Haijawaji kutokea mgao wa umeme mwaka mzima, awamu hii ni kiboko


Tume nzima ya uchaguzi ameteua yeye sasa kwanini asirudi ikulu?
 
Upigaji ni matokeo ya ujinga.

Yani unapiga wewe leo, hujui mjukuu wako ataishi kwenye nchi ya aina gani

Upigaji = Ubinafsi = Ujinga.

Watoto na wajukuu zao ndio hao wamewajaza kwenye uvccm na uchupukizi ili baadae na wao waendelee kula keki ya taifa
 
Tunaowapa Ruzuku ili watupiganie wao Wanajenga magorofa tu ya Mwenyekiti wao!!

Hakika awamu hii ya Sita Serikali imeshindwa na Upinzani umeshindwa Zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…