Akajikoronize hukohuko!!
Kujiriwadha[emoji777]
Kujiliwaza[emoji818]
Mkuu mbona kama unawaonea wivu Kenya kwa idadi hiyo ya wagonjwa walio nayo?
Kwani nani kasema imeisha? Kama unaona Kenya wanafaidi corona hamia huko nawe ukaburudike.
Hvi huyu Jamaa GOGOKI Yupo nchi gani mpaka anajiamini kiasi kile kinachonishangaza ni kwamba anaposti vitu vingi ambavyo hutegemei kuvipata kokote kule.Hivi wewe unawaamini kina Bashite na Stone? Jikinge wewe na familia yako korona ipo na inatafuna watu wewe ukitaka kujua kwamba ipo pitia page ya rais wa twita aka GOGOKI.
Kila mtu atabeba furushi lake. Tusipende kumdharau Mwenyezi Mungu na kufikiri science ina kila majibu kwenye hii duniaKenya inaendelea kupima na kupambana na korona wakati siye tunajidanganya imekwisha.
Leo hii wamegundua visa 147, hii inaonyesha Korona bado ipo na inaongezeka badala ya kupungua.
Najua wanaopenda kusikia habari nzuri wakati wa majanga kujiriwadha, na kama wenye akili ya kutuliza wajinga kwa uongo wanavyotaka, watapinga hili vikali.
Wapya 147 wakutwa na corona Kenya akiwemo mtoto wa mwaka mmoja.
Una ndugu au rafiki Tanzania nzima? Sioni haja ya kuleta ubishi wa vijiwe vya kahawa. Wewe chukua tahadhali na sio lazima kila siku upewe idadi ya wagonjwa itakusaidia nini?Mbona we hujafa na mitaani hatuoni vifo wala ndugu,rafiki pia. Kufa wewe kwanza ndo tuamini kua ugonjwa upo na unawaweza wabongo
Kwa hiyo we unatakaje? Usifosi tufanane kenya ,kenya. Bongo, bongo. Au kama una wasi wasi na bongo hamia kenya. Tusitishane hapa! Corona tumeiga rasmi jumapili ya idi mosi. Utaki andamana.Kenya inaendelea kupima na kupambana na korona wakati siye tunajidanganya imekwisha.
Leo hii wamegundua visa 147, hii inaonyesha Korona bado ipo na inaongezeka badala ya kupungua.
Najua wanaopenda kusikia habari nzuri wakati wa majanga kujiriwadha, na kama wenye akili ya kutuliza wajinga kwa uongo wanavyotaka, watapinga hili vikali.
Wapya 147 wakutwa na corona Kenya akiwemo mtoto wa mwaka mmoja.
Kenya inaendelea kupima na kupambana na korona wakati siye tunajidanganya imekwisha.
Leo hii wamegundua visa 147, hii inaonyesha Korona bado ipo na inaongezeka badala ya kupungua.
Najua wanaopenda kusikia habari nzuri wakati wa majanga kujiriwadha, na kama wenye akili ya kutuliza wajinga kwa uongo wanavyotaka, watapinga hili vikali.
Wapya 147 wakutwa na corona Kenya akiwemo mtoto wa mwaka mmoja.
Jina lako linasema yote lol.Kwa hiyo we unatakaje? Usifosi tufanane kenya ,kenya. Bongo, bongo. Au kama una wasi wasi na bongo hamia kenya. Tusitishane hapa! Corona tumeiga rasmi jumapili ya idi mosi. Utaki andamana.