MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Nacheck hapa matokeo ya uchaguzi wa Tanzania, yaani upinzani umefutwa rasmi, mpaka sasa hawana mbunge hata mmoja aliyefaulu kwenye pembe zote za nchi aliyegombea kwa tiketi ya chama cha upinzani, ni mwendo wa CCM kote kote, kijani kwa kwenda mbele.
Kwa kifupi bunge litafurika wabunge wa mlengo wa serikali, yaani mfumo wa chama kimoja ila kwa njia ya debe, hamna wa kuhoji au kupinga chochote.
Hawakuachia hata wabunge kadhaa hivi wa kuzuga ili kidogo ionekane kwa namna fulani kulikua na uchaguzi, naona wapinzani wameanzisha nyuzi humu wakituhumu uchakachuaji, kuna mmoja kaweka mfano anasema jimbo lina 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980 Uchaguzi 2020 - Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya
Yote tisa ndio, uchaguzi umeisha na hayo ndio matokeo, hamna budi ila kuyakubali na kuendelea na maisha kama yalivyoamuliwa, CCM hoyeeee!!! Hehehehehe
Kwa kifupi bunge litafurika wabunge wa mlengo wa serikali, yaani mfumo wa chama kimoja ila kwa njia ya debe, hamna wa kuhoji au kupinga chochote.
Hawakuachia hata wabunge kadhaa hivi wa kuzuga ili kidogo ionekane kwa namna fulani kulikua na uchaguzi, naona wapinzani wameanzisha nyuzi humu wakituhumu uchakachuaji, kuna mmoja kaweka mfano anasema jimbo lina 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980 Uchaguzi 2020 - Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya
Yote tisa ndio, uchaguzi umeisha na hayo ndio matokeo, hamna budi ila kuyakubali na kuendelea na maisha kama yalivyoamuliwa, CCM hoyeeee!!! Hehehehehe