Haikuwa rahisi moyo uliniuma mno hatimaye nikaishia njiani, nikamuacha aende lakini leo...

Haikuwa rahisi moyo uliniuma mno hatimaye nikaishia njiani, nikamuacha aende lakini leo...

Sasa shuka nayo vizuri alafu usinicheke tu imeshapita
Huyo mwanamke uliishi nae songea sehemu gan,
Msamala, bombambili, matogoro, lihwena, mletele, mshangano, shule ya tanga, matalawe, ruhuwiko, mfaranyaki, au songea vijijini huko? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We nae zoba tu songea unateseka vip na videmu wakati cost ya dem wa songea ni kumlipia bodaboda(YEBO) tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sijawahi kuona sehem madem ni warahisi kama songea
 
Yaani mleta mada bwege Sana[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787]

Mimi ukinizngua Mara 2 tu ndio bye bye sinaga muda wa kubembeleza mitoto ya watu[emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Nimerejea
Kuna baazi nilisahau ngoja nishuke navyo nakumbuka siku moja usiku saa tano kutokana na mambo aliyokua akinifanyia nikamtumia text

Ivi unajua kwamba najinyima mimi nakupambania wewe ?
Jibu alilotoa sasa((( wewe uwezi ni pambania, Mimi ananipambania mama yangu alie nizaa sio wewe tambua hilo na iwe mwisho kusema ivyo.

Mesag hii mikono ilitetemeka uzuri sikua na pressure tu ingekua balaa kubwa

Nakumbuka niliwai mnunulia traki na yeye ndio aliniomba nikamwambia njoo uchukue nguo zako akasema nimepelekee nikamwakia sikupeleka alikuja kuchukua mwenyewe kwa tabu sana sababu alitaka nimpelekee kwao

Kuna siku aliniambia anaumwa tumbo nika muuliza matibabu akasema nimpe EF 20 kuna mbibi anaenda wapa dawa ya kienyeji wanaenda yeye na mama yake ni kamwambia kwann msiemde hospital akasema dawa ya kienyeji nzuri zaid
Kwa vile nilijua muongo ni kamwambia ngoja nije niongee na mama msiende uko akasema sitaki sitaki uje nikamwambia we ni mjinga janja yako naijua apo unataka pesa kwa mambo yako na sio kama unaumwa akasema sasa kumbe unajua si unipe nikamwambia kwann usiseme ukweli mpaka udanganye sikumpa hii ela.

Pia kuna siku palikua na mechi ya simba na kagera siku iyo nilienda kwa Dada ake nyumbani kwake ua naenda uko napiga story nasepa siku iyo liza nilimkuta uko tukapiga story baadae nikaenda kwenye mpira ile half time nikarudi kuongea nae Dada ake akuepo alibaki yeye tu

ile naingia namkuta anaongea na simu akusikia hatua zangu nikavizia na kukaa kwenye koch namsikiliza ana jimaliza kabisa nakupenda kwaiyo unarudi lini uko morogoro bahat mbaya chafya ilinibana nikashindwa kujizuia ile kupiga akashtuka kucheki Mimi akakata simu nkamtazama pale nikawa na hasira nikaamua kuondoka nikarudi kwenye mpira kwa stress sana.

Kuna kipindi alienda kwenye interview veta fomu nilimlipia mimi kila kitu ila aliko enedelea siku husika maana tulipigana chini na bora maana majukumu yangenivaa mim

Siku flani Nilibaki nyumbani siku iyo nikafanya zangu usafi yule mzaz mwenzangu akanicheki tena kwenye simu akasema nakusalimia tukapiga story then akakata simu

Nileze kidogo kwa kipindi icho nasumbuliwa na Liza uyu mzazi mwenzangu akaomba kurudi sijui tusamehane na bra bra kibao akawa anasumbua sana lakini mi sina time nae kaniambia anataka kuzaa na mimi mtoto mwingine alafu tulee

hapa nilimwambia wanaume wengne ujawaona akasema yeye kaniona mimi ataki watoto wawe na baba mwingne
Nikawa sina mda nae nikawa namzungusha tu sasa siku iyo

nikaona uyu Leo aje kwanza nipo na stress nikasema itabid aje nipoze machungu Nina ugwadu wa muda sana hapo usiku nikamcheki yule mzazi mwenzangu nikamwambia njoo akaniuliza bado unakaa huko huko nikamwambia ndio akaja mpaka maskani na mtoto ila alikua kalala.

Kwao sio mbali na kwetu siku iyo nililala nae mpaka asubhi ndio ikawa mchezo wangu huo na hii ilitokana na Liza kunifanyia vitimbi nikaona Nile kiporo tu sio shida kinajleta chenyewe nikawa najipoza machungu kwa mzazi mwenzangu ndio ikawa ivyo anakuja napasha kiporo anaondoka

Iyo siku aliyo toka uyo mzazi mwenzangu baada ya kupasha kiporo tu asubhi mida ya saa tatu nilikua nikitazama series home

Kidogo nikawaza ivi mimi ni mpumbavu kiasi gani mbele ya wanaume wenzangu nikisimulia ili la kupelekwa na Liza si aibu hii
ananifanya anavyotaka yeye kweli mi ni mjinga kiasi gani kua ivi nahangaika lakini ananiona boya bado nimemkumbatia tu si ufala huu kwanini nakua ivi ??

Hapa nilijitafakari sana nikaona hapana ili swala aliwezekani lazima nibadirike siwezi kua mpumbavu kiasi hiki kama ni shetani basi Leo ndio mwisho wake na ibu uyu sio yule ila uyu ni IBRAwa PILI sio wa kwanza

Nimeshushwa thamani sana
nikiacha mimi kumuhdumia ana angahika kiburi kwisha najipa matumaini kabadirika nikitimiza shida zake hana mpango na mimi
naambulia za uso tena bila kumaliza pambano

Ni ubwege mkubwa sana mpaka humu ndan baaz ya memba wameniita boya pro max sababu ya urofa wangu aiwezekani nika amka kwa bedi nikiwa toafuti kabisa

kama nilikua na ushetani ndani basi mungu akaona imefika mwisho kijana wangu uwez baki tena kwa shetani unarud kwangu na nguvu mpya na siwezi tetereka tena

na kama nilikua kuruti basi sasa Nina nyota za kutosha baada ya kupitia mafunzo magumu Leo navaa gwanda na nina kua soldier nilie kamilika

Wakuu akuna kisicho kua na mwisho utapitia magumu ila upo mwisho wa magumu utanyanyaswa ila kuna siku alie kunyanyasa atakupigia magoti na kukuomba msamaha.
Kwenye mapenzi wanawake hua wanajisahau sana endapo tu akiwa ana tongozwa na wanaume wengi hapo aisee ujiona yeye ni keki tena keki tamu na inayopendwa na wengi anasahau kuna mwisho mvuto nao uisha , umbo nalo upotea na unaonekana wa kawaida tu

Mwanamke akiwa hapo kwenye kutongozwa na kusumbuliwa sana na wanaume wewe kama mpenzi wake kama akupendi ata kunyanyasa na kukuzarau sababu ya kutongozwa sana
anaweza akakujibu vibaya sana na akasahau kwamba kuna kesho mnaweza kukutana tena kwenye mizunguko ya kimaisha.

Liza aliwahi kuniuliza hilo swali ambalo siwezi andika hapa mpaka nikaona hii dunia ni ya watu kweli au ya mashetani ?

Bado nakumbuka hii sentence (((( ataki kufanya mapenzi sababu anaogopa mimba ivyo nitafute mwanamke mwingine wa kufanya nae alafu yeye niendelee kumuhudumia what a https://jamii.app/JFUserGuide?)))

Lad's and gentleman my turn
((Kurudi kwangu))

Baada ya kua msukule sasa nikarudi ulimwenguni
Nitarudi................
 
We nae zoba tu songea unateseka vip na videmu wakati cost ya dem wa songea ni kumlipia bodaboda(YEBO) tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sijawahi kuona sehem madem ni warahisi kama songea
Ahaaaa
 
Huyo mwanamke uliishi nae songea sehemu gan,
Msamala, bombambili, matogoro, lihwena, mletele, mshangano, shule ya tanga, matalawe, ruhuwiko, mfaranyaki, au songea vijijini huko? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mhm bi Dada sijui kama nipo sahihi kukuita ivo naona unataka kuunga doti unjiue unicheke jua ni songea ila nimechanganya maeneo isije watu wakanijua humu naona we ni wa kunyumba kabisa
 
We nae zoba tu songea unateseka vip na videmu wakati cost ya dem wa songea ni kumlipia bodaboda(YEBO) tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sijawahi kuona sehem madem ni warahisi kama songea
Naona mzee umechanganaya kuna wale malaya wa fasta sasa sio wote tulikua ivyo
 
Ngum sana kuielewa hii!
Ki fupi au niguse point muhimu ili nieleweke kabla sija endelea

Ni ivi nilikua kwenye mahusiano na bint mmoja mwaka 2015 ambae baadae alihamia kwangu nikaishi nae iyo 2015 a akashika ujauzito mwaka 2016 alijifungua mtoto wa kike hospital ya mkoa Ruvuma

Baadae mwaka 2018 tukaja tengana baada ya migogoro baina yetu wakati huo mtoto wetu ana miaka 2 ye akaenda kwake na maisha yake na Mimi nikabaki na maisha yangu.

Baada ya kutengana na uyo niliezaa nae ndio nikaja kuanza mahusiano na msichana mwingine ikapelekea mimi kupitia changamoto nyingi na baadae nikajivua kwa maumivu na mwisho nikarudiana na yule wa kwanza nilie zaa nae ambae mpaka sasa ivi naishi nae tena na tuna mtoto mwingine ina maana sasa tunao wawili.
Labda hapa ntakua nimeeleweka
 
😂 😂 😂 Kama mimi tu
Ki fupi au niguse point muhimu ili nieleweke kabla sija endelea

Ni ivi nilikua kwenye mahusiano na bint mmoja mwaka 2015 ambae baadae alihamia kwangu nikaishi nae iyo 2015 a akashika ujauzito mwaka 2016 alijifungua mtoto wa kike hospital ya mkoa Ruvuma

Baadae mwaka 2018 tukaja tengana baada ya migogoro baina yetu wakati huo mtoto wetu ana miaka 2 ye akaenda kwake na maisha yake na Mimi nikabaki na maisha yangu.

Baada ya kutengana na uyo niliezaa nae ndio nikaja kuanza mahusiano na msichana mwingine ikapelekea mimi kupitia changamoto nyingi na baadae nikajivua kwa maumivu na mwisho nikarudiana na yule wa kwanza nilie zaa nae ambae mpaka sasa ivi naishi nae tena na tuna mtoto mwingine ina maana sasa tunao wawili.
Labda hapa ntakua nimeeleweka
 
Ki fupi au niguse point muhimu ili nieleweke kabla sija endelea

Ni ivi nilikua kwenye mahusiano na bint mmoja mwaka 2015 ambae baadae alihamia kwangu nikaishi nae iyo 2015 a akashika ujauzito mwaka 2016 alijifungua mtoto wa kike hospital ya mkoa Ruvuma

Baadae mwaka 2018 tukaja tengana baada ya migogoro baina yetu wakati huo mtoto wetu ana miaka 2 ye akaenda kwake na maisha yake na Mimi nikabaki na maisha yangu.

Baada ya kutengana na uyo niliezaa nae ndio nikaja kuanza mahusiano na msichana mwingine ikapelekea mimi kupitia changamoto nyingi na baadae nikajivua kwa maumivu na mwisho nikarudiana na yule wa kwanza nilie zaa nae ambae mpaka sasa ivi naishi nae tena na tuna mtoto mwingine ina maana sasa tunao wawili.
Labda hapa ntakua nimeeleweka
Ukuiileta nitag
 
Halafu kuna ushamba fulani unashika kasi humu Wa Ku "dis" uandishi Wa MTU badala ya kutazama content

Kila MTU ana level yake ya Elimu,focus kwenye ujumbe wake na sio uandishi, mnakatisha watu tamaa
Huu ni upuuz sanaaa tujifunze kuelewa na kukubali differences/tofaut baina yetu na hiyo ndo maturity. sote hatuko sawa iwe kiakili kiuchumi kielimu kiuelewa n.k sasa mtu kaandika uzi wake anatokea mtu huko anaanza kubeza ooooohh huu mwandiko wenyewe kama wa darasa la saba ooohh hivi ww kwa uandishi huu shule ulimaliza kweli???!! Ni upuuzi kama ww ulibahatika kupata elimu then fine lkn kuna wengine hawakuipata kwa kiwango kama chako kwa sababu mbalimbali ikiwemo uwezo wa kugaramia n.k sasa unakuta mtu anabeza tu kiukweli kuna watu wanakera kwa akili za kitoto
 
Back
Top Bottom