Kabla ya leo hatukua tunasema hvMchezaji ana miaka 38 ,Saidoo unamrekebisha kitu gani aisee..
Simba tuna magarasa mengi...na viongozi wanaohusika na usajili waache janjajanja
Hapo bado hamjasema, hahaMchezaji ana miaka 38 ,Saidoo unamrekebisha kitu gani aisee..
Simba tuna magarasa mengi...na viongozi wanaohusika na usajili waache janjajanja
ha ha pole imeisha hiyo bye byeWaarabu hawatishi kama tunavyowafikiria,
Kwa namna ya uchezaji tuliouna simb tumeweza kuwapress sana hawa waarabu na hata possesion ilikuwa upande wetu, shots on target za simba ni 7 wao ni 1 tu, total shots za simba zinakaribia 20...
Akikujibu na akawa sahihi nijuzeNani sasa anasimama pale mbele?
Hebu kalale bana[emoji1][emoji1][emoji1]Waarabu hawatishi kama tunavyowafikiria,
Kwa namna ya uchezaji tuliouna simb tumeweza kuwapress sana hawa waarabu na hata possesion ilikuwa upande wetu, shots on target za simba ni 7 wao ni 1 tu, total shots za simba zinakaribia 20...
Haya convert hizo ball possession na shots ziwe goliWaarabu hawatishi kama tunavyowafikiria,
Kwa namna ya uchezaji tuliouna simb tumeweza kuwapress sana hawa waarabu na hata possesion ilikuwa upande wetu, shots on target za simba ni 7 wao ni 1 tu, total shots za simba zinakaribia 20...
Kwa akili zako timamu utaweza kwenda kumtoa Aly ahly kwake? Umepigwa nyumbani kwako sebuleni kwako ukiwa na nyenzo zote, umeroga mpaka umetoa makafara lakini wapi, kule ayo utaenda kuyafanyia wapi?Waarabu hawatishi kama tunavyowafikiria.
Kwa namna ya uchezaji tulionaa simba tumeweza kuwapress sana hawa waarabu na hata possesion ilikuwa upande wetu, shots on target za simba ni 7 wao ni 1 tu, total shots za simba zinakaribia 20.
Tumewakosa kosa sana haya makosa yakirekebishwa tunaweza kupindua meza Misri vizuri kabisa.
HAIJAISHA MPAKA IISHE
Kuna mda walimuonesha try again sjui na mangungu nafikir, majamaa tumekaa nao wamewatukana sanaMchezaji ana miaka 38 ,Saidoo unamrekebisha kitu gani aisee..
Simba tuna magarasa mengi...na viongozi wanaohusika na usajili waache janjajanja