Haiti: Rais Jovenel Moise auawa akiwa nyumbani kwake. Mkewe ajeruhiwa

Haiti: Rais Jovenel Moise auawa akiwa nyumbani kwake. Mkewe ajeruhiwa

Nchi ilishakuwa kwenye hali mbaya sana ya kiusalama,watu mashuhuri walishaanza kutekwa mchana kweupe halafu watekaji wanadai pesa kutoka kwenye familia.

Mwezi April tu mwaka huu mchungaji maarufu Alitekwa akiwa kanisani tena akiwa na ibada ya live kwenye media wakiimba nyimbo za kuabudu.

Sijui muafaka wa hio nchi utakuwaje,unaweza kuangalia tukio la utekaji wa mchungaji na waimbaji wake hapa;


Duh aisee
 
Rais wa Haiti, Jovenel Moïse ameuawa katika shambulio lililotokea kwenye makazi yake huku ikielezwa Mkewe amejeruhiwa

Taarifa za kifo chake zimetolewa na Waziri Mkuu wa Mpito, Claude Joseph ambaye anaongoza Nchi hiyo kwa sasa

View attachment 1844482
========

The president of Haiti, Jovenel Moise, was reportedly shot and killed in his home, the interim Prime Minister Claude Joseph announced Wednesday.

The president's residence has also put out a statement Wednesday saying the attack occurred around 1 a.m. and that the first lady was also wounded in the attack.

Jovenel Moïse was shot in his private residence by a ‘group of unidentified individuals’ – some of whom spoke Spanish – after they broke in at around 1am on Tuesday.

His death came just hours after appointing Prime Minister Ariel Henry on Tuesday.

Moïse has been ruling Haiti, the poorest country in the Americas, by decree, after legislative elections due in 2018 were delayed and following disputes on when his own term ends.

The United Nations Security Council, the US and Europe have called for free and transparent legislative and presidential elections to be held in Haiti by the end of 2021

View attachment 1844456Tatizo waafrika mtu akishapata uongozi anajiona bora kuliko wengine, ndio maana waona watu wanang'ang'ania mdaraka mara nyingi...
Ukiona vurugu kama hizi ujue lazima kuna mkono wa beberu
 
Nchi ilishakuwa kwenye hali mbaya sana ya kiusalama,watu mashuhuri walishaanza kutekwa mchana kweupe halafu watekaji wanadai pesa kutoka kwenye familia.

Mwezi April tu mwaka huu mchungaji maarufu Alitekwa akiwa kanisani tena akiwa na ibada ya live kwenye media wakiimba nyimbo za kuabudu.

Sijui muafaka wa hio nchi utakuwaje,unaweza kuangalia tukio la utekaji wa mchungaji na waimbaji wake hapa;


Daaah aisee ***** zao ndo walifika? Seems nusu ya raia ni type za akina Bashite!
 
Give them gun and they will kill themselves...if we are the same why we are white and thy are black...If blacks and arabs will rule this world [emoji288] ...the world gonna be not suitable place to live ..... what they know is only dancing and sex. ( Wakuu hizi n nukuu nmemix kuazia za netanyahu, trump, kluger wa boer trek )
Fantastic

Mkuu kama unaweza kuipata ile nukuu nzima ya Trump, naomba nipatie. Nimeitafuta sana sikuiona
 
Daaah aisee ***** zao ndo walifika? Seems nusu ya raia ni type za akina Bashite!
Kuna uhuni mno na nchi yanaendeshwa hovyo sana.

Mwaka 2010 Msanii maarufu wa Hiphop kutoka kundi la Fugees Wycliffe Jean ambaye ni Mzaliwa wa Haiti aliomba kugombea uraisi wa Nchini hiyo na alikuwa anakubalika sana lakini katika hali ya kushangaza Tume ya Uchaguzi iliondoa jina lake kimizengwe tena bila hata kupewa sababu za msingi,wakati huohuo aliishi Haiti kwa Kujificha maana alikuwa akitishiwa usalama wake,jamaa akaamua kukubali yaishe maana wafuasi wake walishaanza kuleta vurugu.

Huyu WyCliff amekuwa balozi wa kujitolea kwa nchi yake na amekuwa alitumia umaarufu wake Ku- mobilize misaada kutoka kwa watu mbalimbali wakiwemo wasanii wenzake kwa ajili ya kusaidia Haiti lakini hata hawakuona nia yake njema,huenda angeleta mabadiliko.
download.jpg
 
Nchi ilishakuwa kwenye hali mbaya sana ya kiusalama,watu mashuhuri walishaanza kutekwa mchana kweupe halafu watekaji wanadai pesa kutoka kwenye familia.

Mwezi April tu mwaka huu mchungaji maarufu Alitekwa akiwa kanisani tena akiwa na ibada ya live kwenye media wakiimba nyimbo za kuabudu.

Sijui muafaka wa hio nchi utakuwaje,unaweza kuangalia tukio la utekaji wa mchungaji na waimbaji wake hapa;


Hatari sana!
 
Rais wa Haiti, Jovenel Moïse ameuawa katika shambulio lililotokea kwenye makazi yake huku ikielezwa Mkewe amejeruhiwa

Taarifa za kifo chake zimetolewa na Waziri Mkuu wa Mpito, Claude Joseph ambaye anaongoza Nchi hiyo kwa sasa

View attachment 1844482
========

The president of Haiti, Jovenel Moise, was reportedly shot and killed in his home, the interim Prime Minister Claude Joseph announced Wednesday.

The president's residence has also put out a statement Wednesday saying the attack occurred around 1 a.m. and that the first lady was also wounded in the attack.

Jovenel Moïse was shot in his private residence by a ‘group of unidentified individuals’ – some of whom spoke Spanish – after they broke in at around 1am on Tuesday.

His death came just hours after appointing Prime Minister Ariel Henry on Tuesday.

Moïse has been ruling Haiti, the poorest country in the Americas, by decree, after legislative elections due in 2018 were delayed and following disputes on when his own term ends.

The United Nations Security Council, the US and Europe have called for free and transparent legislative and presidential elections to be held in Haiti by the end of 2021

View attachment 1844456
"In Haiti, democracy elicited instant US hostility and a murderous military coup, tacitly supported by the US; in Central America, a US-run terrorist war... [T]he US permitted democratic forms after establishing conditions that prevented them from functioning..." (Noam Chomsky).
 
Back
Top Bottom