Haikuwa rahisi moyo uliniuma mno hatimaye nikaishia njiani, nikamuacha aende lakini leo...

Haikuwa rahisi moyo uliniuma mno hatimaye nikaishia njiani, nikamuacha aende lakini leo...

Tuendelee na mkasa wangu
Niseme kwanza kitu vumilieni uandishi na mkasa utaeleweka tulia soma utaelewa
Mapenzi sasa na uyu muhitimu wa form4 yakashika kasi ikawa swala la yeye kuja kulala home ni kawaida na hata kwao ni kawa naenda bila shida na mama yake akanifahamu na kuniita mkwe

Dogo akaenda mbali zaidi na kumwambia Dada ake laivu kwamba Mimi natoka nae na anapaswa Dada mtu aniheshimu Mimi kama shemeji ake kwa sasa,
Dada ake ndio alikuja akaniambia naona mapenzi yamenoga na Leo nime ambiwa ukweli na dogo, kaniambia

nikuheshimu we ni shemeji angu kwa sasa alivyosema ivyo mi nika kausha tu nikamuuliza dogo kwenye simu akasema ni kweli nimemwambia basi mambo yakawa ivyo.
Na dogo akawa anakuja home kama kawaida siku iyo alivyofika nyumbani akasema naomba nikuulize ni kamwambia uliza akaniuliza uyu mtoto kwenye laptop yako ni wako?

Nika muangalia alafu nikacheka ni kamwambia wengi wameniuliza ilo swali ila uyo ni mtoto wa bro angu Mimi na kaka tuna fanana sana ndio mana unaona nimefanana na uyo mtoto nili mdanganya akaelewa

Alafu akauliza kaka ako yupo wapi nikamjibu yupo njombe hapo anafanya kazi na ni kweli bro yupo njombe ila watoto wake wote wawili ni wa kiume
Mambo kunoga sana mapenzi shamiri ikawa kulala home asubuh kwao na mama yake pia nilikuja gundua ni wale wa mama wa mjini mkwe una vijisent apo una heshimika dogo ilikua sasa kila mtu akimtongoza ananiambia kuna mtu kanitongoza labda kijana au mbaba lazima aniambie ndio ilikua desturi yake iyo sikupenda aniambie izo ishu.

Siku moja wakati yupo kwao saa 12 jioni hivi akanipigia simu akasema nimkopeshe EF 40 kuna watu wapo kwao wana dai pesa mama yake aliwaweka vibarua shambani walimaliza kulima pesa yao iliyobaki EF 40 awakupewa ndio wakatoka shamba mletere uko kumfata nyumbani kwao majengo kudai pesa zao mother wakamkuta na kusema awatoki bila pesa pale.
Ikabidi nimtumie iyo pesa dogo lakini nikijua aiwezi rudi wakawalipa wale watu wakaondoka
nikaona simu ya mama mkwe kupokea akanishukuru sana
basi mambo yakasonga dogo alivyofika jioni nyumbani ndio akanielezea kisa kizima ila akasema mama anashukuru sana

Siku tatu mbele asubhi tu nimelala simu inapigwa kucheki Liza IBU tusaidie mama anadaiwa vikoba rejesho EF 40 ila hapa ipo 25 kwaiyo bado 15 nikatuma mambo yakawa poa kwenye vikoba uko vya ma mkwe

Ki ufupi kwao awakua na maisha mazuri ni unga unga mwana na Mimi ndio nikajichomeka hapo

Muda huo tulikua kwenye mapenzi tuna kama miezi 8 ivi
Liza alikuja kushika ujauzito lakini akaniambia mama ana mpango wa kumpeleka chuo cha ufundi veta mwaka huo ataenda kufanya interview chuo cha veta kipo hapa msamala songea
wakati huo tayari matokeo ya form4 yalishatoka muda na hakufaulu iyo siku matokeo yalipotoka tulikua geto akanitajia namba tukaangalia kwenye laptop alifeli.
Nilichowaza mama yake anataka kumpeleka veta lakini mbona uwezo hana wa kipesa inakuaje hapa sikumuuliza yeye Bali nilijiuliza Mimi basi.

Baada ya kushika ujauzito sijajua kama walishauriana na mama au vipi akasema tutoe inabidi aende veta nikamwambia aina haja ya kutoa we acha akakomaa mi sikua na muda huo wa kufanya mpango wa Ku abortion
nilikaza akabaki kimya maisha yaka enda, siku flani mama ake alinipigia simu akasema mwenzio mjamzito ila sasa nataka nimpeleke chuo inakuaje nikamwambia mama akijifungua atakwenda aina shida akanijibu kinyonge sawa
Siku mbili mbele tena nikapigiwa simu anaumwa tumbo ilikua usiku ni ndani ya miez 2 hapo
anaumwa sana ikabidi niende kwao kweli tukachukua boda mpaka hospital ya mzena ipo msikiti wa wilaya songea mjini karibu na shule ya msingi mfaranyaki
hapo ndani waka mchukua maelezo alikua mzee mmoja ivi baadae wakasema inabid asafishwe mimba imeharibika nikauliza chanzo ni nini yule mzee akuniambia ukweli kwanza na mim nilidanganya nilijifanya kaka mtu kwaiyo akaficha nikamwambia tusepe,

tuka elekea hospital ya mkoa ruvuma tukakata kadi mpaka kwa dokta akachukuliwa vipimo maabara nikaitwa nikaulizwa nani yake nikajibu Mimi kaka yake akaitwa na yeye akaulizwa upo tayari tuongee mbele ya kaka yako akasema ndio aina shida apo tumbo lina msokota vibaya wakani ambia dogo kanywa vidonge vile vya kutolea mimba (misoprostol)
Namkumbuka yule dokta kwa jina la frank alikua mashikaji tu

wakamchoma sindano ya kupunguza maumivu sikupenda kile kitendo cha kutoa nikajifanya kumuuliza kwa ukali iyo mimba kakupa nani akasema ayupo hapa na kwann sasa utoe ye ndio kasema nitoe nikasema utaenda nitambua nyumbani yule dokta akaingilia akasema uyu bado mdogo cha kufanya ongea nae tu vizur wala usimuwakie aitofaa wakandika madawa pale tukatoka

tukaingia pharmacy moja ivi tukanunua yalikua madawa kibao nikamwambia iyo azabu yako ungekata roho pumbavu inaonekana mama mtu alihusika ila akusema alificha siku iyo nilipigika kinyama ela
tukarudi kwao nikampa mkasa mam ake akasikitika lakini niliona hapa kuna mchezo upo akusikitika sana mi nikaaga na hapo nikaacha kapata nafuu nikarudi masakani ki upnde flani mam mtu dogo alimfanya kitega uchumi kwangu.

Alichukua mwez mzima kukaa sawa na akarudi kwenye hali yake na siku iyo akaja geto usiku nikala mzigo asubuhi akarudi kwao na baada hapo vikaanza vitimbi
Geto akawa afiki ukimuita anasema yupo bize na kazi navumilia akiwa na shida kwao akieleweki anaomba hela unatuma baada ya hapo unasahaulika

Kuna siku akaja geto lakini kuja kwake sio kwa kupenda kwanza alijfanya anaumwa baadae anasema mama anaomba umuazime elfu 50 anataka afungue genge iyo ina mtosha nikampa akarudi mama ake akanipigia simu baba nashukuru sana

Kuna siku nikaenda kwao majengo c nikakuta kweli bi mkubwa kafungua kigenge anauza
Ila sasa uyu dogo ikawa geto ndio kakata mguu ata kuchati tu kwenye simu kulipungua sana baadae akawa anasema tumbo alijakaa vizuri bado,
kwaiyo siwez kuja uko nikavumilia sana mizinga ya kutisha vikoba vya mama vikawa avipungui natoa hela nikiwa na matumaini kwamba akipona basi kila kitu poa

sometimes inapita siku akuna salamu wala nini nisipo anza Mimi
Ndio basi imetoka nikimlazimisha sana kuja geto atakuja lakini akija analala kwamba anaumwa yani yupo nyoro kinyama alafu mi sio mtu wa kufosi gemu kwaiyo nikawa nabaki na maumivu tu asubuhi anaondoka nampa na hela anarud kwao

Ile kusema Leo nimetongozwa na uyu sijui namba ngen kwenye simu ananitongoza sikuzisikia tena
Ukiomba mzigo naumwa tumbo ndio jibu nika mchana lakini ayo uliyataka Mwenyewe

Majibu yake sikulazimishi kama vipi niache hili jibu nilipewa kwa Mara ya kwanza sikuamini ivi uyu ndio Liza yule
Nikawa naumia sana sababu mpaka hapo tayari nilishatoaga pesa nyingi sana kuwasidia wao kwaiyo sasa hiki kitu ndio kilikua kina niumiza kwamba Leo naambulia patupu yote niliyofanya naonekana mjinga

Upumbavu wangu sasa ikawa akiomba pesa nampa nikiwa na matumaini ata jirekebisha ikijia ile asante yake basi kichwa mi kinavimba hapa mambo safi du akuna kitu hola ikawa najitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe

Akaanzisha mtindo ikija saa moja tu juu ya alama ikawa anatuma mesej kwangu usiku mwema kumbe ni sawa na kuniambia sasa sitaki usumbufu na nachati na watu wangu
Kuna siku nikamuuliza ivi ni kweli wewe huwa unalala saa moja
Akajibu mi staki maswali yaki kushinda niache sikulazimishi kua kwangu aya majibu ni kama msumali wa moto unapenya kwenye moyo wangu qumamke

Nikamwambia Liza mbona siku izi umebadilika sana wewe sio yule tena wa kipind kile saiz ata kunifanyia usafi nyumbani ufiki na ukifika ukai sana peperu
alichojibu Mimi sijabadirika labda wewe ndio unaniona ivyo alafu ayo mambo yalikua zamani sio sasa ivi

Du aya majibu nyie nyie nyie acheni tu aya mapenzi sio nikawa mpole sana mawazo kibao ila cha kumshukuru mungu ki utendaji wa kazi sikufeli
Yule Dada ake sasa tukawa tunapiga story fresh na ananiita shemu ilo jina la shemu nikaanza lichukia lakini sikumwambia angeanza nihoji sikutaka.

Mwisho wa mwez bando lake likiisha tu la sms ana nicheki mapema sana dear hii text ya mwisho sms zinakata mzee bando la text la mwezi nashuka nalo kwake tiii

Utasikia asante wangu ndio imetoka ukitaka muendelee kuchati ana katisha yan anakua mtu wa kusema tu aya poa aya basi badae niliwai muuliza mbona Liza kama utaki chati na Mimi akanijibu sitaki ukorofi nimekwmbia sitaki chat na wewe au unajihisi du nikawa mpole hapo hapo ila sasa akiwa na shida mtatuzi wake ndio Mimi nakua kama zuzu shida ikiisha tu kwaheri ilipita miez minne sijajua uchi wake upoje

Sometimes ukiomba mzigo anajibu kabisa SITAKI ukiomba tena anasema nimekwambia sitaki mbona unielewi bana unataka nikutukane izo ni text wakuu anatuma

Nakua mpole ka kuku nilie mwagiwa maji
Kuna siku nikaomba tena mzigo akasema yeye anaumwa mhm nikamwambia yani siku izi kila siku unaumwa akasema kama uelewi aya baki ivyo ivyo.

Siku flan akaja geto alikua anashida kama kawaida kaja mchana nikasema Leo sikubali mpaka kieleweke hapa amefika akachukua simu yangu akaanza kuchezea gemu nikaanza mfosi lazimisha wapi kubabake akaja akasimama tu papu mezani palikua na EF kumi akabeba akaondoka nikabaki kitandan pale

baadae nikalala usingizi kushtuka nikakuta katuma text kwenye simu ibu ibu nikajibu vipi akasema nikwambie kitu,
sema akasema yeye kufanya mapenzi anaogoppa mimba kwaiyo tafuta mwanamke mwingine wa kufanya nae ila Mimi endelea kunihudumia kama kawaida aise nilikua boya kauli kama hii naichukulia pao tu

Nikamwambia siwez mi nipo na wewe na ndio tarajio langu la baadae akajibu nimesha kwambia kama utaki aya ndio ivyo

Nikatoka hapo nikaenda sehemu flani panaitwa moon light hapa bomba2 Kuna mshikaji wangu ana PS nikaenda kwao kucheza kama kutoa mawazo lakini aikusaidia kitu mawazo ni Yale Yale tu

Ikipita siku kama ajanitafuta au nimetuma mesag ajanijibu siku ya pili mapema sana asubaha tu text yake hii kupoteza maboya umeamkaje mpenzi
Najibu poa tu kinyonge sana kisha nauliza Jana vipi text yangu ujanijbu majibu yake maswali ya Jana sitaki na sitaki kuongea kuhusu Jana tafzali ishia hapo eheee sina usemi mzee baba.

Siku iyo mchana tumechati sijui alikosa wa kuchati nae tukachati nikamwambia njo basi home angalau nilizike na mie mbona unafanya ivyo akasema mpenzi naumwa Mimi saiz nipo nyumbani tu nikasema sawa ngoja basi nije nikuone akasema aya

Alifikir nadanganya nikatoka home kwa mguu toka bomba2 mpaka majengo c kwao kufika pale nikamkuta mama ake nikamsalimu nikamuuliza mgonjwa ana endeleaje akashangaa mgonjwa gani
Si Liza kasem anaumwa mama ake mhm sijui maana hapa katoka muda na ajaongelea swala la kuumwa ehee kumbe nyumbani ayupo nililimkuta na mjomba ake yupo hapo na bibi ake wote wanashangaa aisee nikaduwaa

Nikamtext nipo hapa upo wapi akasema nipo nyumbani we upo wapi nikamwambia nipo kwenu hapa na mama yako na bibi yako na mjomba ako tupo wote akujibu nikaona nimeingizwa mjini

Siku iyo palikua na mpira zesco na yanga nikaenda pub moja lipo majengo hapo kuangalia mpira panaitwa La chaz maarufu sana songea nikacheki mpira mpaka mwisho saa 12

Nikarudi kule kwa kina Liza wakasema bado ajarudi hapo nikaaga tu na kuondoka zangu nkamtumia mesag umeniona boya sana kukupenda wewe nikamwambia sawa we si mzur unatongozwa na wengi sawa

Akasema mi nilifikir ufiki mi nipo kwa rafiki angu joy sijui akasema
Nikasema poa nikazima simu nikaenda masakani kulala ilikua saa moja iyo.
Nikashtuka saa 2 kama na nusu ivi nikaenda kule kwa jamaa wa PS moonlight kucheza mpaka saa tano nikarudi home ndio kuwasha simu
Nakuta mesag zake mbona upatikani /umekasirika na mambo kibao

nikamjibu sija kasirika maana tayri nisha zoea kwa sasa ni kawaida tu nimezoea akasema sauwa ndivy alivyo jibu basi .

Siku ya pili Dada ake ana nicheki kwa simu anainiamnbia dogo Liza anaumwa hapa kaniomba ela aende hospital mi sina nikamwambia mbona ajaniambia aksema yeye ajui kwani vipi nikasema muulize yeye mi sijui kama anaumwa nika
kausha

Kumbe kuniambia anaona noma kutokana na mambo aliyonifanyia na alikua anaumwa kweli UTI sikupiga simu wala nini Dada ake akaambiwa na mama yake yule dogo kumbuka wao baba mmoja ila mama tofauti kwamba aniambie Mimi nikasidie mambo kwao magumu Dada ake anasema ibu nenda mi nikipokea mshahara ntakupa hela yako

Kujifanya kidume nikaenda mpaka kwao nika mkuta kweli mgonjwa nyoko nikampa mam ake ela ya sindano za uti 5 kila siku moja kitu kama icho akachoma sindano akamaliza akapona
ndege peperu nimewaponyeshea watu hana time tena majibu ni Yale Yale ya kishenzi

nilikua boya sana kwa uyu demu siku iyo natamani demu alafu uyu Liza ndio asomeki nikatafuta demu nika mpanga aje geto alikua bahamedi maana niliona nipoze machungu yule bahamedi geto anapajua ni wa mtaani tu hapo nimeenda geto kumsubir hola kaa na wewe kimya sijui Kuna jamaa alipanda dau ikabidi nilale tu kibishi

Asubhi sana saa 12 Liza uyu hapa mlango sikufunga ndani nikashangaaa Leo vipi kuja geto uyu nakula mzigo Leo da hatimae nimeonewa huruma yakaanza mambo ibu sim yangu imepotea Jana niliishau nje usiku na kwao amna umeme
Nikacheka kwaiyo sasa inakuaje akasema ni nunulie nyingne iliyopotea ilikua ndogo ka tecno ka kipadi

akakaa pale geto omba mzigo nipo kwenye siku mambo ni Yale Yale embu nikague inamaana uniamini
nikampa EF EF 30 akasema nifanyie mpango wa smartphone mhm hapa niliwaza ni nunue smart watu awalushie picha simu nimeitolea jasho Mimi

siku mwambia yeye niliwaza tu nikasema iyo subir nunua kwanza iyo,
saa 4 asubhi akaondoka na akanunua simu lakini baadae nilikuja gundua simu akupoteza alimpa mjomba ake

akunitafuta siku tatu mpka nikamuuliza Dada ake mbona Liza apatikani akasema kabaidlisha namba
saiz anazo mpya du sasa nikajiuliza mbona ajanicheki
Jioni ndio ana nicheki namba mpya aisee nilichukia kumbe kasajili laini mpya alafu kaendelea na watu wake mpaka alipojisikia ndio anitafute Mimi zuzu

Siku flani nilikua na Dada ake akaniuliza ivi dogo sikuiz una muonaje nikamuuliza kumuona vip

ajabadirika? kwa vile nilikua na hasira alafu Dada ake hua ananiambia mambo yake meng tu ya wanaume wake
ikabidi Dada ake nimwambie kila kitu akasema ni kweli dogo Kuna siku alikuja nyumbani ila muda wote kuchati na kwenda kupokea simu nje nikamwambia yani kuchati na Mimi ndio mbali mbali aichukui ata dakika tano basi ataki kuendlea kuchati na Mimi akasema mwenzio anachati vibaya mno

Na Nina kwambia ukweli ana kisharobaro kipo sid famu uko karibu na matogoro njia ya tunduru ndio ua anaenda uko na uyo anauza cd na vi flash kwenye ki flemu anapelekwaga na rafiki ake apo sasa nika elewa

Kuna siku nilikuta sms ya Liza yani kamjbu jamaa ipo save baada ya kusent naona alisahau kufuta ila inbox akuna kitu
Alisema usiniumize mpenz nakupenda sana
Nilimuuliza Liza akasema uyo ni rafik ake ndio alichukua simu yake akawa anachati na jamaa yake
Nilikubali lakini aikuja akilini

Nikaunga doti kuna siku nilimkuta Liza yupo kwenye pkpki na rafika ake wanatoka njia ya mahenge ndio huko huko sidfamu sasa nikaelewa
Ila Dada ake akasema uyu kuanzia yeye mpaka pale home umewapiga tafu sana ngoja naenda kamwambia bi mkubwa nikamwambia aina haja we achana nae

Kumbe bana mama mtu alikua anaona matendo ya mwane ivyo alikuaga ana msema sana inaonekana yule sharobaro hua anakuja pale kwa kina Liza ila anaishia mpenyoni uko
Siku nyingne nikaenda kwao kwa kushtukiza tu nikamkuta yupo ndani nikakuta kale ka simu alikonunua kwenye kioo kuna picha ya mtu yupo kwenye ka duka ka cd flash na vitu vingne

ndio nikajua yule jamaa wa sidfamu amevaa kepu akaja nikamuuliza uyu nani ume.sevu kabisa hapa kwenye simu akasema uyo shemeji ake mchumba wa rafik ake aha sasa we una msevuji kwenye simu yako majibu amna
Nikaingia kwenye mesag nikakuta password nikamwambia nitajie akasema late nikuandikie akachukua simu akasema sifungui ng'o nilichukia nikaamka nimtandike makofi pale pale akakimbilia ndani mama ake aksuliza vipi sikujibu nikatembea zangu nipo mbali nageuka naona ananichungulia nikazima simu maana niliona anabonyeza nikatokomea zangu .

Ule mkasa bi mkubwa aliuona akampigia yule Dada ake Liza kumwambia yule wa sheli ambae nilitoka kuongea nae yule Dada mtu akamwaga kila kitu nilicho kisema Mimi kwa mama ake Liza

Nipo home saa tatu nawasha simu ikaingia mesag kwaiyo kumwambia mama umefaidika nini
Nikauliza kumwambia nini we ujui

kumbe Dada ake alimwaga mchele wote sasa mother akawa ana msema karibu usiku mzima ana muwakia mpaka asubhi akamuamkia
Dada mtu alienda akamkuta dogo anasemwa tu dogo kupitia kwa Dada mtu aliniambia Liza kasema mimi ibu anipemdi na anitaki nampa tabu tu kwake

Mama ake akamwambia mludishie vitu vyake alivyokua ana kuangaikia dogo akajibu ntamlushia mama mtu akamwambia na umaakini huu utoe wapi hao nyoko zako unao waona wa maana awakusaidiii chochote mjinga sana mtoto we mother alisema mengi.

Dogo akatuma mesag kwangu ongera sana nikasema ya nini
Ahaa utajua mwenyewe nikaona poa

Alafu Kumbe kuna mda alikua anasema mama anshida flani zingne za uongo ni yeye mwwnyewe
Nilisahau kuna siku kipindi amekataa nisimgonge kwa miez kazaa
alinitumia text anaulizia dawa za kutolea mimba zinaitwaje
Nikamuuliza we za nini aksema kuna rafika angu anaulizia nikataja jina la uongo kumbe alihisi ana mimba sasa alitka kufanya mpango atoe lakin akua nayo Dada ake alinipa mkasa mzima

Pia nilisahau ilikua ikifika mwisho wa mwez anasema kwangu
Nabrid naomba pesa nikanunue pedi kila mwezi siku iyo nikamuuliza yan bridi ya wewe unamaliza limfuko lote hilo maana kila mwez una omba pesa ya kununua mpya akasema mjinga nini wewe kama utaki acha siku lazimishi kunipa ela ya kununua
Nikawa mpole kwa uzoba sijui aliniroga mbwa uyu
Ila sasa shida zake zote mtatuzi Mimi hao mashorobaro awaonekani kwenye tatizo Dada ake alikua ananipa michongo yote ata akiwaomba vocha wanapotea awtumi lakini wana mbandua na akasema usikute pesa yako ndio nauli ya kwenda kwa wanaume wake uko

Kidume nipo tu na uzoba wangu japo yalitokea yote hayo bado sikuchoka nikawa naendelea kua mtumwa kwake
Nikaenda kwao sik iyo akatoka akaja nyuma ya nyumbani yao nilipo Mimi akasema kumwambia Dada na mama umepata nini ??

nikamtandika bonge la Kofi akaanza kulia mama ake akatoka nje kuja nyuma tupo sisi mida ya saa moja iyo akarudi akuja pale tulipo

Akajifanya hasira akatoa simu akatoa laini zake akanipa sikupokea akatupa chini akasepa na Mimi nika ondoka simu nikaiacha hii siku sijui ujasiri nilipata wapi kumpiga Kofi

Kumbe alirudi akachukua simu ile
Siku ya pili akanicheki nikaona hee mambo safi kasha jirudi tukachati fresh ndio anapo chukua point hapa

Kumbe alikua na shida
dear nataka kwenda kwenye mahafali ya rafika angu sina hela ila ni tarehe flani saiz bado kwaiyo nifanyie mpango nikamjibu poa ilikua ni huko namtumbo

Siku iyo usiku yule nilie zaa nae mzazi mwenzangu ambae tulitengana

mpaka nikadumbkukia uku kwa muhitimu wa form4
nae akanitumia mesag usiku mwema mume sikumjibu

yule Liza mama ake siku ya pili akaondoka akaenda mbeya nyumbani akuacha kitu chochote

Ntarudi mkasa mrefu ila najitaid wakuu kufupisha mengine sitoweza kuandika

tafazali msinihukumu sana hali hii upitia wengi
 
Tuendelee na mkasa wangu
Niseme kwanza kitu vumilieni uandishi na mkasa utaeleweka tulia soma utaelewa
Mapenzi sasa na uyu muhitimu wa form4 yakashika kasi ikawa swala la yeye kuja kulala home ni kawaida na hata kwao ni kawa naenda bila shida na mama yake akanifahamu na kuniita mkwe

Dogo akaenda mbali zaidi na kumwambia Dada ake laivu kwamba Mimi natoka nae na anapaswa Dada mtu aniheshimu Mimi kama shemeji ake kwa sasa,
Dada ake ndio alikuja akaniambia naona mapenzi yamenoga na Leo nime ambiwa ukweli na dogo, kaniambia

nikuheshimu we ni shemeji angu kwa sasa alivyosema ivyo mi nika kausha tu nikamuuliza dogo kwenye simu akasema ni kweli nimemwambia basi mambo yakawa ivyo.
Na dogo akawa anakuja home kama kawaida siku iyo alivyofika nyumbani akasema naomba nikuulize ni kamwambia uliza akaniuliza uyu mtoto kwenye laptop yako ni wako?

Nika muangalia alafu nikacheka ni kamwambia wengi wameniuliza ilo swali ila uyo ni mtoto wa bro angu Mimi na kaka tuna fanana sana ndio mana unaona nimefanana na uyo mtoto nili mdanganya akaelewa

Alafu akauliza kaka ako yupo wapi nikamjibu yupo njombe hapo anafanya kazi na ni kweli bro yupo njombe ila watoto wake wote wawili ni wa kiume
Mambo kunoga sana mapenzi shamiri ikawa kulala home asubuh kwao na mama yake pia nilikuja gundua ni wale wa mama wa mjini mkwe una vijisent apo una heshimika dogo ilikua sasa kila mtu akimtongoza ananiambia kuna mtu kanitongoza labda kijana au mbaba lazima aniambie ndio ilikua desturi yake iyo sikupenda aniambie izo ishu.

Siku moja wakati yupo kwao saa 12 jioni hivi akanipigia simu akasema nimkopeshe EF 40 kuna watu wapo kwao wana dai pesa mama yake aliwaweka vibarua shambani walimaliza kulima pesa yao iliyobaki EF 40 awakupewa ndio wakatoka shamba mletere uko kumfata nyumbani kwao majengo kudai pesa zao mother wakamkuta na kusema awatoki bila pesa pale.
Ikabidi nimtumie iyo pesa dogo lakini nikijua aiwezi rudi wakawalipa wale watu wakaondoka
nikaona simu ya mama mkwe kupokea akanishukuru sana
basi mambo yakasonga dogo alivyofika jioni nyumbani ndio akanielezea kisa kizima ila akasema mama anashukuru sana

Siku tatu mbele asubhi tu nimelala simu inapigwa kucheki Liza IBU tusaidie mama anadaiwa vikoba rejesho EF 40 ila hapa ipo 25 kwaiyo bado 15 nikatuma mambo yakawa poa kwenye vikoba uko vya ma mkwe

Ki ufupi kwao awakua na maisha mazuri ni unga unga mwana na Mimi ndio nikajichomeka hapo

Muda huo tulikua kwenye mapenzi tuna kama miezi 8 ivi
Liza alikuja kushika ujauzito lakini akaniambia mama ana mpango wa kumpeleka chuo cha ufundi veta mwaka huo ataenda kufanya interview chuo cha veta kipo hapa msamala songea
wakati huo tayari matokeo ya form4 yalishatoka muda na hakufaulu iyo siku matokeo yalipotoka tulikua geto akanitajia namba tukaangalia kwenye laptop alifeli.
Nilichowaza mama yake anataka kumpeleka veta lakini mbona uwezo hana wa kipesa inakuaje hapa sikumuuliza yeye Bali nilijiuliza Mimi basi.

Baada ya kushika ujauzito sijajua kama walishauriana na mama au vipi akasema tutoe inabidi aende veta nikamwambia aina haja ya kutoa we acha akakomaa mi sikua na muda huo wa kufanya mpango wa Ku abortion
nilikaza akabaki kimya maisha yaka enda, siku flani mama ake alinipigia simu akasema mwenzio mjamzito ila sasa nataka nimpeleke chuo inakuaje nikamwambia mama akijifungua atakwenda aina shida akanijibu kinyonge sawa
Siku mbili mbele tena nikapigiwa simu anaumwa tumbo ilikua usiku ni ndani ya miez 2 hapo
anaumwa sana ikabidi niende kwao kweli tukachukua boda mpaka hospital ya mzena ipo msikiti wa wilaya songea mjini karibu na shule ya msingi mfaranyaki
hapo ndani waka mchukua maelezo alikua mzee mmoja ivi baadae wakasema inabid asafishwe mimba imeharibika nikauliza chanzo ni nini yule mzee akuniambia ukweli kwanza na mim nilidanganya nilijifanya kaka mtu kwaiyo akaficha nikamwambia tusepe,

tuka elekea hospital ya mkoa ruvuma tukakata kadi mpaka kwa dokta akachukuliwa vipimo maabara nikaitwa nikaulizwa nani yake nikajibu Mimi kaka yake akaitwa na yeye akaulizwa upo tayari tuongee mbele ya kaka yako akasema ndio aina shida apo tumbo lina msokota vibaya wakani ambia dogo kanywa vidonge vile vya kutolea mimba (misoprostol)
Namkumbuka yule dokta kwa jina la frank alikua mashikaji tu

wakamchoma sindano ya kupunguza maumivu sikupenda kile kitendo cha kutoa nikajifanya kumuuliza kwa ukali iyo mimba kakupa nani akasema ayupo hapa na kwann sasa utoe ye ndio kasema nitoe nikasema utaenda nitambua nyumbani yule dokta akaingilia akasema uyu bado mdogo cha kufanya ongea nae tu vizur wala usimuwakie aitofaa wakandika madawa pale tukatoka

tukaingia pharmacy moja ivi tukanunua yalikua madawa kibao nikamwambia iyo azabu yako ungekata roho pumbavu inaonekana mama mtu alihusika ila akusema alificha siku iyo nilipigika kinyama ela
tukarudi kwao nikampa mkasa mam ake akasikitika lakini niliona hapa kuna mchezo upo akusikitika sana mi nikaaga na hapo nikaacha kapata nafuu nikarudi masakani ki upnde flani mam mtu dogo alimfanya kitega uchumi kwangu.

Alichukua mwez mzima kukaa sawa na akarudi kwenye hali yake na siku iyo akaja geto usiku nikala mzigo asubuhi akarudi kwao na baada hapo vikaanza vitimbi
Geto akawa afiki ukimuita anasema yupo bize na kazi navumilia akiwa na shida kwao akieleweki anaomba hela unatuma baada ya hapo unasahaulika

Kuna siku akaja geto lakini kuja kwake sio kwa kupenda kwanza alijfanya anaumwa baadae anasema mama anaomba umuazime elfu 50 anataka afungue genge iyo ina mtosha nikampa akarudi mama ake akanipigia simu baba nashukuru sana

Kuna siku nikaenda kwao majengo c nikakuta kweli bi mkubwa kafungua kigenge anauza
Ila sasa uyu dogo ikawa geto ndio kakata mguu ata kuchati tu kwenye simu kulipungua sana baadae akawa anasema tumbo alijakaa vizuri bado,
kwaiyo siwez kuja uko nikavumilia sana mizinga ya kutisha vikoba vya mama vikawa avipungui natoa hela nikiwa na matumaini kwamba akipona basi kila kitu poa

sometimes inapita siku akuna salamu wala nini nisipo anza Mimi
Ndio basi imetoka nikimlazimisha sana kuja geto atakuja lakini akija analala kwamba anaumwa yani yupo nyoro kinyama alafu mi sio mtu wa kufosi gemu kwaiyo nikawa nabaki na maumivu tu asubuhi anaondoka nampa na hela anarud kwao

Ile kusema Leo nimetongozwa na uyu sijui namba ngen kwenye simu ananitongoza sikuzisikia tena
Ukiomba mzigo naumwa tumbo ndio jibu nika mchana lakini ayo uliyataka Mwenyewe

Majibu yake sikulazimishi kama vipi niache hili jibu nilipewa kwa Mara ya kwanza sikuamini ivi uyu ndio Liza yule
Nikawa naumia sana sababu mpaka hapo tayari nilishatoaga pesa nyingi sana kuwasidia wao kwaiyo sasa hiki kitu ndio kilikua kina niumiza kwamba Leo naambulia patupu yote niliyofanya naonekana mjinga

Upumbavu wangu sasa ikawa akiomba pesa nampa nikiwa na matumaini ata jirekebisha ikijia ile asante yake basi kichwa mi kinavimba hapa mambo safi du akuna kitu hola ikawa najitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe

Akaanzisha mtindo ikija saa moja tu juu ya alama ikawa anatuma mesej kwangu usiku mwema kumbe ni sawa na kuniambia sasa sitaki usumbufu na nachati na watu wangu
Kuna siku nikamuuliza ivi ni kweli wewe huwa unalala saa moja
Akajibu mi staki maswali yaki kushinda niache sikulazimishi kua kwangu aya majibu ni kama msumali wa moto unapenya kwenye moyo wangu qumamke

Nikamwambia Liza mbona siku izi umebadilika sana wewe sio yule tena wa kipind kile saiz ata kunifanyia usafi nyumbani ufiki na ukifika ukai sana peperu
alichojibu Mimi sijabadirika labda wewe ndio unaniona ivyo alafu ayo mambo yalikua zamani sio sasa ivi

Du aya majibu nyie nyie nyie acheni tu aya mapenzi sio nikawa mpole sana mawazo kibao ila cha kumshukuru mungu ki utendaji wa kazi sikufeli
Yule Dada ake sasa tukawa tunapiga story fresh na ananiita shemu ilo jina la shemu nikaanza lichukia lakini sikumwambia angeanza nihoji sikutaka.

Mwisho wa mwez bando lake likiisha tu la sms ana nicheki mapema sana dear hii text ya mwisho sms zinakata mzee bando la text la mwezi nashuka nalo kwake tiii

Utasikia asante wangu ndio imetoka ukitaka muendelee kuchati ana katisha yan anakua mtu wa kusema tu aya poa aya basi badae niliwai muuliza mbona Liza kama utaki chati na Mimi akanijibu sitaki ukorofi nimekwmbia sitaki chat na wewe au unajihisi du nikawa mpole hapo hapo ila sasa akiwa na shida mtatuzi wake ndio Mimi nakua kama zuzu shida ikiisha tu kwaheri ilipita miez minne sijajua uchi wake upoje

Sometimes ukiomba mzigo anajibu kabisa SITAKI ukiomba tena anasema nimekwambia sitaki mbona unielewi bana unataka nikutukane izo ni text wakuu anatuma

Nakua mpole ka kuku nilie mwagiwa maji
Kuna siku nikaomba tena mzigo akasema yeye anaumwa mhm nikamwambia yani siku izi kila siku unaumwa akasema kama uelewi aya baki ivyo ivyo.

Siku flan akaja geto alikua anashida kama kawaida kaja mchana nikasema Leo sikubali mpaka kieleweke hapa amefika akachukua simu yangu akaanza kuchezea gemu nikaanza mfosi lazimisha wapi kubabake akaja akasimama tu papu mezani palikua na EF kumi akabeba akaondoka nikabaki kitandan pale

baadae nikalala usingizi kushtuka nikakuta katuma text kwenye simu ibu ibu nikajibu vipi akasema nikwambie kitu,
sema akasema yeye kufanya mapenzi anaogoppa mimba kwaiyo tafuta mwanamke mwingine wa kufanya nae ila Mimi endelea kunihudumia kama kawaida aise nilikua boya kauli kama hii naichukulia pao tu

Nikamwambia siwez mi nipo na wewe na ndio tarajio langu la baadae akajibu nimesha kwambia kama utaki aya ndio ivyo

Nikatoka hapo nikaenda sehemu flani panaitwa moon light hapa bomba2 Kuna mshikaji wangu ana PS nikaenda kwao kucheza kama kutoa mawazo lakini aikusaidia kitu mawazo ni Yale Yale tu

Ikipita siku kama ajanitafuta au nimetuma mesag ajanijibu siku ya pili mapema sana asubaha tu text yake hii kupoteza maboya umeamkaje mpenzi
Najibu poa tu kinyonge sana kisha nauliza Jana vipi text yangu ujanijbu majibu yake maswali ya Jana sitaki na sitaki kuongea kuhusu Jana tafzali ishia hapo eheee sina usemi mzee baba.

Siku iyo mchana tumechati sijui alikosa wa kuchati nae tukachati nikamwambia njo basi home angalau nilizike na mie mbona unafanya ivyo akasema mpenzi naumwa Mimi saiz nipo nyumbani tu nikasema sawa ngoja basi nije nikuone akasema aya

Alifikir nadanganya nikatoka home kwa mguu toka bomba2 mpaka majengo c kwao kufika pale nikamkuta mama ake nikamsalimu nikamuuliza mgonjwa ana endeleaje akashangaa mgonjwa gani
Si Liza kasem anaumwa mama ake mhm sijui maana hapa katoka muda na ajaongelea swala la kuumwa ehee kumbe nyumbani ayupo nililimkuta na mjomba ake yupo hapo na bibi ake wote wanashangaa aisee nikaduwaa

Nikamtext nipo hapa upo wapi akasema nipo nyumbani we upo wapi nikamwambia nipo kwenu hapa na mama yako na bibi yako na mjomba ako tupo wote akujibu nikaona nimeingizwa mjini

Siku iyo palikua na mpira zesco na yanga nikaenda pub moja lipo majengo hapo kuangalia mpira panaitwa La chaz maarufu sana songea nikacheki mpira mpaka mwisho saa 12

Nikarudi kule kwa kina Liza wakasema bado ajarudi hapo nikaaga tu na kuondoka zangu nkamtumia mesag umeniona boya sana kukupenda wewe nikamwambia sawa we si mzur unatongozwa na wengi sawa

Akasema mi nilifikir ufiki mi nipo kwa rafiki angu joy sijui akasema
Nikasema poa nikazima simu nikaenda masakani kulala ilikua saa moja iyo.
Nikashtuka saa 2 kama na nusu ivi nikaenda kule kwa jamaa wa PS moonlight kucheza mpaka saa tano nikarudi home ndio kuwasha simu
Nakuta mesag zake mbona upatikani /umekasirika na mambo kibao

nikamjibu sija kasirika maana tayri nisha zoea kwa sasa ni kawaida tu nimezoea akasema sauwa ndivy alivyo jibu basi .

Siku ya pili Dada ake ana nicheki kwa simu anainiamnbia dogo Liza anaumwa hapa kaniomba ela aende hospital mi sina nikamwambia mbona ajaniambia aksema yeye ajui kwani vipi nikasema muulize yeye mi sijui kama anaumwa nika
kausha

Kumbe kuniambia anaona noma kutokana na mambo aliyonifanyia na alikua anaumwa kweli UTI sikupiga simu wala nini Dada ake akaambiwa na mama yake yule dogo kumbuka wao baba mmoja ila mama tofauti kwamba aniambie Mimi nikasidie mambo kwao magumu Dada ake anasema ibu nenda mi nikipokea mshahara ntakupa hela yako

Kujifanya kidume nikaenda mpaka kwao nika mkuta kweli mgonjwa nyoko nikampa mam ake ela ya sindano za uti 5 kila siku moja kitu kama icho akachoma sindano akamaliza akapona
ndege peperu nimewaponyeshea watu hana time tena majibu ni Yale Yale ya kishenzi

nilikua boya sana kwa uyu demu siku iyo natamani demu alafu uyu Liza ndio asomeki nikatafuta demu nika mpanga aje geto alikua bahamedi maana niliona nipoze machungu yule bahamedi geto anapajua ni wa mtaani tu hapo nimeenda geto kumsubir hola kaa na wewe kimya sijui Kuna jamaa alipanda dau ikabidi nilale tu kibishi

Asubhi sana saa 12 Liza uyu hapa mlango sikufunga ndani nikashangaaa Leo vipi kuja geto uyu nakula mzigo Leo da hatimae nimeonewa huruma yakaanza mambo ibu sim yangu imepotea Jana niliishau nje usiku na kwao amna umeme
Nikacheka kwaiyo sasa inakuaje akasema ni nunulie nyingne iliyopotea ilikua ndogo ka tecno ka kipadi

akakaa pale geto omba mzigo nipo kwenye siku mambo ni Yale Yale embu nikague inamaana uniamini
nikampa EF EF 30 akasema nifanyie mpango wa smartphone mhm hapa niliwaza ni nunue smart watu awalushie picha simu nimeitolea jasho Mimi

siku mwambia yeye niliwaza tu nikasema iyo subir nunua kwanza iyo,
saa 4 asubhi akaondoka na akanunua simu lakini baadae nilikuja gundua simu akupoteza alimpa mjomba ake

akunitafuta siku tatu mpka nikamuuliza Dada ake mbona Liza apatikani akasema kabaidlisha namba
saiz anazo mpya du sasa nikajiuliza mbona ajanicheki
Jioni ndio ana nicheki namba mpya aisee nilichukia kumbe kasajili laini mpya alafu kaendelea na watu wake mpaka alipojisikia ndio anitafute Mimi zuzu

Siku flani nilikua na Dada ake akaniuliza ivi dogo sikuiz una muonaje nikamuuliza kumuona vip

ajabadirika? kwa vile nilikua na hasira alafu Dada ake hua ananiambia mambo yake meng tu ya wanaume wake
ikabidi Dada ake nimwambie kila kitu akasema ni kweli dogo Kuna siku alikuja nyumbani ila muda wote kuchati na kwenda kupokea simu nje nikamwambia yani kuchati na Mimi ndio mbali mbali aichukui ata dakika tano basi ataki kuendlea kuchati na Mimi akasema mwenzio anachati vibaya mno

Na Nina kwambia ukweli ana kisharobaro kipo sid famu uko karibu na matogoro njia ya tunduru ndio ua anaenda uko na uyo anauza cd na vi flash kwenye ki flemu anapelekwaga na rafiki ake apo sasa nika elewa

Kuna siku nilikuta sms ya Liza yani kamjbu jamaa ipo save baada ya kusent naona alisahau kufuta ila inbox akuna kitu
Alisema usiniumize mpenz nakupenda sana
Nilimuuliza Liza akasema uyo ni rafik ake ndio alichukua simu yake akawa anachati na jamaa yake
Nilikubali lakini aikuja akilini

Nikaunga doti kuna siku nilimkuta Liza yupo kwenye pkpki na rafika ake wanatoka njia ya mahenge ndio huko huko sidfamu sasa nikaelewa
Ila Dada ake akasema uyu kuanzia yeye mpaka pale home umewapiga tafu sana ngoja naenda kamwambia bi mkubwa nikamwambia aina haja we achana nae

Kumbe bana mama mtu alikua anaona matendo ya mwane ivyo alikuaga ana msema sana inaonekana yule sharobaro hua anakuja pale kwa kina Liza ila anaishia mpenyoni uko
Siku nyingne nikaenda kwao kwa kushtukiza tu nikamkuta yupo ndani nikakuta kale ka simu alikonunua kwenye kioo kuna picha ya mtu yupo kwenye ka duka ka cd flash na vitu vingne

ndio nikajua yule jamaa wa sidfamu amevaa kepu akaja nikamuuliza uyu nani ume.sevu kabisa hapa kwenye simu akasema uyo shemeji ake mchumba wa rafik ake aha sasa we una msevuji kwenye simu yako majibu amna
Nikaingia kwenye mesag nikakuta password nikamwambia nitajie akasema late nikuandikie akachukua simu akasema sifungui ng'o nilichukia nikaamka nimtandike makofi pale pale akakimbilia ndani mama ake aksuliza vipi sikujibu nikatembea zangu nipo mbali nageuka naona ananichungulia nikazima simu maana niliona anabonyeza nikatokomea zangu .

Ule mkasa bi mkubwa aliuona akampigia yule Dada ake Liza kumwambia yule wa sheli ambae nilitoka kuongea nae yule Dada mtu akamwaga kila kitu nilicho kisema Mimi kwa mama ake Liza

Nipo home saa tatu nawasha simu ikaingia mesag kwaiyo kumwambia mama umefaidika nini
Nikauliza kumwambia nini we ujui

kumbe Dada ake alimwaga mchele wote sasa mother akawa ana msema karibu usiku mzima ana muwakia mpaka asubhi akamuamkia
Dada mtu alienda akamkuta dogo anasemwa tu dogo kupitia kwa Dada mtu aliniambia Liza kasema mimi ibu anipemdi na anitaki nampa tabu tu kwake

Mama ake akamwambia mludishie vitu vyake alivyokua ana kuangaikia dogo akajibu ntamlushia mama mtu akamwambia na umaakini huu utoe wapi hao nyoko zako unao waona wa maana awakusaidiii chochote mjinga sana mtoto we mother alisema mengi.

Dogo akatuma mesag kwangu ongera sana nikasema ya nini
Ahaa utajua mwenyewe nikaona poa

Alafu Kumbe kuna mda alikua anasema mama anshida flani zingne za uongo ni yeye mwwnyewe
Nilisahau kuna siku kipindi amekataa nisimgonge kwa miez kazaa
alinitumia text anaulizia dawa za kutolea mimba zinaitwaje
Nikamuuliza we za nini aksema kuna rafika angu anaulizia nikataja jina la uongo kumbe alihisi ana mimba sasa alitka kufanya mpango atoe lakin akua nayo Dada ake alinipa mkasa mzima

Pia nilisahau ilikua ikifika mwisho wa mwez anasema kwangu
Nabrid naomba pesa nikanunue pedi kila mwezi siku iyo nikamuuliza yan bridi ya wewe unamaliza limfuko lote hilo maana kila mwez una omba pesa ya kununua mpya akasema mjinga nini wewe kama utaki acha siku lazimishi kunipa ela ya kununua
Nikawa mpole kwa uzoba sijui aliniroga mbwa uyu
Ila sasa shida zake zote mtatuzi Mimi hao mashorobaro awaonekani kwenye tatizo Dada ake alikua ananipa michongo yote ata akiwaomba vocha wanapotea awtumi lakini wana mbandua na akasema usikute pesa yako ndio nauli ya kwenda kwa wanaume wake uko

Kidume nipo tu na uzoba wangu japo yalitokea yote hayo bado sikuchoka nikawa naendelea kua mtumwa kwake
Nikaenda kwao sik iyo akatoka akaja nyuma ya nyumbani yao nilipo Mimi akasema kumwambia Dada na mama umepata nini ??

nikamtandika bonge la Kofi akaanza kulia mama ake akatoka nje kuja nyuma tupo sisi mida ya saa moja iyo akarudi akuja pale tulipo

Akajifanya hasira akatoa simu akatoa laini zake akanipa sikupokea akatupa chini akasepa na Mimi nika ondoka simu nikaiacha hii siku sijui ujasiri nilipata wapi kumpiga Kofi

Kumbe alirudi akachukua simu ile
Siku ya pili akanicheki nikaona hee mambo safi kasha jirudi tukachati fresh ndio anapo chukua point hapa

Kumbe alikua na shida
dear nataka kwenda kwenye mahafali ya rafika angu sina hela ila ni tarehe flani saiz bado kwaiyo nifanyie mpango nikamjibu poa ilikua ni huko namtumbo

Siku iyo usiku yule nilie zaa nae mzazi mwenzangu ambae tulitengana

mpaka nikadumbkukia uku kwa muhitimu wa form4
nae akanitumia mesag usiku mwema mume sikumjibu

yule Liza mama ake siku ya pili akaondoka akaenda mbeya nyumbani akuacha kitu chochote

Ntarudi mkasa mrefu ila najitaid wakuu kufupisha mengine sitoweza kuandika

tafazali msinihukumu sana hali hii upitia wengi
Ila huko uliko jijue kuwa wewe Ni bwege pro max[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Aisee hata kama ni uzoba na ufala na kila aina ya uzuzu ila ww ulizidi
Tuendelee na mkasa wangu
Niseme kwanza kitu vumilieni uandishi na mkasa utaeleweka tulia soma utaelewa
Mapenzi sasa na uyu muhitimu wa form4 yakashika kasi ikawa swala la yeye kuja kulala home ni kawaida na hata kwao ni kawa naenda bila shida na mama yake akanifahamu na kuniita mkwe

Dogo akaenda mbali zaidi na kumwambia Dada ake laivu kwamba Mimi natoka nae na anapaswa Dada mtu aniheshimu Mimi kama shemeji ake kwa sasa,
Dada ake ndio alikuja akaniambia naona mapenzi yamenoga na Leo nime ambiwa ukweli na dogo, kaniambia

nikuheshimu we ni shemeji angu kwa sasa alivyosema ivyo mi nika kausha tu nikamuuliza dogo kwenye simu akasema ni kweli nimemwambia basi mambo yakawa ivyo.
Na dogo akawa anakuja home kama kawaida siku iyo alivyofika nyumbani akasema naomba nikuulize ni kamwambia uliza akaniuliza uyu mtoto kwenye laptop yako ni wako?

Nika muangalia alafu nikacheka ni kamwambia wengi wameniuliza ilo swali ila uyo ni mtoto wa bro angu Mimi na kaka tuna fanana sana ndio mana unaona nimefanana na uyo mtoto nili mdanganya akaelewa

Alafu akauliza kaka ako yupo wapi nikamjibu yupo njombe hapo anafanya kazi na ni kweli bro yupo njombe ila watoto wake wote wawili ni wa kiume
Mambo kunoga sana mapenzi shamiri ikawa kulala home asubuh kwao na mama yake pia nilikuja gundua ni wale wa mama wa mjini mkwe una vijisent apo una heshimika dogo ilikua sasa kila mtu akimtongoza ananiambia kuna mtu kanitongoza labda kijana au mbaba lazima aniambie ndio ilikua desturi yake iyo sikupenda aniambie izo ishu.

Siku moja wakati yupo kwao saa 12 jioni hivi akanipigia simu akasema nimkopeshe EF 40 kuna watu wapo kwao wana dai pesa mama yake aliwaweka vibarua shambani walimaliza kulima pesa yao iliyobaki EF 40 awakupewa ndio wakatoka shamba mletere uko kumfata nyumbani kwao majengo kudai pesa zao mother wakamkuta na kusema awatoki bila pesa pale.
Ikabidi nimtumie iyo pesa dogo lakini nikijua aiwezi rudi wakawalipa wale watu wakaondoka
nikaona simu ya mama mkwe kupokea akanishukuru sana
basi mambo yakasonga dogo alivyofika jioni nyumbani ndio akanielezea kisa kizima ila akasema mama anashukuru sana

Siku tatu mbele asubhi tu nimelala simu inapigwa kucheki Liza IBU tusaidie mama anadaiwa vikoba rejesho EF 40 ila hapa ipo 25 kwaiyo bado 15 nikatuma mambo yakawa poa kwenye vikoba uko vya ma mkwe

Ki ufupi kwao awakua na maisha mazuri ni unga unga mwana na Mimi ndio nikajichomeka hapo

Muda huo tulikua kwenye mapenzi tuna kama miezi 8 ivi
Liza alikuja kushika ujauzito lakini akaniambia mama ana mpango wa kumpeleka chuo cha ufundi veta mwaka huo ataenda kufanya interview chuo cha veta kipo hapa msamala songea
wakati huo tayari matokeo ya form4 yalishatoka muda na hakufaulu iyo siku matokeo yalipotoka tulikua geto akanitajia namba tukaangalia kwenye laptop alifeli.
Nilichowaza mama yake anataka kumpeleka veta lakini mbona uwezo hana wa kipesa inakuaje hapa sikumuuliza yeye Bali nilijiuliza Mimi basi.

Baada ya kushika ujauzito sijajua kama walishauriana na mama au vipi akasema tutoe inabidi aende veta nikamwambia aina haja ya kutoa we acha akakomaa mi sikua na muda huo wa kufanya mpango wa Ku abortion
nilikaza akabaki kimya maisha yaka enda, siku flani mama ake alinipigia simu akasema mwenzio mjamzito ila sasa nataka nimpeleke chuo inakuaje nikamwambia mama akijifungua atakwenda aina shida akanijibu kinyonge sawa
Siku mbili mbele tena nikapigiwa simu anaumwa tumbo ilikua usiku ni ndani ya miez 2 hapo
anaumwa sana ikabidi niende kwao kweli tukachukua boda mpaka hospital ya mzena ipo msikiti wa wilaya songea mjini karibu na shule ya msingi mfaranyaki
hapo ndani waka mchukua maelezo alikua mzee mmoja ivi baadae wakasema inabid asafishwe mimba imeharibika nikauliza chanzo ni nini yule mzee akuniambia ukweli kwanza na mim nilidanganya nilijifanya kaka mtu kwaiyo akaficha nikamwambia tusepe,

tuka elekea hospital ya mkoa ruvuma tukakata kadi mpaka kwa dokta akachukuliwa vipimo maabara nikaitwa nikaulizwa nani yake nikajibu Mimi kaka yake akaitwa na yeye akaulizwa upo tayari tuongee mbele ya kaka yako akasema ndio aina shida apo tumbo lina msokota vibaya wakani ambia dogo kanywa vidonge vile vya kutolea mimba (misoprostol)
Namkumbuka yule dokta kwa jina la frank alikua mashikaji tu

wakamchoma sindano ya kupunguza maumivu sikupenda kile kitendo cha kutoa nikajifanya kumuuliza kwa ukali iyo mimba kakupa nani akasema ayupo hapa na kwann sasa utoe ye ndio kasema nitoe nikasema utaenda nitambua nyumbani yule dokta akaingilia akasema uyu bado mdogo cha kufanya ongea nae tu vizur wala usimuwakie aitofaa wakandika madawa pale tukatoka

tukaingia pharmacy moja ivi tukanunua yalikua madawa kibao nikamwambia iyo azabu yako ungekata roho pumbavu inaonekana mama mtu alihusika ila akusema alificha siku iyo nilipigika kinyama ela
tukarudi kwao nikampa mkasa mam ake akasikitika lakini niliona hapa kuna mchezo upo akusikitika sana mi nikaaga na hapo nikaacha kapata nafuu nikarudi masakani ki upnde flani mam mtu dogo alimfanya kitega uchumi kwangu.

Alichukua mwez mzima kukaa sawa na akarudi kwenye hali yake na siku iyo akaja geto usiku nikala mzigo asubuhi akarudi kwao na baada hapo vikaanza vitimbi
Geto akawa afiki ukimuita anasema yupo bize na kazi navumilia akiwa na shida kwao akieleweki anaomba hela unatuma baada ya hapo unasahaulika

Kuna siku akaja geto lakini kuja kwake sio kwa kupenda kwanza alijfanya anaumwa baadae anasema mama anaomba umuazime elfu 50 anataka afungue genge iyo ina mtosha nikampa akarudi mama ake akanipigia simu baba nashukuru sana

Kuna siku nikaenda kwao majengo c nikakuta kweli bi mkubwa kafungua kigenge anauza
Ila sasa uyu dogo ikawa geto ndio kakata mguu ata kuchati tu kwenye simu kulipungua sana baadae akawa anasema tumbo alijakaa vizuri bado,
kwaiyo siwez kuja uko nikavumilia sana mizinga ya kutisha vikoba vya mama vikawa avipungui natoa hela nikiwa na matumaini kwamba akipona basi kila kitu poa

sometimes inapita siku akuna salamu wala nini nisipo anza Mimi
Ndio basi imetoka nikimlazimisha sana kuja geto atakuja lakini akija analala kwamba anaumwa yani yupo nyoro kinyama alafu mi sio mtu wa kufosi gemu kwaiyo nikawa nabaki na maumivu tu asubuhi anaondoka nampa na hela anarud kwao

Ile kusema Leo nimetongozwa na uyu sijui namba ngen kwenye simu ananitongoza sikuzisikia tena
Ukiomba mzigo naumwa tumbo ndio jibu nika mchana lakini ayo uliyataka Mwenyewe

Majibu yake sikulazimishi kama vipi niache hili jibu nilipewa kwa Mara ya kwanza sikuamini ivi uyu ndio Liza yule
Nikawa naumia sana sababu mpaka hapo tayari nilishatoaga pesa nyingi sana kuwasidia wao kwaiyo sasa hiki kitu ndio kilikua kina niumiza kwamba Leo naambulia patupu yote niliyofanya naonekana mjinga

Upumbavu wangu sasa ikawa akiomba pesa nampa nikiwa na matumaini ata jirekebisha ikijia ile asante yake basi kichwa mi kinavimba hapa mambo safi du akuna kitu hola ikawa najitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe

Akaanzisha mtindo ikija saa moja tu juu ya alama ikawa anatuma mesej kwangu usiku mwema kumbe ni sawa na kuniambia sasa sitaki usumbufu na nachati na watu wangu
Kuna siku nikamuuliza ivi ni kweli wewe huwa unalala saa moja
Akajibu mi staki maswali yaki kushinda niache sikulazimishi kua kwangu aya majibu ni kama msumali wa moto unapenya kwenye moyo wangu qumamke

Nikamwambia Liza mbona siku izi umebadilika sana wewe sio yule tena wa kipind kile saiz ata kunifanyia usafi nyumbani ufiki na ukifika ukai sana peperu
alichojibu Mimi sijabadirika labda wewe ndio unaniona ivyo alafu ayo mambo yalikua zamani sio sasa ivi

Du aya majibu nyie nyie nyie acheni tu aya mapenzi sio nikawa mpole sana mawazo kibao ila cha kumshukuru mungu ki utendaji wa kazi sikufeli
Yule Dada ake sasa tukawa tunapiga story fresh na ananiita shemu ilo jina la shemu nikaanza lichukia lakini sikumwambia angeanza nihoji sikutaka.

Mwisho wa mwez bando lake likiisha tu la sms ana nicheki mapema sana dear hii text ya mwisho sms zinakata mzee bando la text la mwezi nashuka nalo kwake tiii

Utasikia asante wangu ndio imetoka ukitaka muendelee kuchati ana katisha yan anakua mtu wa kusema tu aya poa aya basi badae niliwai muuliza mbona Liza kama utaki chati na Mimi akanijibu sitaki ukorofi nimekwmbia sitaki chat na wewe au unajihisi du nikawa mpole hapo hapo ila sasa akiwa na shida mtatuzi wake ndio Mimi nakua kama zuzu shida ikiisha tu kwaheri ilipita miez minne sijajua uchi wake upoje

Sometimes ukiomba mzigo anajibu kabisa SITAKI ukiomba tena anasema nimekwambia sitaki mbona unielewi bana unataka nikutukane izo ni text wakuu anatuma

Nakua mpole ka kuku nilie mwagiwa maji
Kuna siku nikaomba tena mzigo akasema yeye anaumwa mhm nikamwambia yani siku izi kila siku unaumwa akasema kama uelewi aya baki ivyo ivyo.

Siku flan akaja geto alikua anashida kama kawaida kaja mchana nikasema Leo sikubali mpaka kieleweke hapa amefika akachukua simu yangu akaanza kuchezea gemu nikaanza mfosi lazimisha wapi kubabake akaja akasimama tu papu mezani palikua na EF kumi akabeba akaondoka nikabaki kitandan pale

baadae nikalala usingizi kushtuka nikakuta katuma text kwenye simu ibu ibu nikajibu vipi akasema nikwambie kitu,
sema akasema yeye kufanya mapenzi anaogoppa mimba kwaiyo tafuta mwanamke mwingine wa kufanya nae ila Mimi endelea kunihudumia kama kawaida aise nilikua boya kauli kama hii naichukulia pao tu

Nikamwambia siwez mi nipo na wewe na ndio tarajio langu la baadae akajibu nimesha kwambia kama utaki aya ndio ivyo

Nikatoka hapo nikaenda sehemu flani panaitwa moon light hapa bomba2 Kuna mshikaji wangu ana PS nikaenda kwao kucheza kama kutoa mawazo lakini aikusaidia kitu mawazo ni Yale Yale tu

Ikipita siku kama ajanitafuta au nimetuma mesag ajanijibu siku ya pili mapema sana asubaha tu text yake hii kupoteza maboya umeamkaje mpenzi
Najibu poa tu kinyonge sana kisha nauliza Jana vipi text yangu ujanijbu majibu yake maswali ya Jana sitaki na sitaki kuongea kuhusu Jana tafzali ishia hapo eheee sina usemi mzee baba.

Siku iyo mchana tumechati sijui alikosa wa kuchati nae tukachati nikamwambia njo basi home angalau nilizike na mie mbona unafanya ivyo akasema mpenzi naumwa Mimi saiz nipo nyumbani tu nikasema sawa ngoja basi nije nikuone akasema aya

Alifikir nadanganya nikatoka home kwa mguu toka bomba2 mpaka majengo c kwao kufika pale nikamkuta mama ake nikamsalimu nikamuuliza mgonjwa ana endeleaje akashangaa mgonjwa gani
Si Liza kasem anaumwa mama ake mhm sijui maana hapa katoka muda na ajaongelea swala la kuumwa ehee kumbe nyumbani ayupo nililimkuta na mjomba ake yupo hapo na bibi ake wote wanashangaa aisee nikaduwaa

Nikamtext nipo hapa upo wapi akasema nipo nyumbani we upo wapi nikamwambia nipo kwenu hapa na mama yako na bibi yako na mjomba ako tupo wote akujibu nikaona nimeingizwa mjini

Siku iyo palikua na mpira zesco na yanga nikaenda pub moja lipo majengo hapo kuangalia mpira panaitwa La chaz maarufu sana songea nikacheki mpira mpaka mwisho saa 12

Nikarudi kule kwa kina Liza wakasema bado ajarudi hapo nikaaga tu na kuondoka zangu nkamtumia mesag umeniona boya sana kukupenda wewe nikamwambia sawa we si mzur unatongozwa na wengi sawa

Akasema mi nilifikir ufiki mi nipo kwa rafiki angu joy sijui akasema
Nikasema poa nikazima simu nikaenda masakani kulala ilikua saa moja iyo.
Nikashtuka saa 2 kama na nusu ivi nikaenda kule kwa jamaa wa PS moonlight kucheza mpaka saa tano nikarudi home ndio kuwasha simu
Nakuta mesag zake mbona upatikani /umekasirika na mambo kibao

nikamjibu sija kasirika maana tayri nisha zoea kwa sasa ni kawaida tu nimezoea akasema sauwa ndivy alivyo jibu basi .

Siku ya pili Dada ake ana nicheki kwa simu anainiamnbia dogo Liza anaumwa hapa kaniomba ela aende hospital mi sina nikamwambia mbona ajaniambia aksema yeye ajui kwani vipi nikasema muulize yeye mi sijui kama anaumwa nika
kausha

Kumbe kuniambia anaona noma kutokana na mambo aliyonifanyia na alikua anaumwa kweli UTI sikupiga simu wala nini Dada ake akaambiwa na mama yake yule dogo kumbuka wao baba mmoja ila mama tofauti kwamba aniambie Mimi nikasidie mambo kwao magumu Dada ake anasema ibu nenda mi nikipokea mshahara ntakupa hela yako

Kujifanya kidume nikaenda mpaka kwao nika mkuta kweli mgonjwa nyoko nikampa mam ake ela ya sindano za uti 5 kila siku moja kitu kama icho akachoma sindano akamaliza akapona
ndege peperu nimewaponyeshea watu hana time tena majibu ni Yale Yale ya kishenzi

nilikua boya sana kwa uyu demu siku iyo natamani demu alafu uyu Liza ndio asomeki nikatafuta demu nika mpanga aje geto alikua bahamedi maana niliona nipoze machungu yule bahamedi geto anapajua ni wa mtaani tu hapo nimeenda geto kumsubir hola kaa na wewe kimya sijui Kuna jamaa alipanda dau ikabidi nilale tu kibishi

Asubhi sana saa 12 Liza uyu hapa mlango sikufunga ndani nikashangaaa Leo vipi kuja geto uyu nakula mzigo Leo da hatimae nimeonewa huruma yakaanza mambo ibu sim yangu imepotea Jana niliishau nje usiku na kwao amna umeme
Nikacheka kwaiyo sasa inakuaje akasema ni nunulie nyingne iliyopotea ilikua ndogo ka tecno ka kipadi

akakaa pale geto omba mzigo nipo kwenye siku mambo ni Yale Yale embu nikague inamaana uniamini
nikampa EF EF 30 akasema nifanyie mpango wa smartphone mhm hapa niliwaza ni nunue smart watu awalushie picha simu nimeitolea jasho Mimi

siku mwambia yeye niliwaza tu nikasema iyo subir nunua kwanza iyo,
saa 4 asubhi akaondoka na akanunua simu lakini baadae nilikuja gundua simu akupoteza alimpa mjomba ake

akunitafuta siku tatu mpka nikamuuliza Dada ake mbona Liza apatikani akasema kabaidlisha namba
saiz anazo mpya du sasa nikajiuliza mbona ajanicheki
Jioni ndio ana nicheki namba mpya aisee nilichukia kumbe kasajili laini mpya alafu kaendelea na watu wake mpaka alipojisikia ndio anitafute Mimi zuzu

Siku flani nilikua na Dada ake akaniuliza ivi dogo sikuiz una muonaje nikamuuliza kumuona vip

ajabadirika? kwa vile nilikua na hasira alafu Dada ake hua ananiambia mambo yake meng tu ya wanaume wake
ikabidi Dada ake nimwambie kila kitu akasema ni kweli dogo Kuna siku alikuja nyumbani ila muda wote kuchati na kwenda kupokea simu nje nikamwambia yani kuchati na Mimi ndio mbali mbali aichukui ata dakika tano basi ataki kuendlea kuchati na Mimi akasema mwenzio anachati vibaya mno

Na Nina kwambia ukweli ana kisharobaro kipo sid famu uko karibu na matogoro njia ya tunduru ndio ua anaenda uko na uyo anauza cd na vi flash kwenye ki flemu anapelekwaga na rafiki ake apo sasa nika elewa

Kuna siku nilikuta sms ya Liza yani kamjbu jamaa ipo save baada ya kusent naona alisahau kufuta ila inbox akuna kitu
Alisema usiniumize mpenz nakupenda sana
Nilimuuliza Liza akasema uyo ni rafik ake ndio alichukua simu yake akawa anachati na jamaa yake
Nilikubali lakini aikuja akilini

Nikaunga doti kuna siku nilimkuta Liza yupo kwenye pkpki na rafika ake wanatoka njia ya mahenge ndio huko huko sidfamu sasa nikaelewa
Ila Dada ake akasema uyu kuanzia yeye mpaka pale home umewapiga tafu sana ngoja naenda kamwambia bi mkubwa nikamwambia aina haja we achana nae

Kumbe bana mama mtu alikua anaona matendo ya mwane ivyo alikuaga ana msema sana inaonekana yule sharobaro hua anakuja pale kwa kina Liza ila anaishia mpenyoni uko
Siku nyingne nikaenda kwao kwa kushtukiza tu nikamkuta yupo ndani nikakuta kale ka simu alikonunua kwenye kioo kuna picha ya mtu yupo kwenye ka duka ka cd flash na vitu vingne

ndio nikajua yule jamaa wa sidfamu amevaa kepu akaja nikamuuliza uyu nani ume.sevu kabisa hapa kwenye simu akasema uyo shemeji ake mchumba wa rafik ake aha sasa we una msevuji kwenye simu yako majibu amna
Nikaingia kwenye mesag nikakuta password nikamwambia nitajie akasema late nikuandikie akachukua simu akasema sifungui ng'o nilichukia nikaamka nimtandike makofi pale pale akakimbilia ndani mama ake aksuliza vipi sikujibu nikatembea zangu nipo mbali nageuka naona ananichungulia nikazima simu maana niliona anabonyeza nikatokomea zangu .

Ule mkasa bi mkubwa aliuona akampigia yule Dada ake Liza kumwambia yule wa sheli ambae nilitoka kuongea nae yule Dada mtu akamwaga kila kitu nilicho kisema Mimi kwa mama ake Liza

Nipo home saa tatu nawasha simu ikaingia mesag kwaiyo kumwambia mama umefaidika nini
Nikauliza kumwambia nini we ujui

kumbe Dada ake alimwaga mchele wote sasa mother akawa ana msema karibu usiku mzima ana muwakia mpaka asubhi akamuamkia
Dada mtu alienda akamkuta dogo anasemwa tu dogo kupitia kwa Dada mtu aliniambia Liza kasema mimi ibu anipemdi na anitaki nampa tabu tu kwake

Mama ake akamwambia mludishie vitu vyake alivyokua ana kuangaikia dogo akajibu ntamlushia mama mtu akamwambia na umaakini huu utoe wapi hao nyoko zako unao waona wa maana awakusaidiii chochote mjinga sana mtoto we mother alisema mengi.

Dogo akatuma mesag kwangu ongera sana nikasema ya nini
Ahaa utajua mwenyewe nikaona poa

Alafu Kumbe kuna mda alikua anasema mama anshida flani zingne za uongo ni yeye mwwnyewe
Nilisahau kuna siku kipindi amekataa nisimgonge kwa miez kazaa
alinitumia text anaulizia dawa za kutolea mimba zinaitwaje
Nikamuuliza we za nini aksema kuna rafika angu anaulizia nikataja jina la uongo kumbe alihisi ana mimba sasa alitka kufanya mpango atoe lakin akua nayo Dada ake alinipa mkasa mzima

Pia nilisahau ilikua ikifika mwisho wa mwez anasema kwangu
Nabrid naomba pesa nikanunue pedi kila mwezi siku iyo nikamuuliza yan bridi ya wewe unamaliza limfuko lote hilo maana kila mwez una omba pesa ya kununua mpya akasema mjinga nini wewe kama utaki acha siku lazimishi kunipa ela ya kununua
Nikawa mpole kwa uzoba sijui aliniroga mbwa uyu
Ila sasa shida zake zote mtatuzi Mimi hao mashorobaro awaonekani kwenye tatizo Dada ake alikua ananipa michongo yote ata akiwaomba vocha wanapotea awtumi lakini wana mbandua na akasema usikute pesa yako ndio nauli ya kwenda kwa wanaume wake uko

Kidume nipo tu na uzoba wangu japo yalitokea yote hayo bado sikuchoka nikawa naendelea kua mtumwa kwake
Nikaenda kwao sik iyo akatoka akaja nyuma ya nyumbani yao nilipo Mimi akasema kumwambia Dada na mama umepata nini ??

nikamtandika bonge la Kofi akaanza kulia mama ake akatoka nje kuja nyuma tupo sisi mida ya saa moja iyo akarudi akuja pale tulipo

Akajifanya hasira akatoa simu akatoa laini zake akanipa sikupokea akatupa chini akasepa na Mimi nika ondoka simu nikaiacha hii siku sijui ujasiri nilipata wapi kumpiga Kofi

Kumbe alirudi akachukua simu ile
Siku ya pili akanicheki nikaona hee mambo safi kasha jirudi tukachati fresh ndio anapo chukua point hapa

Kumbe alikua na shida
dear nataka kwenda kwenye mahafali ya rafika angu sina hela ila ni tarehe flani saiz bado kwaiyo nifanyie mpango nikamjibu poa ilikua ni huko namtumbo

Siku iyo usiku yule nilie zaa nae mzazi mwenzangu ambae tulitengana

mpaka nikadumbkukia uku kwa muhitimu wa form4
nae akanitumia mesag usiku mwema mume sikumjibu

yule Liza mama ake siku ya pili akaondoka akaenda mbeya nyumbani akuacha kitu chochote

Ntarudi mkasa mrefu ila najitaid wakuu kufupisha mengine sitoweza kuandika

tafazali msinihukumu sana hali hii upitia wengi
 
Jf bana, sasa hapo ambacho hamjaelewa ni nini? Mbona kisa kinaeleweka mwanzo mwisho,
Huyu ni mkazi wa songea vibarua vyake ni vya ujenzi,waliachana na mzazi mwenzake baadae akaangukia kwenye penzi la mwanafunzi(muhitimu wa form 4)

Kuhusu uandishi vumilieni,sio kila mtu ana elimu kama yako,huu sio mtandao wa wasomi tu
Songea sehemu gan? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ki fupi au niguse point muhimu ili nieleweke kabla sija endelea

Ni ivi nilikua kwenye mahusiano na bint mmoja mwaka 2015 ambae baadae alihamia kwangu nikaishi nae iyo 2015 a akashika ujauzito mwaka 2016 alijifungua mtoto wa kike hospital ya mkoa Ruvuma

Baadae mwaka 2018 tukaja tengana baada ya migogoro baina yetu wakati huo mtoto wetu ana miaka 2 ye akaenda kwake na maisha yake na Mimi nikabaki na maisha yangu.

Baada ya kutengana na uyo niliezaa nae ndio nikaja kuanza mahusiano na msichana mwingine ikapelekea mimi kupitia changamoto nyingi na baadae nikajivua kwa maumivu na mwisho nikarudiana na yule wa kwanza nilie zaa nae ambae mpaka sasa ivi naishi nae tena na tuna mtoto mwingine ina maana sasa tunao wawili.
Labda hapa ntakua nimeeleweka

wadau msome hii sumary na muielewe kabla sija endelea
Sasa ume eleweka.
 
Back
Top Bottom