Ina maana tunavyo wapasua Kila tukikutana ni waamuzi wanao ibeba Yanga!!Business as usual, wameharibu utopolo lawama kwa wengine, kiufupi timu yenu inakuzwa na waamizi wabovu akina Ahmed Arajiga na akina Heri Sasii vinginevyo utopolo Bado ni timu inayocheza kwa pressure na virugu zisizo na faida yoyote.
Haya endelea kumfunga Simba kila mara utaingizwa makundi cafcl😄😄😄, unakamia mechi na kucheza papatu papatu unajiona bingwa wa Afrika?Ina maana tunavyo wapasua Kila tukikutana ni waamuzi wanao ibeba Yanga!!
Kama bado huamini unakikosi dhaifu mbele ya Yanga utaendelea kufungwa mbaka uchanganyikiwe.
Nitajie kikombe chochote alicho chukua Simba kwenye mashindano ya Caf? Yanga yeye ni Bingwa wa kihistoria Kwa mashindano ya ndani ya nchi.Haya endelea kumfunga Simba kila mara utaingizwa makundi cafcl[emoji1][emoji1][emoji1], unakamia mechi na kucheza papatu papatu unajiona bingwa wa Afrika?
Kama kufungwa hata prisons, kagera sugar na jkt Tanzania walishatufunga lakini ni wadogo kwa Simba, hakuna maajabu hapo, timu inatumia gharama kusajili kwaajili ya kumfunga Simba Sc? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Timu ni biashara siyo historia, ndiyo maana timu nyingi zinacheza walau tu kuingia makundi CAF Champions league na CAF confederation cup zipate pesa, we endelea na historia ya makombe yasiyo na thamani ya maana🚮🚮🚮Nitajie kikombe chochote alicho chukua Simba kwenye mashindano ya Caf? Yanga yeye ni Bingwa wa kihistoria Kwa mashindano ya ndani ya nchi.
Usishangae biashara team iliyo daraja la pili Tanzania Inatambulika kuwa kubwa kuliko yanga .Na hili litawatesa sana Mungu awapangie Hawa mtoke Tena club Tunis,Al hilal tripol,mazembe ,pyramid,cfaxien,berkane,futures kwa hawa unakufa nyumban na ugeniniNitajie kikombe chochote alicho chukua Simba kwenye mashindano ya Caf? Yanga yeye ni Bingwa wa kihistoria Kwa mashindano ya ndani ya nchi.
Utopolo always ni failures, imagine wameamua kumchukuwa mandonga failure mwenzaoUsishangae biashara team iliyo daraja la pili Tanzania Inatambulika kuwa kubwa kuliko yanga .Na hili litawatesa sana Mungu awapangie Hawa mtoke Tena club Tunis,Al hilal tripol,mazembe ,pyramid,cfaxien,berkane,futures kwa hawa unakufa nyumban na ugenini
Simba Hana timu ya kuifunga Yanga, Ao Al Hilal wamepata matokeo Kwa Bahasha, Simba ndio timu inayo tambuliwa Kwa uchawi na CAF iliwapiga adhabu ya Dola 20,000/=Wana Simba wenzangu hawa wasiwafanye mjione kwamba wao ni unbeaten kwao hwana kitu hawa. Kwenye ngao ya jamii yule kocha wa kizungu aliwaacha key players wote nje yani kiufupi alikula njama kabisaa hakua anaitakia mema Simba. Kwa sasa yanga watapigwaa nasema hivi watapigigwaaa
Kama malengo ya Yanga ni kumfunga Simba pekee basi yale maneno ya Bugatti kwamba hapo Yanga wenye akili ni wawili tu yanabaki kuwa ya kweli.Simba Hana timu ya kuifunga Yanga, Ao Al Hilal wamepata matokeo Kwa Bahasha, Simba ndio timu inayo tambuliwa Kwa uchawi na CAF iliwapiga adhabu ya Dola 20,000/=
Tarehe 23 tunaendeleza tulipo ishia na kukata kidomodomo chenu.