Haitatokea mwana-CCM jasiri na shupavu kama Marehemu Kachelo Membe 2025

Haitatokea mwana-CCM jasiri na shupavu kama Marehemu Kachelo Membe 2025

Ni
Kama una miaka 35 kushuka chini balaa utashuhudia siasa za kichawa.
Ni kizazi ambacho kimepoteza utu mbele ya taifa letu pendwa la Tanzania.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Ndani ya CCM haitatokea Mwanasiasa kama kachelo marehemu Membe, aliweza kumpinga wazi wazi Raisi Magufuli juu ya demokrasia, ndani ya CCM.

Aliweza kuonesha nia ya kuchukua form ya kugombea urais kama sehemu ya kidemokrasia, mbali na vitisho alivyokuwa anapitia kutoka kwa JPM, lakini alisimimia msimamo wake.

Wanasiasa wengi Tanzania ni waoga, hawana ujasiri wala msimamo wa kuchalenji Rais kama anaenda kinyume na katiba ya CHAMA cha CCM.

NB: Kiongozi lazima uwe jasiri, hodari, shupavu, na mwenye msimamo juu ya kile unachokiamini. Mungu ibariki Tanzania

By mwinjilist wenu Gabeji
Yeye pia hakuwa jasiri alikuwa laini tu mwisho wa siku alirudi CCM!
 
Kama mawaziri wakuu wote walirudi ccm yeye ni nani akatae
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Ndani ya CCM haitatokea Mwanasiasa kama kachelo marehemu Membe, aliweza kumpinga wazi wazi Raisi Magufuli juu ya demokrasia, ndani ya CCM.

Aliweza kuonesha nia ya kuchukua form ya kugombea urais kama sehemu ya kidemokrasia, mbali na vitisho alivyokuwa anapitia kutoka kwa JPM, lakini alisimimia msimamo wake.

Wanasiasa wengi Tanzania ni waoga, hawana ujasiri wala msimamo wa kuchalenji Rais kama anaenda kinyume na katiba ya CHAMA cha CCM.

NB: Kiongozi lazima uwe jasiri, hodari, shupavu, na mwenye msimamo juu ya kile unachokiamini. Mungu ibariki Tanzania

By mwinjilist wenu Gabeji
= kachero.

Hivi hizo shule milenda kusomea ujinga?
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Ndani ya CCM haitatokea Mwanasiasa kama kachelo marehemu Membe, aliweza kumpinga wazi wazi Raisi Magufuli juu ya demokrasia, ndani ya CCM.

Aliweza kuonesha nia ya kuchukua form ya kugombea urais kama sehemu ya kidemokrasia, mbali na vitisho alivyokuwa anapitia kutoka kwa JPM, lakini alisimimia msimamo wake.

Wanasiasa wengi Tanzania ni waoga, hawana ujasiri wala msimamo wa kuchalenji Rais kama anaenda kinyume na katiba ya CHAMA cha CCM.

NB: Kiongozi lazima uwe jasiri, hodari, shupavu, na mwenye msimamo juu ya kile unachokiamini. Mungu ibariki Tanzania

By mwinjilist wenu Gabeji
Sidhani kama alikuwa jasiri. Alikuwa anaangalia maslahi yake tu. Mwana CCM nitakayesema ni jasiri ni yule atakayepigana kufa na kupona kutaka tuwe na katiba mpya kwa sababu ubovu wa katiba yetu ndiyo nguvu ya CCM.
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Ndani ya CCM haitatokea Mwanasiasa kama kachelo marehemu Membe, aliweza kumpinga wazi wazi Raisi Magufuli juu ya demokrasia, ndani ya CCM.

Aliweza kuonesha nia ya kuchukua form ya kugombea urais kama sehemu ya kidemokrasia, mbali na vitisho alivyokuwa anapitia kutoka kwa JPM, lakini alisimimia msimamo wake.

Wanasiasa wengi Tanzania ni waoga, hawana ujasiri wala msimamo wa kuchalenji Rais kama anaenda kinyume na katiba ya CHAMA cha CCM.

NB: Kiongozi lazima uwe jasiri, hodari, shupavu, na mwenye msimamo juu ya kile unachokiamini. Mungu ibariki Tanzania

By mwinjilist wenu Gabeji
Subiri 2025 utapata jibu la swali lako
 
Kwa
Sidhani kama alikuwa jasiri. Alikuwa anaangalia maslahi yake tu. Mwana CCM nitakayesema ni jasiri ni yule atakayepigana kufa na kupona kutaka tuwe na katiba mpya kwa sababu ubovu wa katiba yetu ndiyo nguvu ya CCM.
[/QUOTE
KWA kizazi hiki cha uchawa haitatokea ,ladba walioba, umri usingekuwa umemtupa mkono
 
Filikunjombe ameifanyia nn nchi hii, we ni mwehu km Mpina. Sasa mshamba km Mpina unampongeza kwa lipi, au ni kusema ndege wanaofanana huruka pamoja?
Mchango wao ni mdogo
 
Back
Top Bottom