Haipingiki timu hizi tatu za EPL haziwezi pita UEFA 16 bora

Haipingiki timu hizi tatu za EPL haziwezi pita UEFA 16 bora

Huna akil
Wote watatu kwenye group hakuna mwenye uhakika kwa chelsea halaf unalinganisha na hao
Mualgeria huyo kwa stars na chelsea unaona sawa
Porto darajan kutoka n ngumu licha ya ugumu wa mechi ya Kwanzaa
Wale buernomouth walikuwa bandarini au darajani??
 
Kati ya hao 1 anaweza pita usiku huu😼⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️

Ha ha ha ha ha ha labda kupita Europe ila sio Uefa
 
Bayern Munich: QUALIFIED (as group winners)
Olympiacos: STILL IN THE HUNT (need a draw against Arsenal, can
also lose 1-0 and 2-1)
Arsenal: STILL IN THE HUNT (must beat Olympiacos by two goals, or
a victory margin of 4-3 or higher)
Dinamo Zagreb: KNOCKED OUT (cannot qualify for Europa League)

Correction: Arsenal must beat Olympiacos 2-0 or win 3-2 or higher. This is because Arsenal lost 2-3 to Olympiacos in the first leg. So if they get even, they balance their head-to-head superiority and Arsenal qualifies because of superior goal difference.
 
Harafu kule anaenda kukutana na akina Sevilla, EPL wanaondoka kwa msafara.

Ha ha ha ha Chelsea vs Villarreal. Man u vs Bilbao na Chelsea vs Sevilla hapo lazma EPL waage na Europe
 
Tulimpenda sana ila Europe imempenda zaidi

Ugomvi wangu na ninyi michepuko yangu ni kujifanya mko juu as if hamfungiki embu sali sala zote tupite tukutane tu.........
 
Ugomvi wangu na ninyi michepuko yangu ni kujifanya mko juu as if hamfungiki embu sali sala zote tupite tukutane tu.........
Nfyuuuuuu yani nipoteze muda kuwaombea nyie mshinde labda hyo kaz anaiweza cute b name Ntunzu
 
Last edited by a moderator:
Leo ndio umejifunua live kuwa wewe Man u damu
PNC 1 wacha utani ina maana hukujua siku zote??? Mi man U damu then Anafata Barca then Juve kasoro ujerumani ndo sijawahi kuitaman au kuipenda timu yoyote.
 
Last edited by a moderator:
PNC 1 wacha utani ina maana hukujua siku zote??? Mi man U damu then Anafata Barca then Juve kasoro ujerumani ndo sijawahi kuitaman au kuipenda timu yoyote.

Sasa kila timu unashabikia sasa mpinzani wako ni yupi
 
Last edited by a moderator:
ArsenL inapita wewe! Tushazoea kupenya sisi ktk mazingira haya!
 
Back
Top Bottom