Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Kwani Kenya ni Tanzania au Tanzania ni Kenya? Mbona Dar kuna Corona lakini kuna mikoa ya humu humu nchini haijapata maambukizi? Wewe vipi kwanini ulinganishe na Kenya? Mkiitwa wachawi mnakataa kama Kenya ni wajomba zako nenda kawasaidie kuuguza wagonjwa