DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Fastjet hawakushindwa walichapwa Figisu ili ATCL iinuke mkuu ww unadhani ATCL ingeinuka watu wangepanda?.. wakati Fastjet ilikuwa kutoka mwanza mpaka Dar ni 75,000/ ππFastjet waliweza wao wameshindwa
Urahisi wake upo wapi ??Hivi tumeshajiuliza kwanini nauli ya Dar kwenda Dubai au Afrika Kusini ni rahisi kuliko Dar kwenda Nairobi, ikipata jibu utaelewa.
Hili sijalifautilia Sasa unanifnya nifanye Research AiseeHivi tumeshajiuliza kwanini nauli ya Dar kwenda Dubai au Afrika Kusini ni rahisi kuliko Dar kwenda Nairobi, ikipata jibu utaelewa.
Tukienda kwa data tutaelewana zaidi na sio kwa ushabiki; Nimeandika hivi;Nenda Ulaya basi, huku sisi tupo Tanzania.
Kuanza kuwaza na kuplania vitu visivyowezekana we kuweza?
duh we gharama za kurudha ndege unazijua?Hivi haiwezekani ATC iwe na ndege ambayo kwa mfano itacharge shs 100,000/- kwa safari za ndani ya nchi na iwe maalum kwa viwanja vyenye abiria wa kujaza ndege.
Mfano: Mwanza, Kigoma, Kilimanjaro, Arusha, Dodoma (hata mara 4 kwa siku).
Mbadala wake, waruhusu mabasi yatembee usiku; ili yafike yanakokwenda asubuhi.
Ukweli tunapoteza muda mwingi sana barabarani.
Chukua mabasi 500 yanatembea mchana kutwa. Ina maana kuna karibia 25,000 hawafanyi kazi mchana kutwa.
Rest in peace ,kweheri Depal usisahau kuacha wosia hapa jfLaki 1 ni only Dar to Znzβ¦
Arusha to Dar laki 1 famchezo nini π
Wacha tusafiri na bus usiku⦠kesho naijaribu safari ya usiku.
Wewe kama unazijua naomba utuwekee hapa tafadhali
Shindwaaaaaa pepo!!Rest in peace ,kweheri Depal usisahau kuacha wosia hapa jf
Kumbuka katika milioni 60 zaidi ya 45 milioni ni watoto chini ya miaka 16 hawafanyi kazi.Watu 25000 tu kutokufanya kazi mbona haina athari waendelee na kazi hao zaidi ya million 50 wengine
Imepanda lini?Sahz kwenyew ishapanda ni 170 πππ
Zilikuwepo wakati fulani ila mwsho wa mwaka CAG alisema shirika lina vegative profitHivi haiwezekani ATC iwe na ndege ambayo kwa mfano itacharge shs 100,000/- kwa safari za ndani ya nchi na iwe maalum kwa viwanja vyenye abiria wa kujaza ndege.
Mfano: Mwanza, Kigoma, Kilimanjaro, Arusha, Dodoma (hata mara 4 kwa siku).
Mbadala wake, waruhusu mabasi yatembee usiku; ili yafike yanakokwenda asubuhi.
Ukweli tunapoteza muda mwingi sana barabarani.
Chukua mabasi 500 yanatembea mchana kutwa. Ina maana kuna karibia 25,000 hawafanyi kazi mchana kutwa.
Imepanda lini?
March nilienda na 99,600, Air Tanzania.
Kwani boat si zipo aisee π
Yan hapo Znz to ndio iwe laki 2 kasoro elf 30? Hapana asee
Umeona bei za kesho hizi hizi π π πImepanda lini?
March nilienda na 99,600, Air Tanzania.
Kwani boat si zipo aisee π
Yan hapo Znz to ndio iwe laki 2 kasoro elf 30? Hapana asee
Dk 30 angani unailipia pesa zote hizo π€£Umeona bei za kesho hizi hizi π π π
View attachment 2780208
wazo zuri,Hivi haiwezekani ATC iwe na ndege ambayo kwa mfano itacharge shs 100,000/- kwa safari za ndani ya nchi na iwe maalum kwa viwanja vyenye abiria wa kujaza ndege.
Mfano: Mwanza, Kigoma, Kilimanjaro, Arusha, Dodoma (hata mara 4 kwa siku).
Mbadala wake, waruhusu mabasi yatembee usiku; ili yafike yanakokwenda asubuhi.
Ukweli tunapoteza muda mwingi sana barabarani.
Chukua mabasi 500 yanatembea mchana kutwa. Ina maana kuna karibia 25,000 hawafanyi kazi mchana kutwa.
Tutapanda Azam jamaniNimetoka Juzi kati mzee kama Wiki tatu zilizopita hahaha
Hahahahaπ π π
Ngoja nikucheckie kwwnye website yao kama haijazidi maana kila wiki wanazidisha
Ndo tunakoelekea Mzee Hawa wameanza uhuni π πTutapanda Azam jamani
Yaani wanaweka bei sawa na C208 (Caravan ya abiria 12).Umeona bei za kesho hizi hizi π π π
View attachment 2780208
Tunaanza usiku, πLaki 1 ni only Dar to Znzβ¦
Arusha to Dar laki 1 famchezo nini π
Wacha tusafiri na bus usiku⦠kesho naijaribu safari ya usiku.