Haitatokea mwana-CCM jasiri na shupavu kama Marehemu Kachelo Membe 2025

Haitatokea mwana-CCM jasiri na shupavu kama Marehemu Kachelo Membe 2025

Ndio amekufa bila kuwa Rais,nilishangaa heshima ya kijeshi aliyopewa wakati hana hata cheo cha jeshi,wala wadhifa wa wakuu wa nchi kama waziri mkuu au makamu wa Rais.
Sera zake anaonekana alitaka kwenda kusalimia viongozi wenzie huko duniani.
 
M
R.i.P Filikunjombe
R.i.P Magufuli
R.i.P Membe
Luhanga Mpina
Wengi wameingia kwenye siasa kama ajira na kwaajili ya matumbo yao
Tu anayetetea soko la sukari, kulinda soko la ndani, kulinda maslahi ya wakulima wa Miwa,

Kaingia kwenye siasa kwa ajili bya njaa???
Wewe huna Akili umejaza Mav..........iiiiiii badala ya ubongo kichwani
 
Ndio amekufa bila kuwa Rais,nilishangaa heshima ya kijeshi aliyopewa wakati hana hata cheo cha jeshi,wala wadhifa wa wakuu wa nchi kama waziri mkuu au makamu wa Rais.
Sera zake anaonekana alitaka kwenda kusalimia viongozi wenzie huko duniani.
Naam, alikuwa ndiyo mteule wa Samia, alikuwa na Memo tayari ya kuwa mgombea mwenza mwakani 2025.

Ndo maana alipata mazishi ya heshima kubwa , lakini usisahau jamaa lilikuwa Bonge la jasusi bobezi Toka enzi ya Nyerere anashinda cordor za Ikulu, na kwenye KITENGO alikuwa anachambua taarifa za kiinteligensia.

Usisahau pia wizara aliyohudumu kwa miaka saba ni potential kweli kweli.

Membe Tanzania imepoteza mtu wa maana sana!


Rest In Peace Bernard Kamilius Membe.😭😭😭
 
Hakika
Naam, alikuwa ndiyo mteule wa Samia, alikuwa na Memo tayari ya kuwa mgombea mwenza mwakani 2025.

Ndo maana alipata mazishi ya heshima kubwa , lakini usisahau jamaa lilikuwa Bonge la jasusi bobezi Toka enzi ya Nyerere anashinda cordor za Ikulu, na kwenye KITENGO alikuwa anachambua taarifa za kiinteligensia.

Usisahau pia wizara aliyohudumu kwa miaka saba ni potential kweli kweli.

Membe Tanzania imepoteza mtu wa maana sana!


Rest In Peace Bernard Kamilius Membe.😭😭😭
Hakika jamaa alikuwa jasili mbele ya ya ccm, wakati ule jpm alikuwa anatisha, wazee wote walifyata mkia
 
Hakika
Hakika jamaa alikuwa jasili mbele ya ya ccm, wakati ule jpm alikuwa anatisha, wazee wote walifyata mkia

Siku moja nitakuja na thread ya Whatsapp sms ambayo Membe alimtumia Magufuli saa 7 Usiku mpaka magufuli alinywea na kumpigia cm kikwete usiku uleule.

Nitaeleza pia namna alivyokatalia pengo Kardinal kumsamehe Musiba na sababu za kumkatalia kumsamehe Musiba Cyprian.
 
Watu jasiri wataendelea kupotea. Kizazi cha kina nyerere mpaka JK kinamalizikia. Kizazi cha chawa kinaingia.
 
Siku moja nitakuja na thread ya Whatsapp sms ambayo Membe alimtumia Magufuli saa 7 Usiku mpaka magufuli alinywea na kumpigia cm kikwete usiku uleule.

Nitaeleza pia namna alivyokatalia pengo Kardinal kumsamehe Musiba na sababu za kumkatalia kumsamehe Musiba Cyprian.
Utakuwa umepiga mwingi mkuu, njoo nayo ,I'li tujenge kizazi imara sio chawa
 
..ila kipindi cha JIWE ,waliompinga waziwazi
1.Lissu
2. Heche
3.Zitto
4. Membe
5. Cha ujanja Nyalandu
 
Back
Top Bottom