Haipendezi kwa Mwanaume kupanda usafiri wa Boda Boda

Haipendezi kwa Mwanaume kupanda usafiri wa Boda Boda

Kwakweli haipendezi kabisa Mwanaume kukamatia boda boda.

Mwanamke haina tatizo kabisa.

Kwanza vile mnavyokaa tu, inatia mashaka,

Bora bajaji au Tax kabisa.
Sasa wapande nini?! Kama hupandi siye tutapanda, wewe endelea na vogue na v8 zako..
 
Huu usafiri wa Boda boda ulipo ingia kwa mara ya kwanza Mwanamke kuupanda ilionekana ni maajabu kwasababu ilizoeleka ni wanaume pekee.

Pili,wanawake walikuwa wakiupanda walikuwa wakikaa kwa style ya kike(Bila shaka hii tunaifahamu),lakini baadae ikaja ikaonekana wanaume wanafaidi sana nao wakaamua kukaa kwenye Boda boda kama wanaume,Hawakuishia hapo tu,bali pia wao walijiongeza zaidi na hasa hawa wadada wa mjini kila wanapokaa kwenye Boda boda basi hubinua viuno na makalio yao ili kuvutia umma wa watu unaomtizama!

Zamani kumbeba mwanamke kwenye Baiskeli au Boda boda na ukamwambia kaa kama mwanaume mnakosana na anaweza asipande hicho chombo chako,lakini baada ya kuhalalisha huu ukaaji ndo mambo yalipovurugikia!,haibu haipo tena siku hizi!

Hivyo,unavyosema kwamba wanaume tuache kupanda boda boda kisa tu zinapendwa wanawake it means tuache kuvaa na suruali pia kwasababu zinapendwa na kuvaliwa na wanawake!

KIMSINGI MI NILIDHANI UWASHAURI WANAWAKE WAACHE KUFANYA VILE TUNAVYOFANYA SISI WANAUME ILI KUTOFAUTISHA KATI YA (KE )NA (ME) na hii ingehusu kuanzia Mavazi mpaka ukaaji kwenye Boda boda!
 
Ni kweli kabisa
Sijawahi ona waliogundua huu usafiri, sio wanaume wawili kwenye pikipiki ni kwa mke wako umbebe tako hilo nyuma hapo sawa
mijianume miwili ni ushenzi mtupu,
bora baiskeli kiti cha nyuma kipo chini.
 
Utajua mwenyewe bro[emoji3][emoji3][emoji3] ila Mimi nitapanda tu mana sina gari wala sina mpango wa kununua hivi karibuni
 
Kwakweli haipendezi kabisa Mwanaume kukamatia boda boda.

Mwanamke haina tatizo kabisa.

Kwanza vile mnavyokaa tu, inatia mashaka,

Bora bajaji au Tax kabisa.
Hahahahhaa.dah...ndo maana watu wengi wana stress kutokana na mada kama hizi...dah🤣🤣
 
Kwahiyo ukiwa na haraka na unakatiza mitaa ambayo gari haipiti inakupasa upande nini punda au??

Zamani wanawake walikua limited na kula/kutumia vitu kama firigisi ilibidi amwachie mwanaume ila siku hizi naona upepo umebadilika aisee mwanaume ndo anakua wa ajabu akitumia baadhi ya vitu. Mtoa mada kaongeza na bodaboda nazo zisitumike kwa wanaume daaah.
 
Huu usafiri wa Boda boda ulipo ingia kwa mara ya kwanza Mwanamke kuupanda ilionekana ni maajabu kwasababu ilizoeleka ni wanaume pekee.

Pili,wanawake walikuwa wakiupanda walikuwa wakikaa kwa style ya kike(Bila shaka hii tunaifahamu),lakini baadae ikaja ikaonekana wanaume wanafaidi sana nao wakaamua kukaa kwenye Boda boda kama wanaume,Hawakuishia hapo tu,bali pia wao walijiongeza zaidi na hasa hawa wadada wa mjini kila wanapokaa kwenye Boda boda basi hubinua viuno na makalio yao ili kuvutia umma wa watu unaomtizama!

Zamani kumbeba mwanamke kwenye Baiskeli au Boda boda na ukamwambia kaa kama mwanaume mnakosana na anaweza asipande hicho chombo chako,lakini baada ya kuhalalisha huu ukaaji ndo mambo yalipovurugikia!,haibu haipo tena siku hizi!

Hivyo,unavyosema kwamba wanaume tuache kupanda boda boda kisa tu zinapendwa wanawake it means tuache kuvaa na suruali pia kwasababu zinapendwa na kuvaliwa na wanawake!

KIMSINGI MI NILIDHANI UWASHAURI WANAWAKE WAACHE KUFANYA VILE TUNAVYOFANYA SISI WANAUME ILI KUTOFAUTISHA KATI YA (KE )NA (ME) na hii ingehusu kuanzia Mavazi mpaka ukaaji kwenye Boda boda!
Umemaliza mkuu uzi ufungwe.
 
Back
Top Bottom