Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye pia hakuwa jasiri alikuwa laini tu mwisho wa siku alirudi CCM!Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Ndani ya CCM haitatokea Mwanasiasa kama kachelo marehemu Membe, aliweza kumpinga wazi wazi Raisi Magufuli juu ya demokrasia, ndani ya CCM.
Aliweza kuonesha nia ya kuchukua form ya kugombea urais kama sehemu ya kidemokrasia, mbali na vitisho alivyokuwa anapitia kutoka kwa JPM, lakini alisimimia msimamo wake.
Wanasiasa wengi Tanzania ni waoga, hawana ujasiri wala msimamo wa kuchalenji Rais kama anaenda kinyume na katiba ya CHAMA cha CCM.
NB: Kiongozi lazima uwe jasiri, hodari, shupavu, na mwenye msimamo juu ya kile unachokiamini. Mungu ibariki Tanzania
By mwinjilist wenu Gabeji
Ujasiri uko wapi sasa alikuwa mbinafsi na mjivuni kuhisi mwenye uwezo ni peke yake!Ni kwa sbb amekula viapo vingi sana ndani ya serikali ya ccm
= kachero.Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Ndani ya CCM haitatokea Mwanasiasa kama kachelo marehemu Membe, aliweza kumpinga wazi wazi Raisi Magufuli juu ya demokrasia, ndani ya CCM.
Aliweza kuonesha nia ya kuchukua form ya kugombea urais kama sehemu ya kidemokrasia, mbali na vitisho alivyokuwa anapitia kutoka kwa JPM, lakini alisimimia msimamo wake.
Wanasiasa wengi Tanzania ni waoga, hawana ujasiri wala msimamo wa kuchalenji Rais kama anaenda kinyume na katiba ya CHAMA cha CCM.
NB: Kiongozi lazima uwe jasiri, hodari, shupavu, na mwenye msimamo juu ya kile unachokiamini. Mungu ibariki Tanzania
By mwinjilist wenu Gabeji
Sidhani kama alikuwa jasiri. Alikuwa anaangalia maslahi yake tu. Mwana CCM nitakayesema ni jasiri ni yule atakayepigana kufa na kupona kutaka tuwe na katiba mpya kwa sababu ubovu wa katiba yetu ndiyo nguvu ya CCM.Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Ndani ya CCM haitatokea Mwanasiasa kama kachelo marehemu Membe, aliweza kumpinga wazi wazi Raisi Magufuli juu ya demokrasia, ndani ya CCM.
Aliweza kuonesha nia ya kuchukua form ya kugombea urais kama sehemu ya kidemokrasia, mbali na vitisho alivyokuwa anapitia kutoka kwa JPM, lakini alisimimia msimamo wake.
Wanasiasa wengi Tanzania ni waoga, hawana ujasiri wala msimamo wa kuchalenji Rais kama anaenda kinyume na katiba ya CHAMA cha CCM.
NB: Kiongozi lazima uwe jasiri, hodari, shupavu, na mwenye msimamo juu ya kile unachokiamini. Mungu ibariki Tanzania
By mwinjilist wenu Gabeji
Subiri 2025 utapata jibu la swali lakoBila shaka wote ni wazima wa afya njema. Ndani ya CCM haitatokea Mwanasiasa kama kachelo marehemu Membe, aliweza kumpinga wazi wazi Raisi Magufuli juu ya demokrasia, ndani ya CCM.
Aliweza kuonesha nia ya kuchukua form ya kugombea urais kama sehemu ya kidemokrasia, mbali na vitisho alivyokuwa anapitia kutoka kwa JPM, lakini alisimimia msimamo wake.
Wanasiasa wengi Tanzania ni waoga, hawana ujasiri wala msimamo wa kuchalenji Rais kama anaenda kinyume na katiba ya CHAMA cha CCM.
NB: Kiongozi lazima uwe jasiri, hodari, shupavu, na mwenye msimamo juu ya kile unachokiamini. Mungu ibariki Tanzania
By mwinjilist wenu Gabeji
Sidhani kama alikuwa jasiri. Alikuwa anaangalia maslahi yake tu. Mwana CCM nitakayesema ni jasiri ni yule atakayepigana kufa na kupona kutaka tuwe na katiba mpya kwa sababu ubovu wa katiba yetu ndiyo nguvu ya CCM.
[/QUOTE
KWA kizazi hiki cha uchawa haitatokea ,ladba walioba, umri usingekuwa umemtupa mkono
r na l ni janga la taifa.#kachero, sio kachelo