Haijaisha mpaka iishe: Halima Mdee na wenzake waiburuza CHADEMA Mahakama ya Rufani dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu

Haijaisha mpaka iishe: Halima Mdee na wenzake waiburuza CHADEMA Mahakama ya Rufani dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu

Zengwe lilishakwisha, CHADEMA ilishawafukuza kitambo sana, mahakama ikabariki kufukuzwa kwao, spika na CCM ya mchongo ndio wakaamua kuwakumbatia.

Wabunge wa COVID 19 ni kondomu za kisiasa zilizotumika, hazifai tena popote. Mtaani hazitakiwi, CCM hazihitajiki pia.
Yana mwisho tu
 
Kodi za watanzania zinachezewa sana ,bado watu wenye nia njema na taifa hawaoni sababu ya kutengeneza katiba mpya???
Ccm hawamtaki kabisa kuona watanzania wanapata haki zao
 
Back
Top Bottom