Haijatokea duniani, Watanzania wafaulu kufuta upinzani

Haijatokea duniani, Watanzania wafaulu kufuta upinzani

Niliwahi kuambiwa mzee kenyatta Jomo alimwambia mwalimu Nyerere kwamba yeye kenyatta anaongoza watu waliolala (wakiamka watadai haki zao), lkn Nyerere anaongoza maiti (haziwezi kuamka)!

Sijui kama hii kauli imewahi tolewa kweli, ila watanzania ni maiti (bora wangekua misukule wangelalamika hata kidogo)
 
Kwani Kura za Tanzania Ni analog aje,
Si. Bure WIZI upo wazi.
Next election everything ziwe digital kama IEBC kupunguza WIZI na servers ziwe open for public.
 
Kwani Kura za Tanzania Ni analog aje,
Si. Bure WIZI upo wazi.
Next election everything ziwe digital kama IEBC kupunguza WIZI na servers ziwe open for public.
Zikiwa digital si mtu atakatwa mkono ili kupata finger prints?
 
Zikiwa digital si mtu atakatwa mkono ili kupata finger prints?

Hivi mumefungulia mitandao au bado watu wanatumia VPN, hadi hapo mumeshakomba kila kitu waachieni watu warejee maisha yao ya kawaida.
Kwa Tanzania hata upinzani ukipiga makelele hamna kikubwa wanachoweza kufanya, huwa mpo mpo ilmradi siku zisonge. Hivyo hapakua na umuhimu wa kutumia nguvu nyingii kiasi hicho.
 
Hivi mumefungulia mitandao au bado watu wanatumia VPN, hadi hapo mumeshakomba kila kitu waachieni watu warejee maisha yao ya kawaida.
Kwa Tanzania hata upinzani ukipiga makelele hamna kikubwa wanachoweza kufanya, huwa mpo mpo ilmradi siku zisonge. Hivyo hapakua na umuhimu wa kutumia nguvu nyingii kiasi hicho.
Nyie mlimuua kabisa IT wa Electoral commission.
Tunasubiri pongezi toka kwa Uhuru.
 
Hivi mumefungulia mitandao au bado watu wanatumia VPN, hadi hapo mumeshakomba kila kitu waachieni watu warejee maisha yao ya kawaida.
Kwa Tanzania hata upinzani ukipiga makelele hamna kikubwa wanachoweza kufanya, huwa mpo mpo ilmradi siku zisonge. Hivyo hapakua na umuhimu wa kutumia nguvu nyingii kiasi hicho.
Upinzani sio kupiga kelele tu, kwani wanashindania nani mwenye porojo na vitendawili kushinda mwingine? Karibu 50% hawajapiga kura. Ndio wale wanaosema hata tupige au tusipige hatuwezi kushinda! Sasa kwa mentality kama hii huo upinzani utashinda lini? Na kwa nini wanaingia kwenye ushindani kama wanajua hawashindi?

Kura hazipigwi mtandaoni, vile mitandao iliminywa na upinzani ukanywea..wote wamejifungia ndani..walitegemea wapige kelele mitandaoni sasa baada ya mitandao kukosekana badala ya kwenda kwenye kupiga kura wakawa busy na ku download VPN. Chama dola kikapita kiulaini tu.
 
Screenshot_20201029-185006.png

130/131.....CCM hawapendi jokes
 
Wabongo huu ni ujinga. Demokrasia imekufa rasmi Tanzania. Tanzania is going backwards. Watalia na kusaga meno siku za usoni. Ile heshima kidogo niliyokuwa nayo kwao imeisha. Hio nchi inaelekea kubaya. Hakuna jinsi upinzani unaweza kukosa japo kiti kimoja bungeni. Hio haiwezekani hata kidogo. Majirani zetu mnaelekea kubaya. Tunawaonya mapema tu msije mkasema hamkuambiwa.
Kelele zote izo, utakuja kusikia UHURU akimpongeza. Ndio utaelewa unaongozwa na nani
 
Tanzania ni nchi ya kishamba sana. Nchi gani hii imejawa sarakasi za kila aina?
 
Wabongo huu ni ujinga. Demokrasia imekufa rasmi Tanzania. Tanzania is going backwards. Watalia na kusaga meno siku za usoni. Ile heshima kidogo niliyokuwa nayo kwao imeisha. Hio nchi inaelekea kubaya. Hakuna jinsi upinzani unaweza kukosa japo kiti kimoja bungeni. Hio haiwezekani hata kidogo. Majirani zetu mnaelekea kubaya. Tunawaonya mapema tu msije mkasema hamkuambiwa.
Watz wanaipenda sana ccm ndio maana wapo majumbani wanafurahia ushindi wa ccm kwa amani. Kinyume na hapo wangekuwa mabarabarani wanaandamana.
 
Wabongo huu ni ujinga. Demokrasia imekufa rasmi Tanzania. Tanzania is going backwards. Watalia na kusaga meno siku za usoni. Ile heshima kidogo niliyokuwa nayo kwao imeisha. Hio nchi inaelekea kubaya. Hakuna jinsi upinzani unaweza kukosa japo kiti kimoja bungeni. Hio haiwezekani hata kidogo. Majirani zetu mnaelekea kubaya. Tunawaonya mapema tu msije mkasema hamkuambiwa.
Eti tu naelekea kubaya, as if heshima yako ndogo ilikuwa na manufaa, hizo dua zenu za kuku hazimfikii mwewe.
 
Tanzania elections 2020 will have a bad impact on Africa. The lesson learnt here is that if you are rigging an election rig it seriously until you shock people into submission. Rigging haifai unyenyekevu rig tu hadharani.
 
Back
Top Bottom