Haipingiki timu hizi tatu za EPL haziwezi pita UEFA 16 bora

Haipingiki timu hizi tatu za EPL haziwezi pita UEFA 16 bora

utabiri wako umeanza kutimia kwa man u, ngoja tuone asernal na chelsea
 
utabiri wako umeanza kutimia kwa man u, ngoja tuone asernal na chelsea

Hapana utabiriwake amekosea maana alisema kwanza arsenal ndio anaanza, wakati mpaka sasa tunasubiria acheze. aksema pili manu. Wakati man U is now out kwabla hata arsenal hawajatoka, labda atapatia kwa chelsea.
ila kicha cha habari kapatia, 100%,
 
Ha ha ha ha na huyo City ataishia 16 bora

Hapana, atafika robo kwa sababu ameongoza kundi hivyo amekwepa kukutana vigogo kama vle bayern , barcelona na Real madrid ambao ndo huwa wanamtoa kila siku 16 bora
 
Hapana, atafika robo kwa sababu ameongoza kundi hivyo amekwepa kukutana vigogo kama vle bayern , barcelona na Real madrid ambao ndo huwa wanamtoa kila siku 16 bora
Sasa mkuu akipangiwa PSG si hatari
 
Duuuuuh yani nyie Arsenal ndio kabisaaaaa na tatzo majeruhi mnao kibao mtu kama Cazorla Sanchez ni pengo kubwa sana
Watafanya miujiza hao maana wanapokuwa katika critical moment huwa wanafanya kweli
 
...pnc arsenal atamtandika huyo sijui mgiriki sijui nani goli zakutosha tu.
Wale watoto walitufunga zile game za kwanza, sio kwa sababu wana uwezo kutuzidi, la hasha, ilikua ni kama 'accident' tu, jumatano sina hofu, tutawapiga zaidi ya goli mbili, haijalishi wawe kwao au kwa jirani!

...i knew it..!
 
Ya kwanza Arsenal huyu hata akishinda 1:0 kesho bado yupo nje
wa pili Manchester United huyu hata akidraw kaenda nje na la kusikitisha yupo ugenini kwa wajeumani
Na wa 3 ni Chelsea huyu anakutana na Fc Porto wenye yule jamaa mualjeria aliyeisumbua stars
Hivo Waingereza wajipange kwa Europe Champions League View attachment 309632
Uefa Champions League permutations

Bayern Munich: QUALIFIED (as group winners)
Olympiacos: STILL IN THE HUNT (need a draw against Arsenal, can
also lose 1-0 and 2-1)
Arsenal: STILL IN THE HUNT (must beat Olympiacos by two goals, or
a victory margin of 4-3 or higher)
Dinamo Zagreb: KNOCKED OUT (cannot qualify for Europa League)


Chelsea: STILL IN THE HUNT (need a draw against Porto, can lose if
Dynamo fail to win)
Porto: STILL IN THE HUNT (need to beat Chelsea, or hope Dynamo
fail to beat Maccabi)
Dynamo Kyiv: STILL IN THE HUNT (need a win against Maccab

#UPDATE : MANCHESTER UNITED WASHAAGA MASHINDANO KWA GOLI 3:2

kweli wewe ni PNC.nadhani sa hii upo uvunguni kwa aibu.
 
Back
Top Bottom