HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Kitu kitapigwa pinguzo hadi kwenye 400 hivi kama siyo 200. Sidhani kama kuna justification ya hizo bili, maana hata mauzo yao binafsi kwa ujumla hayawahi kufika huko.
We subiria utaona mahakama ya rufaa yaweza kuwapa ushindi tigo au kuwaambia wakasuruhishe nje ya mahakama