Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu samahani ivi ulikuwa unatumia tovuti gani kufanya manunuzi mtandaoni...ahahahaha.?
ahahahamkuu samahani ivi ulikuwa unatumia tovuti gani kufanya manunuzi mtandaoni....?
Ali express ni app ipo playstoremkuu samahani ivi ulikuwa unatumia tovuti gani kufanya manunuzi mtandaoni....?
Usishtuke
Tafazali bro aya tuendelee kumchek Grand masterWe jamaa ni Grand Master wa uzuzu.
Hakim wao kipofu ana hukumu bila kuonaIla baadhi ya wanawake akili hawana.
oi AliExpress ulikuwa unakatwa kodi? na pia gharama ya post ni Tshs ngapi?Tafazali bro aya tuendelee kumchek Grand master
We jamaa ni Grand Master wa uzuzu.
Acheni dharau kujifanya nyinyi wajuaji. Kumbuka kila binadamu anatabia zake jinsi alivyoumbwa na MunguReturn of zoba pro max [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Safi sana kwa jibu lako.. Kuna watu wanajifanya wajuaji lakn ww wapotezee tuTafazali bro aya tuendelee kumchek Grand master
Pamoja sana GrandTafazali bro aya tuendelee kumchek Grand master
Mkuu lazima tumseme kidogo ili asirudie tena hiyo tabia.Acheni dharau kujifanya nyinyi wajuaji. Kumbuka kila binadamu anatabia zake jinsi alivyoumbwa na Mungu
HatariiMkuu lazima tumseme kidogo ili asirudie tena hiyo tabia.