Haiti: Rais Jovenel Moise auawa akiwa nyumbani kwake. Mkewe ajeruhiwa

Haiti: Rais Jovenel Moise auawa akiwa nyumbani kwake. Mkewe ajeruhiwa

"Moïse amewahi kuwa na tuhuma za rushwa na mara kadhaa yametokea maandamano ya wananchi kumtaka ajiuzulu na mara ya mwisho yalishika kasi Januari, 2021."

"Upinzani ndani ya nchi hiyo ulisema mhula wa miaka mitano wa Moïse ulipaswa kumalizika Februari 7, 2021, hata hivyo mwenyewe alisisitiza kuwa alikuwa na mwaka mmoja zaidi wa kuwa madarakani."

Nimeikopi sehemu ya habari kuhusu kifo cha rais huyo, kutoka katika gazeti la mwananchi.

Ila viongozi wa dunia ya leo inabidi wajifuze kwamba, raia wamebadilika kweli, hawana uvumilivu na woga kama raia wa zamani. Kwa dunia ya leo madikteta hupata kazi sana kudumu tofauti na zamani.
 
"Moïse amewahi kuwa na tuhuma za rushwa na mara kadhaa yametokea maandamano ya wananchi kumtaka ajiuzulu na mara ya mwisho yalishika kasi Januari, 2021."

"Upinzani ndani ya nchi hiyo ulisema mhula wa miaka mitano wa Moïse ulipaswa kumalizika Februari 7, 2021, hata hivyo mwenyewe alisisitiza kuwa alikuwa na mwaka mmoja zaidi wa kuwa madarakani."

Nimeikopi sehemu ya habari kuhusu kifo cha rais huyo, kutoka katika gazeti la mwananchi.

Ila viongozi wa dunia ya leo inabidi wajifuze kwamba, raia wamebadilika kweli, hawana uvumilivu na woga kama raia wa zamani. Kwa dunia ya leo madikteta hupata kazi sana kudumu tofauti na zamani.
Katiba mpya italeta mambo mengi!
 
Huyo aliyataka mwenyewe huwezi kua na kikundi cha ma gangster wanavamia watu na kuua ,kuteka ,kupora harafu ww ukawa salama harafu bado akawa analazimisha kukaa madarakani ww ukitaka kujua marehemu alikua anazingua angalia youtube ..vice news documentary ya haiti ya juzi juzi tu utajua ujinga alio kua anafanya.

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Nchi ilishakuwa kwenye hali mbaya sana ya kiusalama,watu mashuhuri walishaanza kutekwa mchana kweupe halafu watekaji wanadai pesa kutoka kwenye familia.

Mwezi April tu mwaka huu mchungaji maarufu Alitekwa akiwa kanisani tena akiwa na ibada ya live kwenye media wakiimba nyimbo za kuabudu.

Sijui muafaka wa hio nchi utakuwaje,unaweza kuangalia tukio la utekaji wa mchungaji na waimbaji wake hapa;


Wajuba wamepinda ila wangesubiri kapu la sadaka ndio ingependeza zaidi
Nalog off
 
Lakin tangu karne ya 21 ianze hakuna mwaka wa ovyo kama 2020 ulifuruliza vifo yan ni world wide aseee
 
Rais wa Haiti, Jovenel Moïse ameuawa katika shambulio lililotokea kwenye makazi yake huku ikielezwa Mkewe amejeruhiwa

Taarifa za kifo chake zimetolewa na Waziri Mkuu wa Mpito, Claude Joseph ambaye anaongoza Nchi hiyo kwa sasa

View attachment 1844482
========

The president of Haiti, Jovenel Moise, was reportedly shot and killed in his home, the interim Prime Minister Claude Joseph announced Wednesday.

The president's residence has also put out a statement Wednesday saying the attack occurred around 1 a.m. and that the first lady was also wounded in the attack.

Jovenel Moïse was shot in his private residence by a ‘group of unidentified individuals’ – some of whom spoke Spanish – after they broke in at around 1am on Tuesday.

His death came just hours after appointing Prime Minister Ariel Henry on Tuesday.

Moïse has been ruling Haiti, the poorest country in the Americas, by decree, after legislative elections due in 2018 were delayed and following disputes on when his own term ends.

The United Nations Security Council, the US and Europe have called for free and transparent legislative and presidential elections to be held in Haiti by the end of 2021

View attachment 1844456
Haiti na KONGO wanafanana.....

Nchi za MAGHARIBI zina mchango mkubwa juu ya matatizo ya HAITI....
 
Give them gun and they will kill themselves...if we are the same why we are white and thy are black...If blacks and arabs will rule this world [emoji288] ...the world gonna be not suitable place to live ..... what they know is only dancing and sex. ( Wakuu hizi n nukuu nmemix kuazia za netanyahu, trump, kluger wa boer trek )
WHITE SUPREMACY'S ideology....
 
Haiti ni kakisiwa kako broke Sana.

Yaani wahuni wanapenya hadi kwa Rais na kumuua afu kuna walinzi nk?
 
Duuh, kweli walimtendea unyama

DE7103BF-6A04-4E41-9051-8367A6D71808.jpeg
 
Back
Top Bottom