Haijatokea duniani, Watanzania wafaulu kufuta upinzani

Haijatokea duniani, Watanzania wafaulu kufuta upinzani

Vyama vya mfukoni ndivyo vinakupa mzuka, halafu hivi mbona aliyechaguliwa amepiga kimya hajatolea neno la kushukuru, ni nyie mataga mumetelekezwa mpambane kwenye mitandao kujaribu kuhalalisha, miaka yote kijani mkishinda huwa mnatokea barabarani kusheherekea, mwaka huu naona imekua kama msiba licha ya kushinda kwa asilimia 100%

Naona hata mwenzenu kawasusa....



2606382_E2507AC8-132F-4B96-9339-883552FD21E8.jpeg
Haya sasa ngoja tuone kama vyama vyako vya mifukoni mwa mabeberu kama vitafanikiwa. Kama unalilia demokrasia halafu unadharau vyama vingi kuviona ni vya mifukoni kamwe Hutafanikiwa kwa maana vyote vipo kihalali na kisheria na vilishirikivuchaguzi na kukubskia matokeo. Sasa sijui utafanyaje🙂
 
Haya sasa ngoja tuone kama vyama vyako vya mifukoni mwa mabeberu kama vitafanikiwa. Kama unalilia demokrasia halafu unadharau vyama vingi kuviona ni vya mifukoni kamwe Hutafanikiwa kwa maana vyote vipo kihalali na kisheria na vilishirikivuchaguzi na kukubskia matokeo. Sasa sijui utafanyaje🙂

Naona hata imeshindikana kutoa shukrani licha ya kushinda kwa asilimia 100%
 
Naona hata imeshindikana kutoa shukrani licha ya kushinda kwa asilimia 100%
Hujui kitu wewe, huyo mbunge unaye mquote hapo hakushinda by 100 % wapo washindani wake karibu waliopata kura nyingi pia na wenye wafuasi pia, so nothing Strange kama a small bunch of folks wakawa wamechukia Kushindwa, but all in all demokrasi ni sauti ya walioshinda a.k.a sauti ya wengi.
 
Back
Top Bottom