Huu ni upuuz sanaaa tujifunze kuelewa na kukubali differences/tofaut baina yetu na hiyo ndo maturity. sote hatuko sawa iwe kiakili kiuchumi kielimu kiuelewa n.k sasa mtu kaandika uzi wake anatokea mtu huko anaanza kubeza ooooohh huu mwandiko wenyewe kama wa darasa la saba ooohh hivi ww kwa uandishi huu shule ulimaliza kweli???!! Ni upuuzi kama ww ulibahatika kupata elimu then fine lkn kuna wengine hawakuipata kwa kiwango kama chako kwa sababu mbalimbali ikiwemo uwezo wa kugaramia n.k sasa unakuta mtu anabeza tu kiukweli kuna watu wanakera kwa akili za kitoto