Haipendezi mwanaume kufanya haya!

Haipendezi mwanaume kufanya haya!

pia mwanaume kutumia X badala ya S utakuta mwanaume ananiandikia mwanaume mwenzie xaxa badala ya sasa au uxhauri badala ya ushauri

Hizi ni dalili za ushoga mambo mengine tuwaachie dada zetu

Mkuu na wewe ni mkereketwa wa huo upuuzi... agiza konyagi bariiidi .
 
Kama tittle inavyojieleza Mwanaume kufanya yafuatayo haipendezi:-

1) Kuwa mbeya au kushiriki umbea kwa namna yoyote aidha kwa kukusudia au kwa kutokusudia.

2) Kutumia maneno haya:-

Shosti/Shostito, My, Mie, Mwaya, Nimekumisije, Msyuuuu...,My Maa, Ptuuuuu...., Utantaka,haalooo, jamaani n.k

3) Kutumia hela na Mwanamke yeyote au Mpenzi wako au Kumhonga kisha kulalamika mbele ya Wanaume wenzio. Sasa si ulienjoy naye,sisi tukusaidiaje? (Hapo Unajichoresha)

4) Kutamka neno "Nimeshindwa" au "Siwezi" mbele ya mwanamke...ni bora useme "Nitalishuhulikia" haijalishi unaweza au huwezi hilo suala.

5) Kulalamika kupita kiasi au kuweka kitu rohoni muda mrefu, (haipendezi pia kwa dume). Kama umekerwa Tunasemaga tu kavukavu.

6) Kuomba ushauri wa kitoto toto. Mfano,kitu kidogo unachoweza kushuhulikia ukiomba ushauri ni kujishusha na kujidharau.

7) Kuwa Mnafiki, mfano unajua kabisa chama flan kina unyonyaji na maovu na unashabikia kisa una maslahi bila kusimamia ukweli.
Ongeza nyingine...

kama mnaltambua hilo bas nyie wajanja, alakini mbona hujaongelea suala la ninyi kuvaa SURUALI? Mshawahi ona madume tukivaa masketi yenu? If not -Think twice😉
 
Asante kaka...
Tena mwanaume anayeshabikia ccm hafai kwa matumiz ya wanadam

Unatambua hilo baada ya miaka 50!!!! Acha kupotosha mada kwa viroja visivyo na kichwa wala miguu.
 
Hii post kama imejirudia thot i saw it somewhr.

By the way wanaume siku hizi ni wachache sanaaa, tunakoelekea nafikiri wataisha kabisaaa, hebu jitambueni na mbadilike.

Wanaume wachache?

Asante tumekusikia tutabadilika...ila nyie ndo hamtak kubadilika kabisaa
 
Kama tittle inavyojieleza Mwanaume kufanya yafuatayo haipendezi:-

1) Kuwa mbeya au kushiriki umbea kwa namna yoyote aidha kwa kukusudia au kwa kutokusudia.

2) Kutumia maneno haya:-

Shosti/Shostito, My, Mie, Mwaya, Nimekumisije, Msyuuuu...,My Maa, Ptuuuuu...., Utantaka,haalooo, jamaani n.k

3) Kutumia hela na Mwanamke yeyote au Mpenzi wako au Kumhonga kisha kulalamika mbele ya Wanaume wenzio. Sasa si ulienjoy naye,sisi tukusaidiaje? (Hapo Unajichoresha)

4) Kutamka neno "Nimeshindwa" au "Siwezi" mbele ya mwanamke...ni bora useme "Nitalishuhulikia" haijalishi unaweza au huwezi hilo suala.

5) Kulalamika kupita kiasi au kuweka kitu rohoni muda mrefu, (haipendezi pia kwa dume). Kama umekerwa Tunasemaga tu kavukavu.

6) Kuomba ushauri wa kitoto toto. Mfano,kitu kidogo unachoweza kushuhulikia ukiomba ushauri ni kujishusha na kujidharau.

7) Kuwa Mnafiki, mfano unajua kabisa chama flan kina unyonyaji na maovu na unashabikia kisa una maslahi bila kusimamia ukweli.
Ongeza nyingine...

Hiyo namba 7 kwangu ndio muhim saana....
 
Kushobokea afya za watu mf eti mbona siku hizi umekonda sana huna kitu kinachokusumbua? au naona unazidi kuwa bonge tu,au unependeza n.k n.k
 
Kushobokea afya za watu mf eti mbona siku hizi umekonda sana huna kitu kinachokusumbua? au naona unazidi kuwa bonge tu,au unependeza n.k n.k

Hahahaaaaha mkuuu nimechekajeee
 
We ni mwanaume au mwanamama?.

Tuanzie hapo
Kama tittle inavyojieleza Mwanaume kufanya yafuatayo haipendezi:-

1) Kuwa mbeya au kushiriki umbea kwa namna yoyote aidha kwa kukusudia au kwa kutokusudia.

2) Kutumia maneno haya:-

Shosti/Shostito, My, Mie, Mwaya, Nimekumisije, Msyuuuu...,My Maa, Ptuuuuu...., Utantaka,haalooo, jamaani n.k

3) Kutumia hela na Mwanamke yeyote au Mpenzi wako au Kumhonga kisha kulalamika mbele ya Wanaume wenzio. Sasa si ulienjoy naye,sisi tukusaidiaje? (Hapo Unajichoresha)

4) Kutamka neno "Nimeshindwa" au "Siwezi" mbele ya mwanamke...ni bora useme "Nitalishuhulikia" haijalishi unaweza au huwezi hilo suala.

5) Kulalamika kupita kiasi au kuweka kitu rohoni muda mrefu, (haipendezi pia kwa dume). Kama umekerwa Tunasemaga tu kavukavu.

6) Kuomba ushauri wa kitoto toto. Mfano,kitu kidogo unachoweza kushuhulikia ukiomba ushauri ni kujishusha na kujidharau.

7) Kuwa Mnafiki, mfano unajua kabisa chama flan kina unyonyaji na maovu na unashabikia kisa una maslahi bila kusimamia ukweli.
Ongeza nyingine...
 
Kama tittle inavyojieleza Mwanaume kufanya yafuatayo haipendezi:-

1) Kuwa mbeya au kushiriki umbea kwa namna yoyote aidha kwa kukusudia au kwa kutokusudia.

2) Kutumia maneno haya:-

Shosti/Shostito, My, Mie, Mwaya, Nimekumisije, Msyuuuu...,My Maa, Ptuuuuu...., Utantaka,haalooo, jamaani n.k

3) Kutumia hela na Mwanamke yeyote au Mpenzi wako au Kumhonga kisha kulalamika mbele ya Wanaume wenzio. Sasa si ulienjoy naye,sisi tukusaidiaje? (Hapo Unajichoresha)

4) Kutamka neno "Nimeshindwa" au "Siwezi" mbele ya mwanamke...ni bora useme "Nitalishuhulikia" haijalishi unaweza au huwezi hilo suala.

5) Kulalamika kupita kiasi au kuweka kitu rohoni muda mrefu, (haipendezi pia kwa dume). Kama umekerwa Tunasemaga tu kavukavu.

6) Kuomba ushauri wa kitoto toto. Mfano,kitu kidogo unachoweza kushuhulikia ukiomba ushauri ni kujishusha na kujidharau.

7) Kuwa Mnafiki, mfano unajua kabisa chama flan kina unyonyaji na maovu na unashabikia kisa una maslahi bila kusimamia ukweli.
Ongeza nyingine...
Mwanaume kusema/kuandika balabala badala ya barabara inaboa sana.
 
Back
Top Bottom