Haiti: Rais Jovenel Moise auawa akiwa nyumbani kwake. Mkewe ajeruhiwa

"Moïse amewahi kuwa na tuhuma za rushwa na mara kadhaa yametokea maandamano ya wananchi kumtaka ajiuzulu na mara ya mwisho yalishika kasi Januari, 2021."

"Upinzani ndani ya nchi hiyo ulisema mhula wa miaka mitano wa Moïse ulipaswa kumalizika Februari 7, 2021, hata hivyo mwenyewe alisisitiza kuwa alikuwa na mwaka mmoja zaidi wa kuwa madarakani."

Nimeikopi sehemu ya habari kuhusu kifo cha rais huyo, kutoka katika gazeti la mwananchi.

Ila viongozi wa dunia ya leo inabidi wajifuze kwamba, raia wamebadilika kweli, hawana uvumilivu na woga kama raia wa zamani. Kwa dunia ya leo madikteta hupata kazi sana kudumu tofauti na zamani.
 
Katiba mpya italeta mambo mengi!
 
Huyo aliyataka mwenyewe huwezi kua na kikundi cha ma gangster wanavamia watu na kuua ,kuteka ,kupora harafu ww ukawa salama harafu bado akawa analazimisha kukaa madarakani ww ukitaka kujua marehemu alikua anazingua angalia youtube ..vice news documentary ya haiti ya juzi juzi tu utajua ujinga alio kua anafanya.

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Wajuba wamepinda ila wangesubiri kapu la sadaka ndio ingependeza zaidi
Nalog off
 
Lakin tangu karne ya 21 ianze hakuna mwaka wa ovyo kama 2020 ulifuruliza vifo yan ni world wide aseee
 
Haiti na KONGO wanafanana.....

Nchi za MAGHARIBI zina mchango mkubwa juu ya matatizo ya HAITI....
 
WHITE SUPREMACY'S ideology....
 
Haiti ni kakisiwa kako broke Sana.

Yaani wahuni wanapenya hadi kwa Rais na kumuua afu kuna walinzi nk?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…