Haileti maana kupunguza bajeti ya barabara kwa kuongeza bajeti ya kujenga SGR na kununua ndege

Haileti maana kupunguza bajeti ya barabara kwa kuongeza bajeti ya kujenga SGR na kununua ndege

The Sunk Cost Fallacy

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
19,582
Reaction score
14,167
Moja kwa moja kwenye mada.

Na declare interest mapema,mimi Niko kwenye industry ya construction hususani civil works, na naishukiru Serikali walau kwa kuongeza bajeti ya Tarura kutoka Bil.272 kwa miaka 5 iliyopita hadi bil.802 mwaka huu 2022/23.

Pamoja na hayo Nimepitia bajeti za Ujenzi wa barabara za TANROADS toka 2016 hadi sasa,Nimebaini kwamba kumekuwa na ongezeko la bajeti ya Wizara ya ujenzi kwa ujumla wake lakini Cha kushangaza Serikali ilipunguza bajeti kwenye fungu la ujenzi wa barabara na kuongeza kwenye ununuzi wa ndege na ujenzi wa reli ya SGR.

Kwa Maoni yangu hii sio sawa kabisa Kwa sababu Barabara ndio mishipa ya Nchi na inachochea maendeleo ya haraka zaidi kuliko sekta zingine zote.

Ni jambo la kushangaza kwa Nchi kubwa kama Tanzania ku priotise ununuzi wa ndege na kujenga sgr ambazo zikikamilika haziwezi kuwagusa watu wengi na Wala hazitainua uchumi wa Nchi kwa haraka kama ilivyo kwa barabara.

Tabia hii ilianzishwa awamu ya Tano na Sasa bado inaendelezwa. Kwa mfano mwaka wa Fedha 2021/2022 barabara ilitengewa 1.58Til huku sekta ya Uchukuzi ikiwa 2.02 Til. na Mwaka huu wa 2022/2023 barabara imepungua hadi 1.43 Ti, huku Uchukuzi ikiongezwa hadi.2.32Ti.

Hii sio sawa ndio maana vilio vya wabunge vimekuwa vingi sana huko Bungeni na hawalilii ndege wala reli bali barabara.Huwa sielewi watu wa planning huko wizarani na wiazara ya fedha wanatumia geji gani za Kiuchumi kufanya haya maamuzi..

Saizi kilimo kimepewa pesa nyingi sasa sijui wakulima watasafirisha vipi hayo Mazao kufikia masoko ikiwa bajeti ya barabara inapunguzwa.

Mwisho hivi Kazi ya Bunge huwa ni kuweka mhuli wa kile serikali imeamua au ni ipi hasa? Badala ya kufanya marekebisho ya bajeti wao Kazi yao kupigia mhuri na kulia Lia,huu ni ujinga..

Hii sio sawa kabisa ikizingatiwa kwamba CAG amekuwa anasema ununuzi wa ndege inazidi kuleta hasara.


Screenshot_20220525-080449.png
Screenshot_20220525-082824.png
Screenshot_20220525-082931.png
 
Tunaacha vipaumbele vya maana tunakimbilia kuwekeza ktk huu usanii?

Kwanini hizi fedha zisipelekwe ktk Bwawa au SGR?

nani alitunyima akili? wabunge mpo wapi? tatizo bunge la ccm tu haliwezi kuleta cha maana!
 
Sgr ni muhimu Sana na itamgusa Kila mtu lakini haihalalishi tupunguze bajeti ya ujenzi wa Barbara kwani barabara ni muhimu zaidi.

Kuendelea kununua ndege wakati tayari zimefika 11 mpaka Sasa si busara hata kidogo. Kwa ajili ya kusaidia kwenye utalii zilikuwa zimetosha kabisa. Mbele ya safari hizi ndege zinaenda kuligharimu taifa.
 
Sgr ni muhimu Sana na itamgusa Kila mtu lakini haihalalishi tupunguze bajeti ya ujenzi wa Barbara kwani barabara ni muhimu zaidi.

Kuendelea kununua ndege wakati tayari zimefika 11 mpaka Sasa si busara hata kidogo. Kwa ajili ya kusaidia kwenye utalii zilikuwa zimetosha kabisa. Mbele ya safari hizi ndege zinaenda kuligharimu taifa.
Kuna watu mna akili mbovu Sana,SGR itamgusa kila mtu?

Hiyo sgr kinachoongezeka ni speed ila kama ni reli tunazo kitambo tuu Sasa sijui zimemgusa kila mtu wapi?
 
Kuna watu mna akili mbovu Sana,SGR itamgusa kila mtu?

Hiyo sgr kinachoongezeka ni speed ila kama ni reli tunazo kitambo tuu Sasa sijui zimemgusa kila mtu wapi?
Kama unaishi Dar huwezi ulewa umhimu wa reli na siwezi kukulaumu, ni mazingira yanakufanya uwe Hivyo.

Usafiri wa treni ndiyo usafiri wa gharama nafuu kwa mizigo na utapunguza kiasi malori barabarani na kupunguza ajali. Usafiri wa treni ukiwa wa uhakika hata kwa abiria tu wengi wata opt kutumia reli badala ya ma bus.
 
Moja kwa moja kwenye mada.

Na declare interest mapema,mimi Niko kwenye industry ya construction hususani civil works, na naishukiru Serikali walau kwa kuongeza bajeti ya Tarura kutoka Bil.272 kwa miaka 5 iliyopita hadi bil.802 mwaka huu 2022/23.

Pamoja na hayo Nimepitia bajeti za Ujenzi wa barabara za TANROADS toka 2016 hadi sasa,Nimebaini kwamba kumekuwa na ongezeko la bajeti ya Wizara ya ujenzi kwa ujumla wake lakini Cha kushangaza Serikali ilipunguza bajeti kwenye fungu la ujenzi wa barabara na kuongeza kwenye ununuzi wa ndege na ujenzi wa reli ya SGR.

Kwa Maoni yangu hii sio sawa kabisa Kwa sababu Barabara ndio mishipa ya Nchi na inachochea maendeleo ya haraka zaidi kuliko sekta zingine zote.

Ni jambo la kushangaza kwa Nchi kubwa kama Tanzania ku priotise ununuzi wa ndege na kujenga sgr ambazo zikikamilika haziwezi kuwagusa watu wengi na Wala hazitainua uchumi wa Nchi kwa haraka kama ilivyo kwa barabara.

Tabia hii ilianzishwa awamu ya Tano na Sasa bado inaendelezwa. Kwa mfano mwaka wa Fedha 2021/2022 barabara ilitengewa 1.58Til huku sekta ya Uchukuzi ikiwa 2.02 Til. na Mwaka huu wa 2022/2023 barabara imepungua hadi 1.43 Ti, huku Uchukuzi ikiongezwa hadi.2.32Ti.

Hii sio sawa ndio maana vilio vya wabunge vimekuwa vingi sana huko Bungeni na hawalilii ndege wala reli bali barabara.Huwa sielewi watu wa planning huko wizarani na wiazara ya fedha wanatumia geji gani za Kiuchumi kufanya haya maamuzi..

Saizi kilimo kimepewa pesa nyingi sasa sijui wakulima watasafirisha vipi hayo Mazao kufikia masoko ikiwa bajeti ya barabara inapunguzwa.

Mwisho hivi Kazi ya Bunge huwa ni kuweka mhuli wa kile serikali imeamua au ni ipi hasa? Badala ya kufanya marekebisho ya bajeti wao Kazi yao kupigia mhuri na kulia Lia,huu ni ujinga..

Hii sio sawa kabisa ikizingatiwa kwamba CAG amekuwa anasema ununuzi wa ndege inazidi kuleta hasara.


View attachment 2237779View attachment 2237780View attachment 2237781
Acha ujinga wa kujipendekeza ,wakati mwamba JPM yupo hai bajeti zote zilinona, mkawa mnapiga kelele hamtaki maendeleo ya vitu na kashifa kedekede.

Haya sasa nchi hiyo mikononi mwenu tuwaone nyau pori nyie
 
Moja kwa moja kwenye mada.

Na declare interest mapema,mimi Niko kwenye industry ya construction hususani civil works, na naishukiru Serikali walau kwa kuongeza bajeti ya Tarura kutoka Bil.272 kwa miaka 5 iliyopita hadi bil.802 mwaka huu 2022/23.

Pamoja na hayo Nimepitia bajeti za Ujenzi wa barabara za TANROADS toka 2016 hadi sasa,Nimebaini kwamba kumekuwa na ongezeko la bajeti ya Wizara ya ujenzi kwa ujumla wake lakini Cha kushangaza Serikali ilipunguza bajeti kwenye fungu la ujenzi wa barabara na kuongeza kwenye ununuzi wa ndege na ujenzi wa reli ya SGR.

Kwa Maoni yangu hii sio sawa kabisa Kwa sababu Barabara ndio mishipa ya Nchi na inachochea maendeleo ya haraka zaidi kuliko sekta zingine zote.

Ni jambo la kushangaza kwa Nchi kubwa kama Tanzania ku priotise ununuzi wa ndege na kujenga sgr ambazo zikikamilika haziwezi kuwagusa watu wengi na Wala hazitainua uchumi wa Nchi kwa haraka kama ilivyo kwa barabara.

Tabia hii ilianzishwa awamu ya Tano na Sasa bado inaendelezwa. Kwa mfano mwaka wa Fedha 2021/2022 barabara ilitengewa 1.58Til huku sekta ya Uchukuzi ikiwa 2.02 Til. na Mwaka huu wa 2022/2023 barabara imepungua hadi 1.43 Ti, huku Uchukuzi ikiongezwa hadi.2.32Ti.

Hii sio sawa ndio maana vilio vya wabunge vimekuwa vingi sana huko Bungeni na hawalilii ndege wala reli bali barabara.Huwa sielewi watu wa planning huko wizarani na wiazara ya fedha wanatumia geji gani za Kiuchumi kufanya haya maamuzi..

Saizi kilimo kimepewa pesa nyingi sasa sijui wakulima watasafirisha vipi hayo Mazao kufikia masoko ikiwa bajeti ya barabara inapunguzwa.

Mwisho hivi Kazi ya Bunge huwa ni kuweka mhuli wa kile serikali imeamua au ni ipi hasa? Badala ya kufanya marekebisho ya bajeti wao Kazi yao kupigia mhuri na kulia Lia,huu ni ujinga..

Hii sio sawa kabisa ikizingatiwa kwamba CAG amekuwa anasema ununuzi wa ndege inazidi kuleta hasara.


View attachment 2237779View attachment 2237780View attachment 2237781
Acha ujinga wa kujipendekeza ,wakati mwamba JPM yupo hai bajeti zote zilinona, mkawa mnapiga kelele hamtaki maendeleo ya vitu na kashifa kedekede.
Haya sasa nchi hiyo mikononi mwenu tuwaone nyau pori nyie
 
Acha ujinga wa kujipendekeza ,wakati mwamba JPM yupo hai bajeti zote zilinona, mkawa mnapiga kelele hamtaki maendeleo ya vitu na kashifa kedekede.
Haya sasa nchi hiyo mikononi mwenu tuwaone nyau pori nyie
Fala wewe,mimi sio poyoyo kama wewe bali naenda na Takwimu za Serikali..

Huyo unaemtaja ni Mwamba wa kukuinamisha
 
Kama unaishi Dar huwezi ulewa umhimu wa reli na siwezi kukulaumu, ni mazingira yanakufanya uwe Hivyo.

Usafiri wa treni ndiyo usafiri wa gharama nafuu kwa mizigo na utapunguza kiasi malori barabarani na kupunguza ajali. Usafiri wa treni ukiwa wa uhakika hata kwa abiria tu wengi wata opt kutumia reli badala ya ma bus.
Tanzania sio Dar
 
Kama unaishi Dar huwezi ulewa umhimu wa reli na siwezi kukulaumu, ni mazingira yanakufanya uwe Hivyo.

Usafiri wa treni ndiyo usafiri wa gharama nafuu kwa mizigo na utapunguza kiasi malori barabarani na kupunguza ajali. Usafiri wa treni ukiwa wa uhakika hata kwa abiria tu wengi wata opt kutumia reli badala ya ma bus.
usafiri wa SGR utainua uchumi kwa kasi sana kwa kuwahisha watu kazini na kusafirisha mizigo mingi kwa haraka na kwa bei ndogo.

SGR itapunguza gharama za kurepea barabara zinazoharibiwa vibaya na magari makubwa ya mizigo ambayo yatapungua sana. Upigaji wa halmashauri wa kurepea barabara za lami utapungua nchi nzima na pesa itajenga miundombinu mingine.

Ulaya tunajua ni treni za umeme tu zimeunganisha mikoa yote na zimejaa mitaani (Metro) zikibeba abiria na mizigo na unaweza kukaa mwaka mzima hujaona jamaa wakirepea barabara ambazo ni gari ndogo ndogo tu unaziona mitaani. magari makubwa hutengewa barabara zake na hayaingii mjini kati!

wasioijua SGR ina kazi gani wajifunze Google!!
 
usafiri wa SGR utainua uchumi kwa kasi sana kwa kuwahisha watu kazini na kusafirisha mizigo mingi kwa haraka na kwa bei ndogo.

SGR itapunguza gharama za kurepea barabara zinazoharibiwa vibaya na magari makubwa ya mizigo ambayo yatapungua sana. Upigaji wa halmashauri wa kurepea barabara za lami utapungua nchi nzima na pesa itajenga miundombinu mingine.

Ulaya tunajua ni treni za umeme tu zimeunganisha mikoa yote na zimejaa mitaani (Metro) zikibeba abiria na mizigo na unaweza kukaa mwaka mzima hujaona jamaa wakirepea barabara ambazo ni gari ndogo ndogo tu unaziona mitaani. magari makubwa hutengewa barabara zake na hayaingii mjini kati!

wasioijua SGR ina kazi gani wajifunze Google!!
Mawazo za watu wanaodhani feelings zao ndio facts..

Kwa utafiti upi uliofanywa? Feasibility study gani imeonyesha hayo unayoyasem
 
Mawazo za watu wanaodhani feelings zao ndio facts..

Kwa utafiti upi uliofanywa? Feasibility study gani imeonyesha hayo unayoyasem
panda ndege ukajionee reli za dunia ya kwanza wazo litakalokujia ni kuomba kuishi kama mkimbizi! hutotamani kurudi kwenu!
 
Mimi nilichoshindwa kuielewa hii serikali ni hii, uchumi unashuka, vitu vinapanda bei, wao badala ya kufanya vile vitu vya umuhimu ni kununua ndege ambazo wala hazina wapandaji hapa Tanzania, ndio maana shirika kila siku ni hasara

Tumieni hizo fedha hata kutoa ruzuku bei za mafuta zishuke
 
panda ndege ukajionee reli za dunia ya kwanza wazo litakalokujia ni kuomba kuishi kama mkimbizi! hutotamani kurudi kwenu!
Hiyo ni Dunia ya kwanza wamemaliza basics kama barabara ndio wamehamia kwenye reli sio kujisemesha tuu bila kifikiri
 
Hizi ndege ni chuma ulete wa nchi ila zinapendwa sana hasa na mataga ambao wengi hawatazipanda mpaka siku wanaingia kaburuni.
 
Mmenunua ndege nyingine...duuh...
labda kama mna undugu na mafuta ya putin..

sio kwa wakati huu unless mnatuingiza cha kike halafu majaliwa anakuja kula vichwa vya kafara....
 
Mleta mada ni mpumbavu na mtu asiyeelewa chochote na ndani yake akiwa amejawa na kisasi kuona vilivyoanzishwa na asiyempenda havitiliwi maanani!!

Hama nchi bwege wewe
 
Back
Top Bottom