Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Jamani jamani hamuogopi?
Mwisho wa siku huyo mtu ni taasisi yenye rasimali watu na fedha za kutosha kumfuatilia yeyote na kumtia adabu.
Ukweli ni kwamba Mh.Samia amekwama hapa kwenye suala la umeme na uwajibikaji watumishi ktk taasisi za umma.
Amefeli pakubwa mno kiasi kwamba 2025 Kama kura zitaheshimiwa anaweza asirudi kukalia kiti chake Ikulu.
Tume nzima ya uchaguzi ameteua yeye sasa kwanini asirudi ikulu?