Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Umezipenda akili zetu eeeh..
Mweeeh!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umezipenda akili zetu eeeh..
wanawake mnajidharau wenyewe tukisema sisi mnalalakika, ajabu
Wala hata...sasa wew tumiaa
pia mwanaume kutumia X badala ya S utakuta mwanaume ananiandikia mwanaume mwenzie xaxa badala ya sasa au uxhauri badala ya ushauri
Hizi ni dalili za ushoga mambo mengine tuwaachie dada zetu
kwanini uone sawa ninyi kufanya vitu ambavyo si sawa
Sijasema ni sawa au sio sawa...
Basi na nyie jiremben maana na sisi tunajiremba...
nje ya mada
Kama tittle inavyojieleza Mwanaume kufanya yafuatayo haipendezi:-
1) Kuwa mbeya au kushiriki umbea kwa namna yoyote aidha kwa kukusudia au kwa kutokusudia.
2) Kutumia maneno haya:-
Shosti/Shostito, My, Mie, Mwaya, Nimekumisije, Msyuuuu...,My Maa, Ptuuuuu...., Utantaka,haalooo, jamaani n.k
3) Kutumia hela na Mwanamke yeyote au Mpenzi wako au Kumhonga kisha kulalamika mbele ya Wanaume wenzio. Sasa si ulienjoy naye,sisi tukusaidiaje? (Hapo Unajichoresha)
4) Kutamka neno "Nimeshindwa" au "Siwezi" mbele ya mwanamke...ni bora useme "Nitalishuhulikia" haijalishi unaweza au huwezi hilo suala.
5) Kulalamika kupita kiasi au kuweka kitu rohoni muda mrefu, (haipendezi pia kwa dume). Kama umekerwa Tunasemaga tu kavukavu.
6) Kuomba ushauri wa kitoto toto. Mfano,kitu kidogo unachoweza kushuhulikia ukiomba ushauri ni kujishusha na kujidharau.
7) Kuwa Mnafiki, mfano unajua kabisa chama flan kina unyonyaji na maovu na unashabikia kisa una maslahi bila kusimamia ukweli.
Ongeza nyingine...
Asante kaka...
Tena mwanaume anayeshabikia ccm hafai kwa matumiz ya wanadam
Hii post kama imejirudia thot i saw it somewhr.
By the way wanaume siku hizi ni wachache sanaaa, tunakoelekea nafikiri wataisha kabisaaa, hebu jitambueni na mbadilike.
Kama tittle inavyojieleza Mwanaume kufanya yafuatayo haipendezi:-
1) Kuwa mbeya au kushiriki umbea kwa namna yoyote aidha kwa kukusudia au kwa kutokusudia.
2) Kutumia maneno haya:-
Shosti/Shostito, My, Mie, Mwaya, Nimekumisije, Msyuuuu...,My Maa, Ptuuuuu...., Utantaka,haalooo, jamaani n.k
3) Kutumia hela na Mwanamke yeyote au Mpenzi wako au Kumhonga kisha kulalamika mbele ya Wanaume wenzio. Sasa si ulienjoy naye,sisi tukusaidiaje? (Hapo Unajichoresha)
4) Kutamka neno "Nimeshindwa" au "Siwezi" mbele ya mwanamke...ni bora useme "Nitalishuhulikia" haijalishi unaweza au huwezi hilo suala.
5) Kulalamika kupita kiasi au kuweka kitu rohoni muda mrefu, (haipendezi pia kwa dume). Kama umekerwa Tunasemaga tu kavukavu.
6) Kuomba ushauri wa kitoto toto. Mfano,kitu kidogo unachoweza kushuhulikia ukiomba ushauri ni kujishusha na kujidharau.
7) Kuwa Mnafiki, mfano unajua kabisa chama flan kina unyonyaji na maovu na unashabikia kisa una maslahi bila kusimamia ukweli.
Ongeza nyingine...
Unatambua hilo baada ya miaka 50!!!! Acha kupotosha mada kwa viroja visivyo na kichwa wala miguu.
Wala hata...sasa wew tumiaa
Ss iyo "bora ata" inatoka wapi?
Kunya boga
Kushobokea afya za watu mf eti mbona siku hizi umekonda sana huna kitu kinachokusumbua? au naona unazidi kuwa bonge tu,au unependeza n.k n.k
Kama tittle inavyojieleza Mwanaume kufanya yafuatayo haipendezi:-
1) Kuwa mbeya au kushiriki umbea kwa namna yoyote aidha kwa kukusudia au kwa kutokusudia.
2) Kutumia maneno haya:-
Shosti/Shostito, My, Mie, Mwaya, Nimekumisije, Msyuuuu...,My Maa, Ptuuuuu...., Utantaka,haalooo, jamaani n.k
3) Kutumia hela na Mwanamke yeyote au Mpenzi wako au Kumhonga kisha kulalamika mbele ya Wanaume wenzio. Sasa si ulienjoy naye,sisi tukusaidiaje? (Hapo Unajichoresha)
4) Kutamka neno "Nimeshindwa" au "Siwezi" mbele ya mwanamke...ni bora useme "Nitalishuhulikia" haijalishi unaweza au huwezi hilo suala.
5) Kulalamika kupita kiasi au kuweka kitu rohoni muda mrefu, (haipendezi pia kwa dume). Kama umekerwa Tunasemaga tu kavukavu.
6) Kuomba ushauri wa kitoto toto. Mfano,kitu kidogo unachoweza kushuhulikia ukiomba ushauri ni kujishusha na kujidharau.
7) Kuwa Mnafiki, mfano unajua kabisa chama flan kina unyonyaji na maovu na unashabikia kisa una maslahi bila kusimamia ukweli.
Ongeza nyingine...
Mwanaume kusema/kuandika balabala badala ya barabara inaboa sana.Kama tittle inavyojieleza Mwanaume kufanya yafuatayo haipendezi:-
1) Kuwa mbeya au kushiriki umbea kwa namna yoyote aidha kwa kukusudia au kwa kutokusudia.
2) Kutumia maneno haya:-
Shosti/Shostito, My, Mie, Mwaya, Nimekumisije, Msyuuuu...,My Maa, Ptuuuuu...., Utantaka,haalooo, jamaani n.k
3) Kutumia hela na Mwanamke yeyote au Mpenzi wako au Kumhonga kisha kulalamika mbele ya Wanaume wenzio. Sasa si ulienjoy naye,sisi tukusaidiaje? (Hapo Unajichoresha)
4) Kutamka neno "Nimeshindwa" au "Siwezi" mbele ya mwanamke...ni bora useme "Nitalishuhulikia" haijalishi unaweza au huwezi hilo suala.
5) Kulalamika kupita kiasi au kuweka kitu rohoni muda mrefu, (haipendezi pia kwa dume). Kama umekerwa Tunasemaga tu kavukavu.
6) Kuomba ushauri wa kitoto toto. Mfano,kitu kidogo unachoweza kushuhulikia ukiomba ushauri ni kujishusha na kujidharau.
7) Kuwa Mnafiki, mfano unajua kabisa chama flan kina unyonyaji na maovu na unashabikia kisa una maslahi bila kusimamia ukweli.
Ongeza nyingine...