Think2 Member Joined Jan 3, 2025 Posts 29 Reaction score 47 Jan 13, 2025 #101 Bush Dokta said: Yeah...usije ukaliona limenona ukatanguliza nyege mbere. Umekwisha Click to expand... [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bush Dokta said: Yeah...usije ukaliona limenona ukatanguliza nyege mbere. Umekwisha Click to expand... [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huruma siyo malezi JF-Expert Member Joined Jul 18, 2020 Posts 1,433 Reaction score 3,210 Jan 13, 2025 #102 Wengine hata msingenasa tatizo mnapania kichizi, kojoa moja kama la pili limekataa achana nayo
John Fedha JF-Expert Member Joined Jul 2, 2018 Posts 624 Reaction score 717 Jan 13, 2025 #103 Zile takwimu zilizotolewa siku ya Ukimwi Duniai zinatisha , hasa huko vyuoni ni mtihani sana.
Melancholic JF-Expert Member Joined Oct 12, 2018 Posts 3,076 Reaction score 5,483 Jan 13, 2025 #104 jonas amos said: Mbona kama nakumbushwa Mimi? Au mpango wangu umevuja? Mweee Click to expand... Itakuwa umekumbushwa na Mungu kupitia mtoa mada
jonas amos said: Mbona kama nakumbushwa Mimi? Au mpango wangu umevuja? Mweee Click to expand... Itakuwa umekumbushwa na Mungu kupitia mtoa mada
Melancholic JF-Expert Member Joined Oct 12, 2018 Posts 3,076 Reaction score 5,483 Jan 13, 2025 #105 Kama mimi jana nimekutana na toto linatako daah nimepiga mara ndomu ikapasuka wakati game limenoga nimekuja kujiona mjinga baada ya kukojoa aisee yani nimeuza mechi kizembe sana
Kama mimi jana nimekutana na toto linatako daah nimepiga mara ndomu ikapasuka wakati game limenoga nimekuja kujiona mjinga baada ya kukojoa aisee yani nimeuza mechi kizembe sana
Raymanu KE JF-Expert Member Joined Jan 20, 2022 Posts 8,611 Reaction score 16,118 Jan 14, 2025 #106 Umesomeka Sana mkuu