Haijatokea duniani, Watanzania wafaulu kufuta upinzani

Haijatokea duniani, Watanzania wafaulu kufuta upinzani

Wabongo huu ni ujinga. Demokrasia imekufa rasmi Tanzania. Tanzania is going backwards. Watalia na kusaga meno siku za usoni. Ile heshima kidogo niliyokuwa nayo kwao imeisha. Hio nchi inaelekea kubaya. Hakuna jinsi upinzani unaweza kukosa japo kiti kimoja bungeni. Hio haiwezekani hata kidogo. Majirani zetu mnaelekea kubaya. Tunawaonya mapema tu msije mkasema hamkuambiwa.
Kaka you are very right. Hali sio nzuri hapa we need your prayerz. This guy is backwarding thr country
 
Imefikia siasa za TZ zinamgusa mkenya kuanzia serikali mpa mtu mmoja mmoja
Aaah wapi, wakati mlipokuwa kwenye kampeni wakenya hata hawakuwa na habari kuhusu uchaguzi wenu. Ukiuliza wakenya kuhusu vyama vyenu na waliokuwa wanagombea kiti cha urais hakuna anayejua. Ila kituko cha ushamba mliofanya sasa ndio kimewashangaza wakenya.
 
Hakuna aliyeibiwa hao kusema uongo ni jadi yao.
Kilicho wabeba wabunge wa CCM ni kauli ya Magufuli kutaka mafiga matatu maana yeye ni nyota ya Tanzania na anakubalika pasi na mfano
Hahahaha alisema hataki kuchanganyiwa betri na gunzi kwenye tochi 😅😅😅
 
Aaah wapi, wakati mlipokuwa kwenye kampeni wakenya hata hawakuwa na habari kuhusu uchaguzi wenu. Ukiuliza wakenya kuhusu vyama vyenu na waliokuwa wanagombea kiti cha urais hakuna anayejua. Ila kituko cha ushamba mliofanya sasa ndio kimewashangaza wakenya.
Wakenya wasijue wakati video za campaign zilikuwa zinatrend Kenya? Tena wapo wakenya waliomtungia Magufuli wimbo wa campaign kabisa.
 
hata unapofanya ngono na malaya utasema mungu amekuruhusu? unapofanya unafanya kwa utashi wako binafsi yeye atakudaka kwenye matatizo utakayojipatia kwa kufanya ngono na malaya, ndivyo ilivyo kwa uchaguzi huu, walioiba kura na kufanya dhulma wamefanya kwa utashi wao kua hakuna Mungu, lakini malipo ya dhulma ni KIFO
Mungu hausiki n'a Mambo yanayoendelea Dunia mnampa sifa za bure kama ameshindwa muua shetani anaweza nini
 
Nacheck hapa matokeo ya uchaguzi wa Tanzania, yaani upinzani umefutwa rasmi, mpaka sasa hawana mbunge hata mmoja aliyefaulu kwenye pembe zote za nchi aliyegombea kwa tiketi ya chama cha upinzani, ni mwendo wa CCM kote kote, kijani kwa kwenda mbele.

Kwa kifupi bunge litafurika wabunge wa mlengo wa serikali, yaani mfumo wa chama kimoja ila kwa njia ya debe, hamna wa kuhoji au kupinga chochote.

Hawakuachia hata wabunge kadhaa hivi wa kuzuga ili kidogo ionekane kwa namna fulani kulikua na uchaguzi, naona wapinzani wameanzisha nyuzi humu wakituhumu uchakachuaji, kuna mmoja kaweka mfano anasema jimbo lina 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980 Uchaguzi 2020 - Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya

Yote tisa ndio, uchaguzi umeisha na hayo ndio matokeo, hamna budi ila kuyakubali na kuendelea na maisha kama yalivyoamuliwa, CCM hoyeeee!!! Hehehehehe
Na Rais wako Uhuru Kenyatta leo ametuma Salaam za pongezi za ushindi kwa Mh JPM.
 
Na Rais wako Uhuru Kenyatta leo ametuma Salaam za pongezi za ushindi kwa Mh JPM.

Ulitegemea Uhuru amsute Magu kwa kusindika kura? Kawaida hata Uhuru ametuhumuwa kuiba kura lakini huwa hafanyi kwa namna ya kijinga ya kusomba kila kitu, labda kama unatawala maiti ndio ukombekombe kila kitu bila aibu.
Hivi nchi yenu hiyo hamna wasomi wenye kujitoa wapinge huo utopolo, nitawaelewa nyie walalahoi wa kwenye mabanda ya Buza ila nashangaa sana wasomi wote chali, hakuna aliyejitoa mhanga kusema kitu.
Viongozi wa kidini ndio waganga njaa, wamepiga kimya ile balaa......

Kwetu hapa aisei pamoja na kwamba mimi huwa nipo kwenye mlengo wa serikali lakini nisingeruhusu ujinga kama huo.....

Kuna mama anaonyeshwa kwenye Twitter amekamatwa na kura yaani hadi namhurumia, sijui ataishi vipi, moyo utamsumbua sana maana kaponzwa kisa njaa..

 
Ulitegemea Uhuru amsute Magu kwa kusindika kura? Kawaida hata Uhuru ametuhumuwa kuiba kura lakini huwa hafanyi kwa namna ya kijinga ya kusomba kila kitu, labda kama unatawala maiti ndio ukombekombe kila kitu bila aibu.
Hivi nchi yenu hiyo hamna wasomi wenye kujitoa wapinge huo utopolo, nitawaelewa nyie walalahoi wa kwenye mabanda ya Buza ila nashangaa sana wasomi wote chali, hakuna aliyejitoa mhanga kusema kitu.
Viongozi wa kidini ndio waganga njaa, wamepiga kimya ile balaa......

Kwetu hapa aisei pamoja na kwamba mimi huwa nipo kwenye mlengo wa serikali lakini nisingeruhusu ujinga kama huo.....

Kuna mama anaonyeshwa kwenye Twitter amekamatwa na kura yaani hadi namhurumia, sijui ataishi vipi, moyo utamsumbua sana maana kaponzwa kisa njaa..

kura ulizopiga wewe ndio zilizoibwa ila sisi ndivyo tulivyochagua
 
Ulitegemea Uhuru amsute Magu kwa kusindika kura? Kawaida hata Uhuru ametuhumuwa kuiba kura lakini huwa hafanyi kwa namna ya kijinga ya kusomba kila kitu, labda kama unatawala maiti ndio ukombekombe kila kitu bila aibu.
Hivi nchi yenu hiyo hamna wasomi wenye kujitoa wapinge huo utopolo, nitawaelewa nyie walalahoi wa kwenye mabanda ya Buza ila nashangaa sana wasomi wote chali, hakuna aliyejitoa mhanga kusema kitu.
Viongozi wa kidini ndio waganga njaa, wamepiga kimya ile balaa......

Kwetu hapa aisei pamoja na kwamba mimi huwa nipo kwenye mlengo wa serikali lakini nisingeruhusu ujinga kama huo.....

Kuna mama anaonyeshwa kwenye Twitter amekamatwa na kura yaani hadi namhurumia, sijui ataishi vipi, moyo utamsumbua sana maana kaponzwa kisa njaa..

Acha kulialia kwa vitu usivyovijua au kusoma tu kwenye mitandao,

Wenzio wamepiga kura na wamechagua watu wanaoamini watawaletea maendeleo.

Kwa taarifa yako viongozi wa vyama tisa ( 9) vilivyoshiriki uchaguzi wametoa statement ya pamoja ya kukubali matokeo na wameomba wananchi kuwa-ignore hao wa vyama viwili ( 2) wanaodai kuwa wameibiwa.

Sasa kama wengi wa wagombea walioshiriki hawajaona tatizo kubwa unataka tukusikilize wewe na ngonjera zako za JF🙂

Rais wako ameshatoa tamko kwa ajili ya waKenya wote🙂
 
Acha kulialia kwa vitu usivyovijua au kusoma tu kwenye mitandao,

Wenzio wamepiga kura na wamechagua watu wanaoamini watawaletea maendeleo.

Kwa taarifa yako viongozi wa vyama tisa ( 9) vilivyoshiriki uchaguzi wametoa statement ya pamoja ya kukubali matokeo na wameomba wananchi kuwa-ignore hao wa vyama viwili ( 2) wanaodai kuwa wameibiwa.

Sasa kama wengi wa wagombea walioshiriki hawajaona tatizo kubwa unataka tukusikilize wewe na ngonjera zako za JF🙂

Rais wako ameshatoa tamko kwa ajili ya waKenya wote🙂

Vyama vya mfukoni ndivyo vinakupa mzuka, halafu hivi mbona aliyechaguliwa amepiga kimya hajatolea neno la kushukuru, ni nyie mataga mumetelekezwa mpambane kwenye mitandao kujaribu kuhalalisha, miaka yote kijani mkishinda huwa mnatokea barabarani kusheherekea, mwaka huu naona imekua kama msiba licha ya kushinda kwa asilimia 100%

Naona hata mwenzenu kawasusa....



2606382_E2507AC8-132F-4B96-9339-883552FD21E8.jpeg
 
Jirani unacharaza Kiswahili cha kibongo cha kisasa hivi haswa… naona maneno hapo mataga na kijani… hongera sana
 
Hivi mumefungulia mitandao au bado watu wanatumia VPN, hadi hapo mumeshakomba kila kitu waachieni watu warejee maisha yao ya kawaida.
Kwa Tanzania hata upinzani ukipiga makelele hamna kikubwa wanachoweza kufanya, huwa mpo mpo ilmradi siku zisonge. Hivyo hapakua na umuhimu wa kutumia nguvu nyingii kiasi hicho.
Hakika ni bora 2atu waendelee na maisha yao ya kawaida
 
Wachaga wameikataa chadema RASMI, hao ndiyo pekee waliokuwa labda tayari kufa kwa ajili ya chadema, laana ya kumtukana, kumdhalilisha na kumdhihaki Mzee E.Lowasa ambaye 2015 aliiletea chadema kura zaidi ya milioni 6 vs milioni 8 za CCM, Wabunge zaidi ya 70, chadema iliongoza Miji na Halmashauri, walitoa Meya wa Dar na Miji mingine mikubwa lkn mlimtukana Mzee Lowasa, sasa laana imewarudia, bado, BTW Zito Kabwe chaliiiii, ...
Acha udelicious basi mkuu
 
Back
Top Bottom