye mjione kwamba wao ni unbeaten kwao hwana kitu hawa. Kwenye ngao ya jamii yule kocha wa kizungu aliwaacha key players wote nje yani kiufupi alikula njama kabisaa hakua anaitakia mema Simba. Kwa sasa yanga watapigwaa nasema hivi watapigigwaaa
 
Wana Simba wenzangu hawa wasiwafanye mjione kwamba wao ni unbeaten kwao hwana kitu hawa. Kwenye ngao ya jamii yule kocha wa kizungu aliwaacha key players wote nje yani kiufupi alikula njama kabisaa hakua anaitakia mema Simba. Kwa sasa yanga watapigwaa nasema hivi watapigigwaaa
Simba Hana timu ya kuifunga Yanga, Ao Al Hilal wamepata matokeo Kwa Bahasha, Simba ndio timu inayo tambuliwa Kwa uchawi na CAF iliwapiga adhabu ya Dola 20,000/=
Tarehe 23 tunaendeleza tulipo ishia na kukata kidomodomo chenu.
 
Simba Hana timu ya kuifunga Yanga, Ao Al Hilal wamepata matokeo Kwa Bahasha, Simba ndio timu inayo tambuliwa Kwa uchawi na CAF iliwapiga adhabu ya Dola 20,000/=
Tarehe 23 tunaendeleza tulipo ishia na kukata kidomodomo chenu.
Kama malengo ya Yanga ni kumfunga Simba pekee basi yale maneno ya Bugatti kwamba hapo Yanga wenye akili ni wawili tu yanabaki kuwa ya kweli.

Misukule fc badilikeni mpira wa leo unahitaji ushindani wa kimataifa kuongeza thamani ya club na wachezaji.

Unadhani baadhi ya viongozi na wamiliki wa timu wanapokuwa na malengo ya kufika japo group stage tu CAF champions ni wajinga?

Huko ndo biashara ya mpira ilipo. Mfano Malengo ya Simba msimu huu ni kufika angalau nusu fainali Caf champions kwakuwa robo fainali tumecheza sana.
 
Back
Top Bottom