samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,965
Asante sana na ubarikiwe. ( uliyemzidi hoja atafanya moja kati ya haya :kupigana,kutukana au kuzomea.)Wewe kama sio shoga sijui aisee..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana na ubarikiwe. ( uliyemzidi hoja atafanya moja kati ya haya :kupigana,kutukana au kuzomea.)Wewe kama sio shoga sijui aisee..
Asante sana na ubarikiwe. ( uliyemzidi hoja atafanya moja kati ya haya :kupigana,kutukana au kuzomea.)
Tafadhari sana kama unaniheshimu tukana tusi kubwa zaidi ya hilo ndio kidogo nitakuona wa maana,ila hilo ni kama unaniamkia vile.Naomba unisamehe sana ila mi nahisi utakuwa hivyo mkuu.. Nisamehe sana
Inaonekana tatizo lipo kwenye chombo unachotumiaNimekuelewa lakin hivyo vitu vyote hamna ndugu yangu, sijui kwanin mods hawanijali jaman, nimewafanyeje? Sasa Kama hivo vitu unavyosema sivioni ni Kosa lako, langu au la mods? Nieleweshe zaidikiongozi wangu
Sasa nifanyeje kiongozi, maana kabla hawajabadilisha Huu mfumo Wa Sasa hivi nilikua naona kila kitu, nishauriInaonekana tatizo lipo kwenye chombo unachotumia
Ninaposema chombo nina maana ya simu au laptop unayotumia haina baadhi ya function ambazo zingekuwezesha kupata hayo unayoyataka. Lakini kabla ya kuchukua hatua yeyote jaribu kubadilisha chombo unachotumia kuwasiliana.Sasa nifanyeje kiongozi, maana kabla hawajabadilisha Huu mfumo Wa Sasa hivi nilikua naona kila kitu, nishauri
Ha ha ha....ukizidisha sana mapenzi kwa mtu hata uwezo wa kufikiri unapunguaHiyo hela ni ya shows tano tu kwa Diamond.
Sawa subir niwatokee mkuu, Yan nimechoka kweli kweli, wamenikondesha sanaNinaposema chombo nina maana ya simu au laptop unayotumia haina baadhi ya function ambazo zingekuwezesha kupata hayo unayoyataka. Lakini kabla ya kuchukua hatua yeyote jaribu kubadilisha chombo unachotumia kuwasiliana.
Kwa maana ya kwenda cafe na kutumia computer za hapo cafe, kama ukiona chombo hakikuonesha mabadiliko fungua sehemu iliyoandikwa Forums na tafuta Members Only, hii ipo chini kabisa unapo scroll ukurasa wa Forums na pale ipo sehemu ya Complaints. Utafungua na kuwasiliana na wahusika!
Namfahamu Sana, kasoma Mbeya O level hela yenyewe ya Ada mwaka wa mwisho badala ya kulipa Ada akaamua kuja Dar kurecord ngoma yake ya kwanza, bahati nzuri ikamtoa...!SORRY NILIMAANISHA FA NA KWANINI......... USEME AY HANA SHULE UNAMFAHAMU AU ?
Ukiambiwa ulete watu waloenda shule utaenda kuleta form four!? Miaka ya Leo!! Ilikua zamani...Kwahyo watu wa form four automatically hawajasoma??wewe utakua ndo wale wanaoamini katika degree ya mlimani tu.
Huna hata sukari robo kilo hapoHiyo hela ni ya shows tano tu kwa Diamond.
Je kati ya huyo Fa mwenye elimu na Ay ni nani mwenye mkwanja zaidi?Namfahamu Sana, kasoma Mbeya O level hela yenyewe ya Ada mwaka wa mwisho badala ya kulipa Ada akaamua kuja Dar kurecord ngoma yake ya kwanza, bahati nzuri ikamtoa...!
Ni kama wakilipwa zote na itakuwa kwa hapa Bongo japo pia sina uhakika sana kama watakuwa juu ya baba flani, ila kwa East Africa wapo wenye nazo na zaidi hasa hapo Uganda ni balaa.Watakuwa ndio wasanii matajiri zaidi East Africa.
Io hela wakigawana approximately kila mtu anachukua 1B......sasa 1B kuwafikia kina jaguar,diamond na mzee wa valuvalu bado sana kaka.Watakuwa ndio wasanii matajiri zaidi East Africa.