THE BOILER ROOM
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 1,054
- 3,212
Tatizo kubwa nilililoliona ni asilimia kubwa ya watu kutojitokeza kupiga kura!!! Ukiangalia uwiano utaona kuna shida.... Almost robo tatu ya waliojiandikisha hawajaenda kupiga kura!!!kwa kifupi watu wako puzzled bado si CCM wala upinzani...2025 maandalizi yaanzie kwenye hili kundi.