Nyie ndo wachawi wakubwa yani mnapenda ushirikina Simba imeshapiga hatua kubwa..endeleeni kupita milango ya nyuma na miko yenu nyuma. Nasema.hivi trh 23 mtapigwaaa nipo hapa..kama una uhakika ule ulikua ni uchawi pale SA basi endelea kuamini hivyo.Simba Hana timu ya kuifunga Yanga, Ao Al Hilal wamepata matokeo Kwa Bahasha, Simba ndio timu inayo tambuliwa Kwa uchawi na CAF iliwapiga adhabu ya Dola 20,000/=
Tarehe 23 tunaendeleza tulipo ishia na kukata kidomodomo chenu.
Na ndio furaha yetu hayo mengine ziada?Haya endelea kumfunga Simba kila mara utaingizwa makundi cafcl[emoji1][emoji1][emoji1], unakamia mechi na kucheza papatu papatu unajiona bingwa wa Afrika?
Kama kufungwa hata prisons, kagera sugar na jkt Tanzania walishatufunga lakini ni wadogo kwa Simba, hakuna maajabu hapo, timu inatumia gharama kusajili kwaajili ya kumfunga Simba Sc? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hiyo bl 1? Haitoshi hata mishahara ya wacjezaji wetuTimu ni biashara siyo historia, ndiyo maana timu nyingi zinacheza walau tu kuingia makundi CAF Champions league na CAF confederation cup zipate pesa, we endelea na historia ya makombe yasiyo na thamani ya maana[emoji706][emoji706][emoji706]
Ingekua wana uwezo huo wangetolewa?Usishangae biashara team iliyo daraja la pili Tanzania Inatambulika kuwa kubwa kuliko yanga .Na hili litawatesa sana Mungu awapangie Hawa mtoke Tena club Tunis,Al hilal tripol,mazembe ,pyramid,cfaxien,berkane,futures kwa hawa unakufa nyumban na ugenini
Kwani nyie huko nje mmetuletea nini?Endeleeni kubaki kwenye historia yenu ya mashndano ya ndani.
Then why mnpga kelele baada ya kutolewa klabu bingwa Africa???????
Kule hatuwezi fika kwa viela vya mo na gsm, hao al hilal ya sudan wametuacha mbali sana kiuchumi japo nchini mwao ni vita tu, simba ishukuru tu mtoano ya awali inapangiwa timu za kawaida, mwaka wa ile yanga kampa tena tulipangiwa al ahaly ya misri.Kama malengo ya Yanga ni kumfunga Simba pekee basi yale maneno ya Bugatti kwamba hapo Yanga wenye akili ni wawili tu yanabaki kuwa ya kweli.
Misukule fc badilikeni mpira wa leo unahitaji ushindani wa kimataifa kuongeza thamani ya club na wachezaji.
Unadhani baadhi ya viongozi na wamiliki wa timu wanapokuwa na malengo ya kufika japo group stage tu CAF champions ni wajinga?
Huko ndo biashara ya mpira ilipo. Mfano Malengo ya Simba msimu huu ni kufika angalau nusu fainali Caf champions kwakuwa robo fainali tumecheza sana.
Kule hatuwezi fika kwa viela vya mo na gsm, hao al hilal ya sudan wametuacha mbali sana kiuchumi japo nchini mwao ni vita tu, simba ishukuru tu mtoano ya awali inapangiwa timu za kawaida, mwaka wa ile yanga kampa tena tulipangiwa al ahaly ya misri.