Waarabu hawatumii meza Mkuu.Waarabu hawatishi kama tunavyowafikiria.
Kwa namna ya uchezaji tulionaa simba tumeweza kuwapress sana hawa waarabu na hata possesion ilikuwa upande wetu, shots on target za simba ni 7 wao ni 1 tu, total shots za simba zinakaribia 20.
Tumewakosa kosa sana haya makosa yakirekebishwa tunaweza kupindua meza Misri vizuri kabisa.
HAIJAISHA MPAKA IISHE
hizo takwimu hazita kusaidia lolote mwisho wa siku utatoka kwenye hayo mashindano maana anatakiwa mwenye magoli mengi sio shot on target wala kumiliki mpira.Waarabu hawatishi kama tunavyowafikiria.
Kwa namna ya uchezaji tulionaa simba tumeweza kuwapress sana hawa waarabu na hata possesion ilikuwa upande wetu, shots on target za simba ni 7 wao ni 1 tu, total shots za simba zinakaribia 20.
Tumewakosa kosa sana haya makosa yakirekebishwa tunaweza kupindua meza Misri vizuri kabisa.
HAIJAISHA MPAKA IISHE
Hizi nguvu unazotumia hapa kueleza huu uharo ni vizuri ungezipeleka shambani pengine ungevuna hata magimbi.Waarabu hawatishi kama tunavyowafikiria.
Kwa namna ya uchezaji tulionaa simba tumeweza kuwapress sana hawa waarabu na hata possesion ilikuwa upande wetu, shots on target za simba ni 7 wao ni 1 tu, total shots za simba zinakaribia 20.
Tumewakosa kosa sana haya makosa yakirekebishwa tunaweza kupindua meza Misri vizuri kabisa.
HAIJAISHA MPAKA IISHE
Vibonde wa round ya kwanza ya robo fainali 👇👇Waarabu hawatishi kama tunavyowafikiria.
Kwa namna ya uchezaji tulionaa simba tumeweza kuwapress sana hawa waarabu na hata possesion ilikuwa upande wetu, shots on target za simba ni 7 wao ni 1 tu, total shots za simba zinakaribia 20.
Tumewakosa kosa sana haya makosa yakirekebishwa tunaweza kupindua meza Misri vizuri kabisa.
HAIJAISHA MPAKA IISHE
You can't teach an old dog new tricks. Al Ahly waliwaavhia mcheze wenyewe lakini mkashindwa kutumua nafasi zenu. Ball possession is a stupid metric. Una 70% ball possession kwenye half yako haina maana yoyote.Mchezaji ana miaka 38 ,Saidoo unamrekebisha kitu gani aisee..
Simba tuna magarasa mengi...na viongozi wanaohusika na usajili waache janjajanja