Kitu kitapigwa pinguzo hadi kwenye 400 hivi kama siyo 200. Sidhani kama kuna justification ya hizo bili, maana hata mauzo yao binafsi kwa ujumla hayawahi kufika huko.
Wakati wengine wakisikia nyimbo zao kwenye miito ya simu wanafurahi wamekuwa maarufu awa kusikia nyimbo zao zinatumika na tigo wakaenda mahakamani kudai malipo kwani tigo wamefanya biashara kutumia bidhaa yao.
Sikuona hii habari wameenda court kuishtaki tigo kwa kosa gani wadau...?.
Kwani kuna uzi ulishaletwa hapa jamvini.
Usitegemee mambo kuisha kirahisi hivyo yangeshaisha mbona. Albert Msando mwanasheria wao yupo vizuri alimtoa knock out Lissu mchana kweupee.We subiria utaona mahakama ya rufaa yaweza kuwapa ushindi tigo au kuwaambia wakasuruhishe nje ya mahakama
Acha kukaririshwa,bilioni ni pesa nyingi sana lakini usiseme eti ndio watakuwa wasanii matajiri kwa E.A. DIAMOND keshazipita hizo hesabu siku nyingi sana kwa ubalozi wake tu kwenye makampuni unatosha kuingiza hizo hela na zaidi sikuambii show wala mauzo ya nyimbo zake kwenye mitandao.
We subiria utaona mahakama ya rufaa yaweza kuwapa ushindi tigo au kuwaambia wakasuruhishe nje ya mahakama
Dah wewe jamaa unampenda sana Diamond.. Huu sio ushabiki haya ni mahaba.
Kwani unaujua utajiri wa AY wewe? Akiongeza hiyo B? Punguza mahaba mkuu wewe mtoto wa kiume, watu tunamkubali Chibu ila sio kiivyo.
Ooh okay, ni nyimbo gani mkuu na tangazo gani la tigo limetumia hizo nyimbo kiongozi...?.
Baada ya hapa turudi kwenye audio production sio.
Thanks buddy.
Muhando huyu huyu rose muhando muimbaji wa mziki wa injili au Alberto msando wakili?Muulize Muhando ndiye alikuwa wakili wao.. Muhando ni kichwa
Show moja ya Huyo Abdul Nasib ni bei gani kwani?Hiyo hela ni ya shows tano tu kwa Diamond.