Haipendezi Mwanaume mtu mzima kucheza games za kitoto kwenye simu yake

Haipendezi Mwanaume mtu mzima kucheza games za kitoto kwenye simu yake

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Unakuta ni kwenye daladala au mpo sehemu mmekaa mnasubiria huduma unaona mbaba anacheza game kwenye simu yake game yenyewe bora hata ingekuwa hata dream league soccer au PES.

Noma inaanza pale unakuta mtu anacheza sweet fruit candy, au Buble shooter, Temple run, subway runner vigame flan vya kijinga jinga tu kwa kweli haimake sense sana.
 
Tumekusikia mkuu

Tutaanza kuangalia Pilau pale tunaposubiri huduma au kwenye daladala..
 
Mpaka wazifahamu hizo games inamaana na wewe unazicheza. Kua idle ni kubaya bora mtu ajichezee zake game kupoteza muda. Life is too short to complicate things
 
Haipendezi kabisa unalikuta li mbaba lizima eti limeweka Kalenda kwenye profile! 😁😁😂😂😂
 
Mimi nikikaa na watu wa hovyo kama hao lazima niwachokoze, ili wapoteze umakini wa kucheza games za watoto
 
"To do you do you, to say you say me"... just mind your own phone
 
HIV maana ya hizo games unazijua halafu haipendez mwanaume mtu Mzima kuhangaika kumfatilia mwanaume mwenzako
 
Back
Top Bottom